Umeil Kheir, Mtangaziji Radio DW amestaafu leo

Umeil Kheir, Mtangaziji Radio DW amestaafu leo

Kwa usahihi jina lake la kwanza linaandikwa Oummilkheir. La pili ni Hamidou. Mimi ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii kupitia DW hususan katika kipindi cha Maoni kwenye Meza ya Duara. Nasikika mara nyingi. Kwahiyo namjua vizuri.

Aidha, alianza kazi DW 1978, na si 1988. Kwahiyo ametumikia rekodi ya pekee kwa miaka 42, akimzidi Ramadhani Ali aliyetumikia miaka 41. Huo ndio usahihi!
Umeil Kheir, mwanamama mtangazaji wa Radio DW Swahili ya Bon Ujerumani amestaafu Leo. Ameitumikia radio hii tangu mwaka 1988 akiwa binti kabisa. Atakumbukwa Kwa sauti yake ya aina yake.

Mwanamama huyu ni Raia wa kisiwa cha Comoro.

View attachment 1348805

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo Sumbawanga. Wewe uko wapi?
Mkuu upo vzr hongera saana kukuona hapa, Mara nyingi nakusikia ukisema upo rukwa Au katavi
Katika kile kipindi cha Meza ya duara Mimi ni mdau mkubwa Sana wa Hicho kipindi kila jumamos
Kama hutojali Naomba namba za DW niwe natuma maoni yangu na Mimi
Nitumie pm mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa usahihi jina lake la kwanza linaandikwa Oummilkheir. La pili ni Hamidou. Mimi ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii kupitia DW hususan katika kipindi cha Maoni kwenye Meza ya Duara. Nasikika mara nyingi. Kwahiyo namjua vizuri.

Aidha, alianza kazi DW 1978, na si 1988. Kwahiyo ametumikia rekodi ya pekee kwa miaka 42, akimzidi Ramadhani Ali aliyetumikia miaka 41. Huo ndio usahihi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana,hua nakusikia mala nyingi DW hongera sana,hivi wachambuzi hulipwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa usahihi jina lake la kwanza linaandikwa Oummilkheir. La pili ni Hamidou. Mimi ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii kupitia DW hususan katika kipindi cha Maoni kwenye Meza ya Duara. Nasikika mara nyingi. Kwahiyo namjua vizuri.

Aidha, alianza kazi DW 1978, na si 1988. Kwahiyo ametumikia rekodi ya pekee kwa miaka 42, akimzidi Ramadhani Ali aliyetumikia miaka 41. Huo ndio usahihi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru Mchambuzi, huwa nakusikia sana Mkuu huko DW.
 
Nashauri anza kutoa makala ya uchambuzi magazetini. Peleka nakala zako kwenye vyombo vingine vya habari kama redio na tv. Pia toa maoni yako kwenye mitandao ya kijamii.

Wenye vyombo husika wakiridhika na uchambuzi wa hoja zako, naamini wataanza kukuita. Kadri utakavyokuwa unasikika na kusomwa magazetini ndivyo itakavyokuwa rahisi kutambuliwa zaidi na vyombo vya ndani na nje ya nchi endapo hoja zako zitakuwa na mantiki, tija na bora
Binafsi napenda uchambuzi, nitafanyeje nijulikane na nipate mialiko kupitia media?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom