God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Afu ya tulia utaambiwa imekula 50MHizi nyumba mbili moja imejengwa na Tulia foundation na nyingine chini ya Foundation ya Malisa .
Kuna nguvu kubwa kufanya mambo kutoka moyoni
Hingera Malisa Gj pia hongera Tulia
Tusubiri jibu,maana huyu bwana mkubwa mwenyewe ningependa kumfahamuHivi Malisa huwa ni mwajiriwa au mjasiriamali? Natamani kumfahamu kwa uchache huyu kijana Muhimu sana kwa Taifa.
Foundatio ya Malisa ..... na foundatio ya Tulia. Kuna foundation zinakopesha ila hukopeshwi mpaka upeleke kwanza hela kama dhamana. Je huo sio utapeli na wizi wa dhahiri?Wote wahongereke kwa kuwasaidia wahitaji katika jamii
Malisa hana foundation ya kukopesha ila ni marafiki na wadau wameungana kutoa misaada tu kwa wahitaji na pale inapobidi watuma pesa inatumwa moja kwa moja kwa mhusika wala haipiti kwao. Hata hiyo nyumba imejengwa tu na watu. Unakuta anayeuza cement anatoa cement, fundi rangi yeye anasema atapiga rangi mwenye duka la rangi anatoa rangi, yani hapo ni ushirikiano wa watu kibao hadi muuza TV katoa tv na muuza furniture katoa furniture. Kuna mafundi wengine walitaka kujitolea sema wamekosa nafasi maana zilikuwa zishajaa. So, malisa hatoi mikopo ni vile alianza kuwa anahamasisha watu kucahngia wahitaji akaona waifanye iwe foundation kabisa.Foundatio ya Malisa ..... na foundatio ya Tulia. Kuna foundation zinakopesha ila hukopeshwi mpaka upeleke kwanza hela kama dhamana. Je huo sio utapeli na wizi wa dhahiri?
Ahsante mkuu kwa kutofautisha pumba na mcheleMalisa hana foundation ya kukopesha ila ni marafiki na wadau wameungana kutoa misaada tu kwa wahitaji na pale inapobidi watuma pesa inatumwa moja kwa moja kwa mhusika wala haipiti kwao. Hata hiyo nyumba imejengwa tu na watu. Unakuta anayeuza cement anatoa cement, fundi rangi yeye anasema atapiga rangi mwenye duka la rangi anatoa rangi, yani hapo ni ushirikiano wa watu kibao hadi muuza TV katoa tv na muuza furniture katoa furniture. Kuna mafundi wengine walitaka kujitolea sema wamekosa nafasi maana zilikuwa zishajaa. So, malisa hatoi mikopo ni vile alianza kuwa anahamasisha watu kucahngia wahitaji akaona waifanye iwe foundation kabisa.