Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wauze tu hii nchi na sisi watupige bei.Leo Niko Arusha, toka saa Moja usiku huu huku umeme umekatika.
Dodoma ni mti mbichiDSM na hasa Temeke uneme unakatika kila siku jioni , kasoro leo tu , inakuwaje nyinyi wa Dodoma mnalalamika kwa hayo masaa machache sana ?
Upo Dodoma!!Manispqa ya Dodoma tangu saa 11 umeme umekatika na kila nilikopita kote hakuna umeme (Area C, Area D, town centre, Ipagala, kisasa, Ilazo, Ihumwa na maeneo mengine).
Wenzetu mlioko mikoani na maeneo mengine ya mkoa wa Dodoma, umeme upo??
Hivi hii SGR kwa umeme huu itakuwaje?
Leo nyooshweni tu, nipo kwenye umemeIla Makao Makuu hatukuzoea suala la kukatika kwa umeme, hii kitu inaboa sana..
Kwa mikoa ambayo umeme huwa unakatika mara kwa mara, Poleni sana aiseeeh'...!!
Asnte sna salary sleep no Kweli Niko ihuma jeshini hkn umeme kote mji mzima hkuna umeme na rais yupo chamwino na waziri mku yupo swaswa makamu yupo HV tukifamiwa na na maadui itakuajeManispqa ya Dodoma tangu saa 11 umeme umekatika na kila nilikopita kote hakuna umeme (Area C, Area D, town centre, Ipagala, kisasa, Ilazo, Ihumwa na maeneo mengine).
Wenzetu mlioko mikoani na maeneo mengine ya mkoa wa Dodoma, umeme upo??
Hivi hii SGR kwa umeme huu itakuwaje?
Viongozi wapo na umeme walipo, hamna wa kuwafamiaAsnte sna salary sleep no Kweli Niko ihuma jeshini hkn umeme kote mji mzima hkuna umeme na rais yupo chamwino na waziri mku yupo swaswa makamu yupo HV tukifamiwa na na maadui itakuaje
Manispqa ya Dodoma tangu saa 11 umeme umekatika na kila nilikopita kote hakuna umeme (Area C, Area D, town centre, Ipagala, kisasa, Ilazo, Ihumwa na maeneo mengine).
Upo nje ya gridpoleni sana, huku nilipo umeme haujawahi sumbua... ukikatika haukai hata nusu saa
Unaishi dunia ya wapi?Mzee baba wewe ni dereva daladala au bodaboda au hayo maeneo yapo karibu karibu?