Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
Yaani tunasimangwa kila kukicha ndio maana wadada siku hizi wanatoa sana ujauzito kwa kuogopa maneno kama hayaUmasikini upigwe vita sana.
Dada zetu wangekuwa na uwezo wasingesimangwa hivi kila siku.
Sio lazima uolewe..