Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Kama unampenda we mpe tu pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wazo la kuzini naye aliache kabisa?Kama unampenda we mpe pesa
Acha aunganishwe kwenye system 😂Itakuwa nae anaitaka,anaionea wivu dozi itafaidi[emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16] Sasa jamii forum itajuaje kama ni kweli ama la, mumesha ifanya jamii forum ni wapiga ramli sio
Kwa hiyo unatuuliza sisi kua tunaishi na huyo binti ama....?
Next time mpeleke mwenyewe hospital usimpe pesa ili ujiridhishe.
🤣🤣🤣🙌 jf watu na majibu ya kikatiliWakishashiba viporo vya wali maharage hua wanaona humu ndio pa kucheulia
Tumeshtuka mapema sahiv Kupiga na kusepa ama uoe TuBora huyo kasema kweli ana UTI kuliko vidudu mtu vingine vinakuacha uvagae tu mi UTI yao.
Kama uwezo upo unampa tu maana mwisho wa siku kama sio pesa ya sindano utatoleshwa pesa ya nywele, gas, voucher au hata kodi ikizingatiwa kitanzania mwanzo wa mahusiano ya mapenzi ndio mwanzo wa kila tatizo kwa mwanamke.
Kibongo bongo demu kutongozwa ni kama kupata kazi mpya. Anakuwa na matarajio ya dhiki zake zote kuisha kupitia huyo aliemtongoza.
Dah sister huwa una niacha hoi, kwa haya majibu😆🤣🤣 Dream QueenWakishashiba viporo vya wali maharage hua wanaona humu ndio pa kucheulia
😆😆😆[emoji16][emoji16][emoji16] Sasa jamii forum itajuaje kama ni kweli ama la, mumesha ifanya jamii forum ni wapiga ramli sio
Mmmm dawa ni kuacha zinaa...tafuta mmj utulie nae....khaa...uti sugu nomaaaYamemkuta jamaa huko mtaani.
Kamtongoza kakubali, siku mbili hazijapita binti kasema anaumwa kamsaidia pesa akapime. Baadaye kaambiwa ni UTI, binti akaomba pesa ya sindano kamsaidia pesa kidogo.
Hii ni trick ya binti kuombea pesa kwamba si mgonjwa wa UTI au ni kweli anaumwa anahitaji msaada?
Au kamtajia UTI kwa sababu zingine tu?