Umeme wa Zero tarrif Bado upo, wavuja Jasho changamkieni fursa

Umeme wa Zero tarrif Bado upo, wavuja Jasho changamkieni fursa

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Wakati mgao ukiendelea, tujikumbushe Moja ya KAZI murua kabisa ilofanywa na waziri Muhongo.

Hili ni suala la zero tarrif, umeme nafuu Kwa watu wa kipato cha chini. Kama unatumia umeme chini ya 75 units Kwa mwezi,

Andika barua, ipeleke ofisi ya Tanesco wilaya uliyopo, baada ya mwezi kupita utawezeshwa huduma hii ya Kupata units Hadi 72units Kwa buku tisa tu za kitanzania yaani Tshs 9,000/=

Angalizo: Mwombaji wa huduma hii awe mwenye nyumba, Si mpangaji!!

Tuchangamkie fursa.🙏
 
Wakati mgao ukiendelea, tujikumbushe Moja ya KAZI murua kabisa ilofanywa na waziri Muhongo.

Hili ni suala la zero tarrif, umeme nafuu Kwa watu wa kipato cha chini. Kama unatumia umeme chini ya 75 units Kwa mwezi,

Andika barua, ipeleke ofisi ya Tanesco wilaya uliyopo, baada ya mwezi kupita utawezeshwa huduma hii ya Kupata units Hadi 72units Kwa buku tisa tu za kitanzania yaani Tshs 9,000/=

Angalizo: Mwombaji wa huduma hii awe mwenye nyumba, Si mpangaji!!

Tuchangamkie fursa.🙏
Muhongo alikuwa visionery japokuwa alikuwa na makandokando yake

Ila umeme huo hivi sasa umekuwa wa kitumwa sana
  1. Unapewa <70 units
  2. Units hizo zikiisha kabla ya siku 30 usinunue zingine subiri mpaka zitimie hizo siku 30 ndipo ununue mwingine
  3. Ukiwa na taa zenye wattage kubwa za husomea kama tube lights umeumia
 
Muhongo alikuwa visionery japokuwa alikuwa na makandokando yake

Ila umeme huo hivi sasa umekuwa wa kitumwa sana
  1. Unapewa <70 units
  2. Units hizo zikiisha kabla ya siku 30 usinunue zingine subiri mpaka zitimie hizo siku 30 ndipo ununue mwingine
  3. Ukiwa na taa zenye wattage kubwa za husomea kama tube lights umeumia
Ndo maana ya zero tarrif.

Kwa family maskini zenye kuungaunga, unit 70 ni nyingi sana,

Maana umeme wa kawaida 10,000 unapewa unit 28.

Hapo Muhongo alionyesha nini maana ya kuwa Professor.
 
Back
Top Bottom