Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikia uchawi ndo huo sasa, watu wa kipato Cha chini wapo Nchi nzima,Tulipiga simu, kuuliza wakasema kwa hapa dsm hii huduma wameitoa, labda vijijini
Zero, mleta mada ameandika bei wewe unauliza bei iliyokwisha andikwa!Asante Kwa taarifa,
Kama upo ndani ya huduma hiyo, leta taarifa sahihi Ili kusaidia wasojua Kwa Upendo.
Hizo unit 75 ni Bei gn utalipa?
Uko sahihi kwa 72 au 73 pia...Wakati mgao ukiendelea, tujikumbushe Moja ya KAZI murua kabisa ilofanywa na waziri Muhongo.
Hili ni suala la zero tarrif, umeme nafuu Kwa watu wa kipato cha chini. Kama unatumia umeme chini ya 75 units Kwa mwezi,
Andika barua, ipeleke ofisi ya Tanesco wilaya uliyopo, baada ya mwezi kupita utawezeshwa huduma hii ya Kupata units Hadi 72units Kwa buku tisa tu za kitanzania yaani Tshs 9,000/=
Angalizo: Mwombaji wa huduma hii awe mwenye nyumba, Si mpangaji!!
Tuchangamkie fursa.🙏
Ilikuwa 75 Units
Mkuu huduma Ipo ni connection Tu 😀😀😀 Hizi huduma huwa zina manufaa sana huwez zipata Simpo simpo kama unavofikiriaTulipiga simu, kuuliza wakasema kwa hapa dsm hii huduma wameitoa, labda vijijini
Ulishindwa kujieleza, kuna REA na ya watumiaji chini ya uniti 75, ukizidisha unarudishwa kawaida.Tulipiga simu, kuuliza wakasema kwa hapa dsm hii huduma wameitoa, labda vijijini
Ipo ila kwa mijini inahitaji ukunjue mkono. Vijijini wanaunganishwa moja kwa moja kwenye matumizi madogoTulipiga simu, kuuliza wakasema kwa hapa dsm hii huduma wameitoa, labda vijijini
Hapo kwenye connection wakati ni HAKI ndo KICHWA Huwa kinapata moto!!Mkuu huduma Ipo ni connection Tu 😀😀😀 Hizi huduma huwa zina manufaa sana huwez zipata Simpo simpo kama unavofikiria
Hahaha Mkuu nchi yetu ilishaharibika Sana kuirekebisha ni Ngumu sana kwa sababu ukipeleka maswala ya Haki ndo lazma ujibiwe kwamba Dar Haiwezekani ilaukienda mwenyewe pale TANESCO na kisuuzio cha Roho ukaongea VIZURI (ELEWA MAANA YA NENO VIZURI) Na wahusika Siku hiyo hiyo unapata Namba za kubadili Mita yakoHapo kwenye connection wakati ni HAKI ndo KICHWA Huwa kinapata moto!!
Ingekuwa ndani ya uwezo wangu, wakikiona Cha moto.
No,Zero, mleta mada ameandika bei wewe unauliza bei iliyokwisha andikwa!
