Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo dawa🤣🤣🤣1.stuka saa 11 au 12 asbh piganeni Cha asubuhi nyonya maziwa ya mke piga bao maisha yaendelee
2.saa moja oga nenda kazini kale vya kula km NI matunda,kitimoto au bia au konyagi au k vant n.k
3.rudi nyumbani zinguaneni ikifika usiku mkitamaniana peaneni
Ndo maisha
4..ingia jf Mara kwa Mara kutoa stress n.k
Kabisa mwanawane...huyu anataka waingiza chaka watu...sii ajabu yeye usiku alikuwa anakumbato safi kabisa huku akipewa utamu wa de libolomsimsikilize huyu
kama kweli unampenda wewe mvumilie tu
si unaona baridi hili halafu mtu anasema bora muachane
Kwa kweli...la sivyo unakunywa sumuKatika hali ya kawaida tu ili nafsi yako iwe huru unatakiwa uache tabia ya ku-overthink na kuwa na expectations na mtu
Hata kwenye ndoa,ili mambo yaende unatakiwa kuwa na hizo vitu
Take it easy,ishi
We si umesema uume unakusumbua umekua mzito,hawa watoto utapataje sasa😳🙄Pole sana to yeye ! Mwache aende[emoji24][emoji24][emoji24]
Nikisema tusioane, tuhudumiane tu, tulipane, tuzaliane kwa mkataba, tulipishane tozo mnaniambia eti shule zinafunguliwa lini [emoji23][emoji23]
Kwa hali hii wacha kuoa nikuskie kwenye Bomba! Nikihitaji mtoto, test tube baby zipo, naenda kununua ovum ya Swalha napachika, natengeneza toto
kwishney! [emoji125][emoji125]
Wee unaenjoy de libolo unawadanganya wenzio waachane na de libolo zao.🤣🤣🤣🤣🤣Nimekushindwa 🙌
Ukweli mtupu.Acha uongo huo🤣
Uki update utaona mkuu, Maxence Melo anaupiga mwingiJf sahivi ina huu ukuda wa typing......
[emoji3525][emoji3525]
Kwann uogope sasa mamah😊😊Nami nilikuwa nakuona nikaogopa kukutania🤣🤣