DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Comoro wanajua Kiswahili ?Umeil Kheir, mwanamama mtangazaji wa Radio DW Swahili ya Bon Ujerumani amestaafu Leo. Ameitumikia radio hii tangu mwaka 1988 akiwa binti kabisa. Atakumbukwa Kwa sauti yake ya aina yake.
Mwanamama huyu ni Raia wa kisiwa cha Comoro.
View attachment 1348805