Umejichanganya ukazaa kabla ya Kuolewa ukajifanya Mjanja basi imekula kwako maisha yako yote

Binti akiwa na hofu ya Mungu, akiwa hana tamaa ya pesa kupitiliza na akiwa amejiweka mbali kwenye Social Networks mpaka atakapo jitambua ni ngumu sana kuwa single mother. Tatizo wazazi na jamii kiujumla hatutimizi majukumu yetu.

Na vijana wengi wa siku hizi,wao wanatufa pumzi za kitandani kumkojoza mwanamke, ila wengi hawan pumzi za kusimama kama mwanaume kwa kutimiza majukumu yake kwa kila kilicho patikana kitandani, baada ya kuonyesha huo ufundi wake.

Halafu kuna age fulani ya mabinti hasa 18-25 wanakuwaga na machaguo ya ajabu ya kupenda wahuni na maplay boy,hapa ndipo wanapo Chemka na sijajuaga ni kwa nini.
 
Ukute wengine wanapenda kuwa hivyo "Single Mother",halafu wewe ndio unahangaika kuwashauri.A human being is a very Complex creature.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Mbona kuna wanawake wapo kwenye ndoa,wanaishi maisha magumu kama shetani kuliko hao single mama? Ambao mnawasema daily hapa
 
'Ukipata Mwanaume anayekupenda akagundua tu una Mtoto basi naye atajitahidi kukufariji ili akubandue lakini hata kuoa.'
 
Yap wanaolewa na waliofiwa na wake au wasio mahandsome

uhandsome ni nini? uzuri wa mtu upo machoni pa mtu na kila mtu ana machaguo yake na uzuri tunaona huko mtaani single mazas wanaolewa kila leo tena na mahandsome na wenye hela zao

acheni kuwafanya single maza wajiskie vibaya bhana
 
uhandsome ni nini? uzuri wa mtu upo machoni pa mtu na kila mtu ana machaguo yake na uzuri tunaona huko mtaani single mazas wanaolewa kila leo tena na mahandsome na wenye hela zao

acheni kuwafanya single maza wajiskie vibaya bhana
Sasa nikisema ukipata form 4 zero uwezekana wa kuwa jaji mdogo sana ni ninakuumiza au nakwambia ukweli.

Hakuna mwanaume aliekamilika na kapangilia maisha yake anataka kuwa na single maza .binadamu anapenda vizuri .
 
uhandsome ni nini? uzuri wa mtu upo machoni pa mtu na kila mtu ana machaguo yake na uzuri tunaona huko mtaani single mazas wanaolewa kila leo tena na mahandsome na wenye hela zao

acheni kuwafanya single maza wajiskie vibaya bhana
Sawa hatujasema hawaolewi .......tumawashauri hawa wadogo zetu wasija kuingia huko. Ni Kubaya.
 
Wanachakatwa vibaya sana.
Wengi wanachakwtwa na waume za watu na wazee
 
Mkiona hafai muache na msimzalishe maana mnazalisha kizazi cha kulala barabara na kwako mwanaume hakikuletei baraka zaidi ya mikosi hasa mtoto akiwa ananung'unika kwa mateso anayopitia
Ni kweli
 
Hapana

Inategemea na mtazamo wa ndani!

Mi nipo tofauti kidogo kwenye Hilo!nikimuona single mother Huwa naangalia ustawi was mtoto wake kama ni smart ana afya najua huyu no smart kwenye malezi,pia alimwamini mtu Saba akamtenda!!

Sijawahi nyanyapaa single mothers Huwa nanyanyapaa alieachika kwenye ndoa namuona no mzembe sana!!

Kwanini!!?

Hata huyu nilie nae ningemzalisha nikamwacha angekua single mother TU,ni vile alikuta Mimi ni gentle!!Huwa nabeba uhusika sana kama mimi ndio chanzo!!!

Single mothers wengi wanaumia lakini mara nyingi nikukutana nao Huwa wanajisikia vizuri Kwa mtazamo nilionao kuhusu maisha,kwanza nawaambia ongeza mwingine tutalea sisi ni walimwengu kazi yetu ni kulea!


Huko mbele tunapokwenda single mothers watakua na solo sana coz uzazi unaenda kuwa wa shida sana wakuu!!

Mabinti wanaotumia njia za uzazi mpango no 50/50 kupata ujauzito na ukimuoa bila kumzalisha kwanza kazi unayo mkuu Tena kubwa!nimeliona Hilo kazini !!


NIMEWEKA KAUTARATIBU FULANI KA KUWANUNULIA WATOTO WA SINGLE MOTHERS NINAO WAJUA VITU VIDOGO VIDOGO,NIMELIONA TABASAMU LAO!NA NAPIGA NAO SANA STORI ZA HAPA NA PALE!NI WATU WAZURI HALAFU WANAJUA SANA MAISHA I APPRECIATE!NI VILE LOCATION NILIOPO NABANWA SANA KIAZINGIRA YA KIKAZI,NINGEISHI NAO KIROHO SAFI NA KUWAZALISHA NA KULEA WATOTO WAO NA NINGE ENJOY UTAMU WAO!!!

TUWAPENDE HAWA WATU ,THEY ARE GOOD I LOVE THEM ALL!

POPOTE MLIPO MWAAAAHH MASHAVUNI!!!
 
Sidhani hata kama wanakusiliza, mie nadhani single maza wao hawana shida kabisa cz si anajijua yuko na nini alifanya

Shida iko kwetu kuwaona wao wamekosea kumbe mtu alipanga kuzaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…