Umejiandaa vipi na sikukuu za X Mass na Mwaka Mpya 2022 - 2023?

Umejiandaa vipi na sikukuu za X Mass na Mwaka Mpya 2022 - 2023?

Yeah fanya hivyo,utakula xmas bila stress,
Kabisa, isije kufika January, majirani wakaanza kunichekelea pembeni. Aloo, watasahau hata kama walikula mbuzi kwangu[emoji1787][emoji1787]

Nisije kugeuka kikomo cha mgegedo, yaani ile situation wapendanao wanamaliza kugegedana tayari kwa kulala, tule tu maneno twa kusindikizia usingizi sasa,"Tulikula mbuzi kwake, ila wanae wanakwenda shule na uniform zikiwa zimechanika".
 
Ooh, nilisahau kukualika trudie kwenye hafla ya sikukuu za krismas na mwaka mpya kwangu. Nitakuandalia spesho siti chumbani kwangu🤸🤸

Karibu sana
 
Sikukuuu za mwisho wa mwaka ni za watoto weee kidume mkuu unajitutumua ku sherehekea mhhhhh
 
Kabisa, isije kufika January, majirani wakaanza kunichekelea pembeni. Aloo, watasahau hata kama walikula mbuzi kwangu[emoji1787][emoji1787]

Nisije kugeuka kikomo cha mgegedo, yaani ile situation wapendanao wanamaliza kugegedana tayari kwa kulala, tule tu maneno twa kusindikizia usingizi sasa,"Tulikula mbuzi kwake, ila wanae wanakwenda shule na uniform zikiwa zimechanika".
Usisahu kuleta nyama chit chat tuzitafune,January nitakuwa mdhamin wako utakapoenda kukopa.
 
Nimejiandaa vizuri sana, mwaka unanishia vizuri sana...
 
Binafsi nimeandaa sherehe isiyo na kifani nyumbani kwangu[emoji122]

Kwenye kamati ya msosi na vinywaji...
Tayari nimekwisha nunua mbuzi mzima, mchele Kg 40, maharage Kg 15, choroko Kg 7,nimeandaa 80k kwa ajili ya viungo na mapocho pocho ya hapa na pale, tayari nishaleta kreti 8 za Soda pamoja na kreti kumi za Maji Machungu, nimeandaa kuni za kutosha kutengenezea diko[emoji39]

Nategemea hizo siku watu tukifinye cha mtume kikiwa na maharage kwa juu, huku kikipambwa na mboga za majani, ongezea sotojo la choroko, bila kusahau chai ya rangi yenye kuwasha. Baada ya hapo, watoto watajimwaya mwaya kwa chupa zao za mirinda na fanta, huku sisi watu wazima tukimwagilia nyoyo zetu

Kamati ya muziki na vinywaji...
Kutakuwa na burudani swafi ya muziki kutoka kwa dj ambaye tayari nimekwisha muandaa

Nyimbo zitakazo taradadi siku hiyo ni pamoja na ° Nimeachwa sitaki tena maswali ° Shetani ya Mbosso ° Nyimbo mpya za Kizz Daniel ° Unabore ya Mojji Short Baba ° Nyimbo za sauti sol, huku nyakati za usiku tutasindikizwa na nyimbo za "Adaa" na "Lusa"

N.B: Siku hizo nitatumbuiza taarabu za akina Mbosso na Jay Melody

Kamati ya Wageni...
Sherehe hii itafana kwa jitihada zangu, mke wangu na wanangu, bila kuwasahau majirani zangu

Nitatoa nafasi kumi za upendeleo kwa wakina dada wa jf. Kiingilio chao kitakuwa ni app ya jf kwenye simu zao

Nyote mnakaribishwa ila msije, nyumba yangu haitowatosha nyote[emoji119]

Karibuni Buhongwa Mwanza. Jumapili iliyopita niliondoka Dar es salaam

Nasubiri mialiko...View attachment 2438594
Nmejiandaa hivi, Kulipa kodi, kulipia BIMA, kumnunulia mtoto angu viwalo 6 vya sikukuu zote mbili, kuandaa vifaa vya shule vya baby class, kuandaa chakula cha mwakani, maandalizi bado mambo kadha wa kadha
 
f4c3f792-a13c-4b07-87be-9c1d4d80d23c.jpg
 
Kama kuna mtu anahitaji nyimbo za Krismasi au albam yeyote ya nyimbo za Krismasi namkaribisha PM
 
Kitimoto wanaleta dhihaka kwenye mambo yetuuu
 
Back
Top Bottom