Utamu wake nini mzeya....kupigana risasi saba ama?NDOA tamu sana vijana oeni acheni utoto na visingizio...
Hizo risasi ndio utamu wenyeweUtamu wake nini mzeya....kupigana risasi saba ama?
Ebu tuambie tunachokosa na sie tuoate motisha ya kuoa
Kiufupi ndoa ni override wazipuuzie tu ndoa si lazimaWaoe ila wawe makin
Acha kufananisha bia na mambo ya ajabu, aya yako ya pili ni batili kabisa.Maisha ya ndoa yamewashinda lakini hamuishi kuwaongelea wanandoa.
Wewe ni mnywaji wa Soda lakini focus yako ipo kuwasema wanywa Bia, hapo mwenye matatizo ni nani ?