Umemtongoza kabla ya game anakuambia anaomba pesa akachome sindano za UTI, utachukua uamuzi gani?

Wewe mpe pesa akachome sindano hizo apone ..kupata UTI sio lazima kuwa malaya …wala sio lazima atumie njia hiyo akiwa anataka pesa kwako…
 
Tumeshtuka mapema sahiv Kupiga na kusepa ama uoe Tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nliwahinkutana na demu jamaa kampeleka polisi akidaunkamuibia laki 1 na laptop ya laki 4 .demu nkamla hakutaka hela nkamwita tuongee asee nlilipa laki 4 na nlikula sana yule mtoto bahati mbaya mm siwez oa muislamu asietaka kuwa mkristo nkaamua nimruhusu aolewe .na sina hatannambari yake
 
Mmmm dawa ni kuacha zinaa...tafuta mmj utulie nae....khaa...uti sugu nomaaa
 
Wanawake huwezi kuwakwepa kwenye kutoa pesa.Wana mbinu zaidi ya milioni ya kutoa upepo.wewe kama kuna Jambo unalihitaji kwake kubali Tu kutoka upepo
Ukihoji Sana hutakaa upate mwanamke Kwa Tanzania ya Leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…