Umeme umekatika tena wakati Tundu Lissu akiongea wakati wa kufunga Kikao cha Baraza Kuu la CHADEMA

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Labda ni ishara kuwa TL ni mkata umeme
Usikute akawa anakata network za wadau tukapata jiwe kweli kweli mwingine
 
Vituko vya chama chawala bado tu havijaisha!?๐Ÿ˜‚
 
Hicho ndiyo kitu serikali ya ccm wanakiweza๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Isiwe sababu
Umeme kukatika ni kawaida nchi masikini
Ameishachaguliwa sasa ukatike ili iweje alengwe na manati ama ๐Ÿ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