Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #121
Speaking from Experience we ni Single Mother?Mzeiya mzabzab single maza ni malaya wa kutupa, yaani wanatapatapa sana kila bwana anampea tu anahisi labda huenda atamuoa. Wanapigwa sana miti, ogopa. Speaking from experience
Kuoa mpaka mpendane.kuzagamulana ninkutamaniana kujizuia kutopata mimba ni wajibu wa mwanamke .Ujanielewaaaa umempaa binti wa watu mimbaa oa..na sio kumuachaa..aoe nani?..
A WordWanaume ndio tupo mstari wa mbele kukemea masingle mother wakati wanawake mpo mstari wa mbele kushawishiana kuwa masingle mother.
Nimetoka na single mazas nawaelewaSpeaking from Experience we nu Single Mother?
Ndio maana single mother huwa hazai mara moja anazaa hadi watoto Sita na Kila mtu na Baba yake.
Ndugu Muhimbu.....Sijui unataka ku make point gani lakini kwa ujumla ikiwa Mwanaume anazaa na mwanamke ambaye hawezi kumuoa Automatically huyo Mwanaume sio Sahihi.Mimi sioni shida kwa binti kuzaa hata bila ya ndoa endapo kama amezaa na mwanaume SAHIHI kwa maana ya anayejitambua yeye na kutambua majukumu yake kama baba!
Mwanamke akizaa na mwanaume wa dizaini hii hata haya malalamiko hayawezi kuwepo, na hii inampa nafasi ya yeye kutimiza malengo yake kwa urahisi.. maana hajabeba mzigo wa malezo peke yake
Tupe uzoefu wako in nutshell. What went wrongNimetoka na single mazas nawaelewa
Yeah umesema vyema
Kwa wale ambao walikuwa wanawapenda tangu awali.......lakini kama pia Mwanamke haeleweki ndio hao wanakula nduki.Huwa wanaamua kujiripua liwalo na liwe .
Wapo wanaume wengi huingia Kingi kwa kuoa wanawake waloshika mimba.
Wanaume wengi wamelazimika kuoa baada wa wanawake wao kushika mimba.
Sahihi. Hata ndani ya ndoa hatupigi ovyo ovyo.....tunajipangaWanawake wanapaswa kujua kuwa kubeba mimba yapasa kuwa ridhaa ya wote mwanamke na Mwanaume,
Usitegeshe bila kutafuta ridhaa ya huyo Mwanaume.
Labda tulishaolewaga na hatukuzaa,kwenu mnaolewaga na umri gani labda,
Nina aunt yangu kaolewa na 46yrs na kazaa mara tatu dabo,
Niambie.
Wanawake wanapenda sana kutumia exception case kama sehemu ya kujifariji au ku-justify mitazamo dhaifu waliyonayo juu ya jambo Fulani.Sasa wewe uolewe una umri wa miaka 46 hivi hapo unakwenda kufanya nini kwenye mahusiano mtoto wa kike hiyo ndoa au maigizo?
Unajua wanawake mnapenda sana kufarijiwa na kuambiwa uongo, ukweli ukisemwa mnaona mnadhalilishwa.
Umri wa Ndoa serious kwa mwanamke huwa hautakiwi kuzidi 25 years na sababu zipo wazi. Mwanaume umri wa kuoa serious ni kuanzia 25.
Ipo hivi. Mwanamke unavyozidi kuchelewa kuingia katika ndoa kwanza una risk idadi ya watoto utakaopata. Wewe unaolewa una miaka 46 ujauzito m'moja unabebwa kwa miezi 9 ambapo hiyo ni almost mwaka kasoro miezi 3 na unatakiwa baada ya hapo ulee mtoto kwa at least miaka 3 kabla ya kupata wa mwingine kiafya sasa miaka 46 jumlisha mwaka m'moja wa kubeba ujauzito, jumlisha miaka 4 ya malezi kabla haujajiandaa kubeba mtoto wa pili halafu halafu tusisahau kuwa wewe hauna experience ya kuwa mama maana umeishi miaka yote bila mtoto wala kulea mtoto wako mwenyewe, hivi unajua shughuli ya kukesha ukibembeleza mtoto alale, kulisha awe na afya, kumtrain hadi awe mkubwa, kumfunza kuongea, kumlinda na hatari zote zinazomzunguka. Wadhani ni kazi ndogo hiyo huku unalea ndoa na mume. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana hizi ndoa huwa hazifiki mbali maana mwanamke utatakiwa sacrifice vingi sana kwa jambo ambalo ungefanya mapema huu muda wa miaka 40+ unaanza kuishi life ile ya kuenjoy jitihada zako zote za ujanani.
Single Father ndio vichwa maji kabisa.....maana wanakimbiaPalipo na SINGLE MOTHER , HAPAKOSI SINGLE FATHER!
Kama umri umefika kwa nini hujaolewa mpaka leo? Kuna mashakaMbona tusiozaa tunaitwa Tasa huku mtaani[emoji16]tunaambiwa tuzae tu tulee wenyewe maana mtoto ndiyo ndugu,
Sasa tushike lipi??
Akili zako za kimaandazi ndo zinakufanya uwaze hvyo.je,vp wale ambao wanaobakwaHili jambo ni janga kubwa kwa vijana wenzetu.
Hasa mzigo unalalia kwa Mwanamke.
Kwa uzoefu wangu wa mahusiano na mapenzi nimeona Single mothers wanapata shida kubwa sana kwenye jamii.
Hawa wasichana wadogo tuwashauri kwa nguvu zote na elimu zote kwamba wafanya mapenzi na uzinzi wao lakini Kamwe wasizae kabla ya Ndoa.
Ukizaa kabla ya Ndoa ni Doa kubwa maishani mwako.
Jamii yote unakuona wewe ndio Mzinzi kuliko hata shetani hata kama ulifanta mara moja tu.
Ukipata Mwanaume anayekupenda akagundua tu una Mtoto basi naye atajitahidi kukufariji ili akubandue lakini hata kuoa.
Yaani wewe unakuwa ni mpenzi wa waume za wengine( hawala).
Wazee waliochoka mtaani ndio wanaojitokeza kukutongoza tu maana umeshuka thamani.
Ewe Dada, Ewe Mama Mdogo. Ewe Shangazi yangu....kuwa makini na hili jambo.
Uwe na Elimu, Uwe na Pesa au na Hadhi gani epuka hili doa.
Hili doa linatesa wengi maskini, matajiri na wenye vyeo.