Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
Anguko baada ya utamu ni kawaida kwa wanaume, hata adamu alianguka baada ya kula utamu wa tunda alilopewa na Hawa.Huyo ategemee anguko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anguko baada ya utamu ni kawaida kwa wanaume, hata adamu alianguka baada ya kula utamu wa tunda alilopewa na Hawa.Huyo ategemee anguko
Sio wote wanaumwa mkuu, wengine wanakufa usingizini wengine ajali n.kMkuu utamu hautaukumbuka ukiumwa umelala kitandani hayupo hata wa kukuletea uji ujue
Haya mkuu huo utamu utaukumbuka ukipata ajaliSio wote wanaumwa mkuu, wengine wanakufa usingizini wengine ajali n.k
Shukrani Mkuu, japo ningependa kuacha wosia Kwa Vijana wa hovyo kwamba Nikifa MkeWangu Asiolewe 😜Wazo lako liwekewe lamination. Umenena vyema sana.
Wazo zuri, ila mimi kwa mtizamo wangu ni vizuri kuwekeza kwenye vitu visivyo hamishika hususani nyumba. Ukiwa na nyumba zako kadhaa utakuwa na uhakika wa kupata hela kila mwezi, japo itakuwa kidogo lakini ni heri.Wana jamvi uzima na afya uwe kwenu nyote.
Hapa siongei na wavulana na vijana wa hovyo. Bali naongea na vijana na watu wazima wenye kujitambua haswa.
Ni ukweli pasina shaka kuwa maisha ya ujana yanapita upesi sana. Kama usipojiwekea malengo ya huko mbeleni utaishi maisha ya tabu sana.
Wala sio Siri wengi wa wazee tunao waona leo hii wanaishi maisha Duni, taabu na mateso walipitia nyakati kama zetu za utoto,ujana na utu uzima Hadi uzee.
Wengi wao wanaishi Kwa sonona na stress ya Hali juu mno ni vigumu kuwatofautisha na chizi.
Hivyo ukiona vile ni Vyema na haki nawewe ukajipanga Kwa ajiri ya kesho Yako.
Ningependa katika Uzi huu tupeane mbinu za kuwekeza Ili badae tuje tuishi maisha mazuri tukicheza na kuimbia wajukuu zetu kama baadhi ya wazee wanavyoishi Leo hii.
Ni furaha iliyo je uzeeke ukiwa na uhakika wa maisha mazuri na afya njema kabisa.View attachment 3118705
Wana jamvi uzima na afya uwe kwenu nyote.
Hapa siongei na wavulana na vijana wa hovyo. Bali naongea na vijana na watu wazima wenye kujitambua haswa.
Ni ukweli pasina shaka kuwa maisha ya ujana yanapita upesi sana. Kama usipojiwekea malengo ya huko mbeleni utaishi maisha ya tabu sana.
Wala sio Siri wengi wa wazee tunao waona leo hii wanaishi maisha Duni, taabu na mateso walipitia nyakati kama zetu za utoto,ujana na utu uzima Hadi uzee.
Wengi wao wanaishi Kwa sonona na stress ya Hali juu mno ni vigumu kuwatofautisha na chizi.
Hivyo ukiona vile ni Vyema na haki nawewe ukajipanga Kwa ajiri ya kesho Yako.
Ningependa katika Uzi huu tupeane mbinu za kuwekeza Ili badae tuje tuishi maisha mazuri tukicheza na kuimbia wajukuu zetu kama baadhi ya wazee wanavyoishi Leo hii.
Ni furaha iliyo je uzeeke ukiwa na uhakika wa maisha mazuri na afya njema kabisa.
Ukiwa Mpagani ndio unaweza kujishughurisha na kesho.Kwahiyo kesho haipo mkuu ama sijakuelewa?
Kwenye jamii Yako huoni wazee wakitaabika na kuteseka?
Hongera ndugu.Ni wazo zuri kuja na hoja fikirishi ya namna hiyo;
Uzee unatisha
Uzee unaambatana na upweke pamoja na changamoto za kipato pamoja na maradhi.
Ni vyema kujiandaa na Uzee ukiwa bado una nguvu
Binafsi najitahidi kulinda afya Kwa kuepuka tabia hatarishi ambazo Kwa namna Moja ama nyingine zinaweza kuhatarisha afya Kwa kuleta magonjwa ya Uzeeni.
Pili nimeanza kujiwekeza, Kwa kufanya miradi itakayokuwa inaniingizia hela hata wakati wa Uzee.
Nisingependa kuwa Mzee msumbufu Kwa watoto wangu.
Niko mbioni kujikatia bima ya maisha, japo ni ghali lakini nitakata kwaajili yangu na Mke wangu
Shukrani, ni vyema kujiwekeza sasaHongera ndugu.
Ha ha kabisa mkuu.Shukrani, ni vyema kujiwekeza sasa
Ukiwa na miradi yako pamoja na Kipato cha kueleweka, hautapata shida ya kuwanenea vibaya watoto wako kwamba "nitakupa radhi" pindi akiwa anasuasua kukupatia hela za Matumizi.
Tuzidishe bidii na juhudi katika utafutaji tukiwa bado tuna nguvu ili tupunguze kuitwa Wachawi Uzeeni 🙌Ha ha kabisa mkuu.
Mla mla leo mla Jana kala niniMkuu utamu hautaukumbuka ukiumwa umelala kitandani hayupo hata wa kukuletea uji ujue
Hongera sanaNi jambo jema sana ambalo tunapaswa sana kuliwaza aisee mimi nimeanza kuwekeza kwa ajili ya uzee wangu
AsanteHongera sana