Umejiandaa vipi na sikukuu za X Mass na Mwaka Mpya 2022 - 2023?

Umejiandaa vipi na sikukuu za X Mass na Mwaka Mpya 2022 - 2023?

ha ha ha picha haisaidii; tuma na yakutolea na sisi tukamate ata kuku
Ahahah, mjini mipango mkuu[emoji2]

Si unajua tena "mama anaupigwa mwingi huko". Sema pesa yangu ya ziada niliwatumia serikali ili watuandalie mabehewa ya njano ya 1959. Hapa nilipo sielewi hata, nipo namtazama mbuzi wangu tu
 
Maandalizi yangu ni kula na kunywa tu! Haijalishi hela natoa wapi?
 
Tayari nimekwisha waalika ma Ex wangu, watakuja kama wafanyakazi wenzangu wakiwa na sare ili mke wangu asijaji sana[emoji23]

(Jokes)
 
Nimeuza kipand changu cha ardhi milion moja nitatumia kias cha laki tu ktk xmass na mwaka mpya no pombe no mademu

Bint angu atafalishwa elf 35 tu
 
Bila kusahau January Ada,

Siku hizi,

mwaka ni kama mwezi,
Mwezi ni kama wiki,
Wiki ni kama siku,
Siku ni kama lisaa,
Lissa ni kama dakika,
Na dakika ni kama sekunde.
 
Unakaribishwa kwa bashasha kubwa mkuu
Mimi ntakua nakula dona na kuku mzima
IMG-20170712-WA0022.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Bila kusahau January Ada,

Siku hizi,

mwaka ni kama mwezi,
Mwezi ni kama wiki,
Wiki ni kama siku,
Siku ni kama lisaa,
Lissa ni kama dakika,
Na dakika ni kama sekunde.
Aisee, na kweli mkuu. Ngoja nifanye maandalizi ya shule ya wanangu haraka sana iwezekanavyo
 
Back
Top Bottom