Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
Haha, kijani kama kijani..!!Niko huku mji wa Magufuli mtani...long tym sasa...makao makuu ya chama cha kijani na serekale...
Mm niliamka pia sikuangalia saa nimekuta tuu taa zimewaka nyumba nzima sijui ndo ziliwashwa ili ukirudi waone...
Uko poa lakini?
Hongera kipenzi, nipo Ihumwa karibu na Jeshini,
Nipo salama kabisa dear, tunasonga mbele kama Injili..!!