Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiliongezea thamani ataona nampenda sana na kuanza dharauLiongezee thamani basi 😜
Au unamsave 'mkopo wa nmb'Microfinance
Kwakweli nime msave kivuruge kwasababu ananivurugaWatu wengi hutumia Majina mazuri ya kuvutia kwa watu wanaowapenda.
Na kuna wale wenye wapenzi wengi hutumia Majina ambayo sio mazuri sana kuwa save watu hao kwenye simu zao.
Mimi nime msave 💖 wewe Je umemuandika vipi?
Jose masamaki ama?jina lake alilopewa na wazazi wake
😁😁😁😁Ila kama mtu ni fundi alafu ni mhariri namsevu jina lake, mfano Fundi mhariri wa ujenzi, au jina la mkoa anaotokea mfano joseph_mbeya