Umekuwa ukisumbuliwa sana na mahusiano basi fata sheria hizi sheria ya 5 itakushangaza

Umekuwa ukisumbuliwa sana na mahusiano basi fata sheria hizi sheria ya 5 itakushangaza

Mchafuu

New Member
Joined
Feb 29, 2024
Posts
4
Reaction score
13
DATING RULE 01.

Usimpe au kumfanyia mwanamke wako mambo makubwa ambayo hauwezi kumfanyia maisha yake yote au ku maintain moja kwa moja.

Fanya yaliyo ndani ya uwezo wako utakayoweza kufanya hata ukimuoa.

DATING RULE NUMBER 02.

Mchumba akikukubali na akawa anakupenda kweli, kazi yake ni kuvunja sheria zake na kwao kwaajili yako.

Mipaka ikizidi haupendwi, abort mission.

DATING RULE 3.

Usifuate kila ushauri au kufanya mipango unayo pangwa na mwanamke wako.

Sometimes anaweza kukushauri kitu kizuri ila usifanye on the sport fanya kwa wakati au ulivyopanga wewe kama mwanaume.

DATING RULE NUMBER 4.

Heshima itangulie upendo ufuate.

Kama hawezi kukuheshimu basi hawezi kukupenda.

Hawezi kukupenda kama hakuheshimu.

Read between the lines.

DATING RULE NUMBER 5.

Usimu expose mwanamke wako wa kuaminia kwenye usasa kama haukumkuta in modern ways.

Akipata jua how modern ways zina operate hawi wako tena.
 
Hiyo hela ambayo unaniambia nitafute ni shilingi ngapi mkuu?

Nikushauri tu wewe ndo utafute pesa kama Ubisha Leta Bank Statement hapa yako na mimi nilete yangu afu tunaone nani anatakiwa kumwambia mwenzake atafute hela
 
DATING RULE 01.

Usimpe au kumfanyia mwanamke wako mambo makubwa ambayo hauwezi kumfanyia maisha yake yote au ku maintain moja kwa moja.

Fanya yaliyo ndani ya uwezo wako utakayoweza kufanya hata ukimuoa.

DATING RULE NUMBER 02.

Mchumba akikukubali na akawa anakupenda kweli, kazi yake ni kuvunja sheria zake na kwao kwaajili yako.

Mipaka ikizidi haupendwi, abort mission.

DATING RULE 3.

Usifuate kila ushauri au kufanya mipango unayo pangwa na mwanamke wako.

Sometimes anaweza kukushauri kitu kizuri ila usifanye on the sport fanya kwa wakati au ulivyopanga wewe kama mwanaume.

DATING RULE NUMBER 4.

Heshima itangulie upendo ufuate.

Kama hawezi kukuheshimu basi hawezi kukupenda.

Hawezi kukupenda kama hakuheshimu.

Read between the lines.

DATING RULE NUMBER 5.

Usimu expose mwanamke wako wa kuaminia kwenye usasa kama haukumkuta in modern ways.

Akipata jua how modern ways zina operate hawi wako tena.
#5
 
Hiyo hela ambayo unaniambia nitafute ni shilingi ngapi mkuu?

Nikushauri tu wewe ndo utafute pesa kama Ubisha Leta Bank Statement hapa yako na mimi nilete yangu afu tunaone nani anatakiwa kumwambia mwenzake atafute

Hiyo hela ambayo unaniambia nitafute ni shilingi ngapi mkuu?

Nikushauri tu wewe ndo utafute pesa kama Ubisha Leta Bank Statement hapa yako na mimi nilete yangu afu tunaone nani anatakiwa kumwambia mwenzake atafute hela
We endelea kutafuta ela
 
Hiyo hela ambayo unaniambia nitafute ni shilingi ngapi mkuu?

Nikushauri tu wewe ndo utafute pesa kama Ubisha Leta Bank Statement hapa yako na mimi nilete yangu afu tunaone nani anatakiwa kumwambia mwenzake atafute hela

Safi kabisa kumamake, Safi Sana.

Kuna mpuuzi aliwahi kuniambia hivyo nami nikamhakikishia kuwa namzidi hela, Kama anabisha tuweke picha za vibunda..hakurudi mseng* yule
 
DATING RULE 01.

Usimpe au kumfanyia mwanamke wako mambo makubwa ambayo hauwezi kumfanyia maisha yake yote au ku maintain moja kwa moja.

Fanya yaliyo ndani ya uwezo wako utakayoweza kufanya hata ukimuoa.

DATING RULE NUMBER 02.

Mchumba akikukubali na akawa anakupenda kweli, kazi yake ni kuvunja sheria zake na kwao kwaajili yako.

Mipaka ikizidi haupendwi, abort mission.

DATING RULE 3.

Usifuate kila ushauri au kufanya mipango unayo pangwa na mwanamke wako.

Sometimes anaweza kukushauri kitu kizuri ila usifanye on the sport fanya kwa wakati au ulivyopanga wewe kama mwanaume.

DATING RULE NUMBER 4.

Heshima itangulie upendo ufuate.

Kama hawezi kukuheshimu basi hawezi kukupenda.

Hawezi kukupenda kama hakuheshimu.

Read between the lines.

DATING RULE NUMBER 5.

Usimu expose mwanamke wako wa kuaminia kwenye usasa kama haukumkuta in modern ways.

Akipata jua how modern ways zina operate hawi wako tena.
Sasa mama kaingiaje kwenye mapenzi yako na mchumba wako? Baba yako hajamtimizia unataka kuuza figo umtimizie wewe?
 
Back
Top Bottom