Ndomana tunaendelea na maombi, Maharage ya Chande pia YACHACHE!!Hahaha Mkuu nchi yetu ilishaharibika Sana kuirekebisha ni Ngumu sana kwa sababu ukipeleka maswala ya Haki ndo lazma ujibiwe kwamba Dar Haiwezekani ilaukienda mwenyewe pale TANESCO na kisuuzio cha Roho ukaongea VIZURI (ELEWA MAANA YA NENO VIZURI) Na wahusika Siku hiyo hiyo unapata Namba za kubadili Mita yako
Mkuu kwasasa hata huko kijijin ambapo wapo REA walishaacha kuunganisha matumizi madogo mojakwamoja mpaka ujiongeze,ninakibanda kijijin nimeunganisha umeme toka Novemba mwaka jana nimevuta subira hadi mwakahuu mwezi wa6 sijaunganishwa hayo matumizi madogo ikabidi nijiongeze ndani yamasaa manne napokea msg POKEA KEY CHANGE kundi lakwanza___ kundi lapili ___Ipo ila kwa mijini inahitaji ukunjue mkono. Vijijini wanaunganishwa moja kwa moja kwenye matumizi madogo
Usitoe RUSHWA siku ingine,Mkuu kwasasa hata huko kijijin ambapo wapo REA walishaacha kuunganisha matumizi madogo mojakwamoja mpaka ujiongeze,ninakibanda kijijin nimeunganisha umeme toka Novemba mwaka jana nimevuta subira hadi mwakahuu mwezi wa6 sijaunganishwa hayo matumizi madogo ikabidi nijiongeze ndani yamasaa manne napokea msg POKEA KEY CHANGE kundi lakwanza___ kundi lapili ___
HIzo conksheni sasaMkuu huduma Ipo ni connection Tu 😀😀😀 Hizi huduma huwa zina manufaa sana huwez zipata Simpo simpo kama unavofikiria
Kaka, hii mada ya mda but am interested. Hivi malipo ni 9950 au 9150? Mwanzo nilikua najua ni 9500, then kuna mtu akaja niambia ni 9150, so kwa muda sana sasa nalipa 9150, ukiplus na haya makato unit zinazidi tu kushuka! Now napata 62 mostly! Kimtazamo ni bora hii 1500 wangeiongezea juu yake, ili mtu upate zilezile unit 75, ingesaidia sana!Uko sahihi kwa 72 au 73 pia...
Ni kweli kabisa mwanzoni mwa Huduma hii ilikuwa ni Units 75, hii ilikuwa kabla ya makato ya Kodi ya majengo au kodi ya Ardhi ambayo kipindi inaanza ilikuwa 1000 hivyo umeme ukapungua unit na ukawa Unit 73 baada ya makato yao....
Kivumbi kimekuja Mwaka huu hahaha mwezi wa Nane Baada ya kupandisha Kodi ya Majengo ambayo kwa sasa ni Tsh 1500 na sio 1000 tena Units zimekuwa 69.1...
Na kias cha kulipia Kila mwezi kulingana na mkataba Na Tanesco ni Kiasi cha Tsh 9950 hautakiwa uzidishe kwa sababu ukizidisha Kiasi hichi Mfululizo kwa miezi miwili utatolewa kwenye Huduma....
UZUSHI;-
Kwamba lazima uzitumie ziishe zote Hapa si kweli hata kidogo...
Unaweza ukatumia umeme na ikafika mwisho wa mwezi umebakiza unit 30 unaruhusiwa kuongeza na zitajumlishwa kwenye unit zako mpya na kadhalika mwezi ujao na wenyew hivyo hivyo hakuna atakaye kunyang'anya unit....
Unaweza kununua hata baada ya umeme kuisha, kununua ziada mara moja ama mbili haikuondoi katika utaratibu huo, ukizidisha mara tatu ndio hukuondo, japo kwa walio mijini hata mara mbili unaondolewaMuhongo alikuwa visionery japokuwa alikuwa na makandokando yake
Ila umeme huo hivi sasa umekuwa wa kitumwa sana
- Unapewa <70 units
- Units hizo zikiisha kabla ya siku 30 usinunue zingine subiri mpaka zitimie hizo siku 30 ndipo ununue mwingine
- Ukiwa na taa zenye wattage kubwa za husomea kama tube lights umeumia
Mkuu upo kijijini au town?Kaka, hii mada ya mda but am interested. Hivi malipo ni 9950 au 9150? Mwanzo nilikua najua ni 9500, then kuna mtu akaja niambia ni 9150, so kwa muda sana sasa nalipa 9150, ukiplus na haya makato unit zinazidi tu kushuka! Now napata 62 mostly! Kimtazamo ni bora hii 1500 wangeiongezea juu yake, ili mtu upate zilezile unit 75, ingesaidia sana!
Town, sema huduma iliungwa kitambo sana.Mkuu upo kijijini au town?
Dah awamu hii acha niandae fungu. Last tume nilicomment humu ilikua ni 2023, niliangukia pua kwa kufata taratibuTown, sema huduma iliungwa kitambo sana.