Umekula tunda gani leo?

Ahsante mkuu.tiba Ni matunda au majani au mzizi? Nielekeze kuhusu kiungulia Kuna binti yangu kiungulia kinampa tabu Sana kiasi kwamba anakuka mlo mmoja TU kwa kuogopa gesi na kiungulia
Mizizi unachemsha lakini kama ni matunda unakula tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…