Umejichanganya ukazaa kabla ya Kuolewa ukajifanya Mjanja basi imekula kwako maisha yako yote

Umejichanganya ukazaa kabla ya Kuolewa ukajifanya Mjanja basi imekula kwako maisha yako yote

kichaa anachekesha akivua nguo barabarani iwapo siyo ndugu yako. Omba yasikukute
Hii misemo overrated mm dada zangu 2 single mother ni kweli nasikitika ila mada ni kweli ni mkosi wamejiletea .kuna mmoja alikaza mpaka 35 pamoja na udangaji wake saivi kawaacha hawa wawili watu wanakuja hadi jitambulisha wakisha mjua baba wa mtoto tu wanakula kona

Mi nammoja ninampenda kishenzi nkikaa nae we are just natural birds
Yaan hata nkitokanae mahali lazima atatokea mtu aseme asee mnaendana sana .shida ni kazaa 2 kids na wote washkaj zangu(tunakunywa nao kijiwe kimoja ) .jamaa hawaishi piga simu na mara niende kwake niwskute seblen wamekuja salimia mtoto .skuingine akasema nimsindikize harusi ya mdogo wake na mzazi mwenzie yaan nilikuwa naangaliwa kwa jicho na wanaume linasema Mwamba unafeli .
Juzi kati metafuta sababu nimepiga chini kamelia sana ila hamna njia kosa lake kuzaa kabla sijaja ndo malipo yake.kila la kher my crush
 
Hii misemo overrated mm dada zangu 2 single mother ni kweli nasikitika ila mada ni kweli ni mkosi wamejiletea .kuna mmoja alikaza mpaka 35 pamoja na udangaji wake saivi kawaacha hawa wawili watu wanakuja hadi jitambulisha wakisha mjua baba wa mtoto tu wanakula kona

Mi nammoja ninampenda kishenzi nkikaa nae we are just natural birds
Yaan hata nkitokanae mahali lazima atatokea mtu aseme asee mnaendana sana .shida ni kazaa 2 kids na wote washkaj zangu(tunakunywa nao kijiwe kimoja ) .jamaa hawaishi piga simu na mara niende kwake niwskute seblen wamekuja salimia mtoto .skuingine akasema nimsindikize harusi ya mdogo wake na mzazi mwenzie yaan nilikuwa naangaliwa kwa jicho na wanaume linasema Mwamba unafeli .
Juzi kati metafuta sababu nimepiga chini kamelia sana ila hamna njia kosa lake kuzaa kabla sijaja ndo malipo yake.kila la kher my crush
Una roho Ngumu Sana mkuu
 
Hii misemo overrated mm dada zangu 2 single mother ni kweli nasikitika ila mada ni kweli ni mkosi wamejiletea .kuna mmoja alikaza mpaka 35 pamoja na udangaji wake saivi kawaacha hawa wawili watu wanakuja hadi jitambulisha wakisha mjua baba wa mtoto tu wanakula kona

Mi nammoja ninampenda kishenzi nkikaa nae we are just natural birds
Yaan hata nkitokanae mahali lazima atatokea mtu aseme asee mnaendana sana .shida ni kazaa 2 kids na wote washkaj zangu(tunakunywa nao kijiwe kimoja ) .jamaa hawaishi piga simu na mara niende kwake niwskute seblen wamekuja salimia mtoto .skuingine akasema nimsindikize harusi ya mdogo wake na mzazi mwenzie yaan nilikuwa naangaliwa kwa jicho na wanaume linasema Mwamba unafeli .
Juzi kati metafuta sababu nimepiga chini kamelia sana ila hamna njia kosa lake kuzaa kabla sijaja ndo malipo yake.kila la kher my crush
Ngumu kumezaa mimi kAma siwezi hivii.....najua mateso yake baadaee
 
Hapa swala sio kujitaftia tuu ni kuepuka kuzaa nje ya ndoa kabisaaa maana ni shida.
Na ni mwehu tu wa kuchukia mtoto .tatizo yanayozunguka mtoto ikiwemo baba yake .familia yao kumganda .mpenzi wako kutojiamini juu ya jamaa .wengi wa wazazi wenzio huwa wanaona wivu jamaa akikulea vizuri ukinona anataka rudi ukikataa anapambana kuharibu
 
Back
Top Bottom