DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Comoro wanajua Kiswahili ?Umeil Kheir, mwanamama mtangazaji wa Radio DW Swahili ya Bon Ujerumani amestaafu Leo. Ameitumikia radio hii tangu mwaka 1988 akiwa binti kabisa. Atakumbukwa Kwa sauti yake ya aina yake.
Mwanamama huyu ni Raia wa kisiwa cha Comoro.
View attachment 1348805
Umeil Kheir, mwanamama mtangazaji wa Radio DW Swahili ya Bon Ujerumani amestaafu Leo. Ameitumikia radio hii tangu mwaka 1988 akiwa binti kabisa. Atakumbukwa Kwa sauti yake ya aina yake.
Mwanamama huyu ni Raia wa kisiwa cha Comoro.
View attachment 1348805
Sasa mbona DW wenyewe kupitia instagram wameandika ameitumikia dw kwa miaka 42? Sasa kama kaanza kazi na dw mwaka 1988 ndo miaka 42 imetimia kweli hapo?[emoji848]
Mkuu upo vzr hongera saana kukuona hapa, Mara nyingi nakusikia ukisema upo rukwa Au katavi
Mkuu upo vzr hongera saana kukuona hapa, Mara nyingi nakusikia ukisema upo rukwa Au katavi
Katika kile kipindi cha Meza ya duara Mimi ni mdau mkubwa Sana wa Hicho kipindi kila jumamos
Kama hutojali Naomba namba za DW niwe natuma maoni yangu na Mimi
Nitumie pm mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana,hua nakusikia mala nyingi DW hongera sana,hivi wachambuzi hulipwa?Kwa usahihi jina lake la kwanza linaandikwa Oummilkheir. La pili ni Hamidou. Mimi ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii kupitia DW hususan katika kipindi cha Maoni kwenye Meza ya Duara. Nasikika mara nyingi. Kwahiyo namjua vizuri.
Aidha, alianza kazi DW 1978, na si 1988. Kwahiyo ametumikia rekodi ya pekee kwa miaka 42, akimzidi Ramadhani Ali aliyetumikia miaka 41. Huo ndio usahihi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru Mchambuzi, huwa nakusikia sana Mkuu huko DW.Kwa usahihi jina lake la kwanza linaandikwa Oummilkheir. La pili ni Hamidou. Mimi ni mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii kupitia DW hususan katika kipindi cha Maoni kwenye Meza ya Duara. Nasikika mara nyingi. Kwahiyo namjua vizuri.
Aidha, alianza kazi DW 1978, na si 1988. Kwahiyo ametumikia rekodi ya pekee kwa miaka 42, akimzidi Ramadhani Ali aliyetumikia miaka 41. Huo ndio usahihi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi napenda uchambuzi, nitafanyeje nijulikane na nipate mialiko kupitia media?
Hongera sana,hua nakusikia mala nyingi DW hongera sana,hivi wachambuzi hulipwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuu huo ndo uzalendoHatulipwi, ila waandishi wao wa habari (reporters) hulipwa. Mara zote tunajitolea kutoa maoni yetu kuisaidia jamii yetu, taifa letu na Afrika yetu kwa ujumla
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi napenda uchambuzi, nitafanyeje nijulikane na nipate mialiko kupitia media?
Mwandishi kakosea ni 42. Inamaana alianza 1978Sasa mbona DW wenyewe kupitia instagram wameandika ameitumikia dw kwa miaka 42? Sasa kama kaanza kazi na dw mwaka 1988 ndo miaka 42 imetimia kweli hapo?[emoji848]
Alikonga kwa kusema japo ana wake wawili lakini hakuzaanaoUlinifurahisha sana ulipokuwa unachambua like sakata la albashir kutolewa madarakani hasa ulipojikita kumsema yeye binafsi" eti ana upweke wakukosa mke na watoto"
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana,ombi langu dw swahili waanzishe kipindï cha luninga kwani nawakubali sanaaHatulipwi, ila waandishi wao wa habari (reporters) hulipwa. Mara zote tunajitolea kutoa maoni yetu kuisaidia jamii yetu, taifa letu na Afrika yetu kwa ujumla
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mdau nawe ulisïkia hivyo aiseeUlinifurahisha sana ulipokuwa unachambua like sakata la albashir kutolewa madarakani hasa ulipojikita kumsema yeye binafsi" eti ana upweke wakukosa mke na watoto"
Sent using Jamii Forums mobile app