Umeniharibia maisha! ...what?


Mwambie kabisa huyu mbu arudi hapa, aje apunge haya mashetani aliyoyatibua lol!
 
Reactions: Mbu

Mpenzi wacha nikupandie kunako pm.....liache hadi masiha arudi alikute linangoja...
 

aahhahhaaa hha!...e bana weee? sasa hapo si ulizimika au?
halafu kesho yake ukaamka na ma-hangover kibao, na hasira zinakuja double double?
Ama maisha ni kujiharibia mwenyewe...
 
Ha ha haHakyanani! leo Maty amekunywa supu ya bamia maana unavoteleza hata wakijaribu kukushika wapi wateleza tu,punguza hasira kidogo.

 

hahaha kwa hiyo Maty huyu kajiharibia mwenyewe maisha wala asikusingizie wewe loh............unajua huwa tunasikitika na kusononeka kuwa umeumizwa, tena tunajiuliza why me, kwa nini sina bahati kumbe ni blessings in disguise wenyewe wanasema! nakumbuka siku nimependwa mie na mpenzi wa nafsi yangu baada ya kuumizwa nikawa nalalamika ......hivi ulikuwa wapi nisikutane na wewe kwanza kabla ya kukutana na huyu aliyeniponda ponda na kuuvunja vunja moyo wangu beyond repair?' alinijibu akisema nilikuwa nami huko nilikokuwa nami nikivunjwa vunjwa moyo na kupondwa pondwa ili tukijakutana mimi na wewe tuelewe thamani ya kupenda na kupendwa............... Nami najiuliza kama nisingekuwa na majeraha yeye angekuja kufariji nini? moyo wangu ungekuwa mzima bila makovu yeye angepuliza wapi............... ninamshukuru kwa kunionyesha hii positive thinking ya maumivu ya mapenzi!
 

Nipo hapa hapa, wala usikonde...ha hhahhaa!...
nawasomeni nyote mstari kwa mstari, ....mwambieni Nyamayao mtandao umerudi hewani...
au ndio karudi kabatini kuziangalia zile picha enzi za 'ugeloflendi!'

Ila kwakweli mmenifurahisha sana upokeo wenu wa maisha mapya bada ya kuuvuka mtihani wa maisha.
Wenzenu wengi tu tulishawazika....enzi zile Klorokwini na Piriton zilipokuwa dili, eti watu wanatishia kujiua
halafu kweli roho inaacha mwili!

Ila hiyo ya bia tatu za Mwj1 imeniacha hoi,....ungekunywa Ze Bingwa labda, mnh...ningeshakukosa maskini!
 
Mpenzi wacha nikupandie kunako pm.....liache hadi masiha arudi alikute linangoja...

..........hahahaha RR unazidi kumchomea maty udi maruhani yampande!! Atakutokea kwenye screen kuonyesha msisitizo wa points zake shauri yako.


aahhahhaaa hha!...e bana weee? sasa hapo si ulizimika au?
halafu kesho yake ukaamka na ma-hangover kibao, na hasira zinakuja double double?
Ama maisha ni kujiharibia mwenyewe...

Ah Mbu we acha, natamani kuitaja aina but nahofia maana kama anasoma humu moja kwa moja atanitambua...but kuna aina flani ilitokaga afu kukawa na rumours kuwa ni kali sana inaua watu.... dada si nikajidunga!! nilizima si utani, najazinduka nimezungukwa ......nilikasirikaje!

But ah nacheka tu sasa hivi
 

Ni vizuri ku-discuss mambo ambayo yamewakuta kwa faida ya kizazi hiki na kijacho... mliyopitia ni shule tosha kwa jamii nzima..

hakika hizi stori zenu zina-make au zita-make difference kwa maisha ya mtu iwe leo au kesho
 
Nipo hapa hapa, wala usikonde...ha hhahhaa!...
nawasomeni nyote mstari kwa mstari, ....mwambieni Nyamayao mtandao umerudi hewani...
au ndio karudi kabatini kuziangalia zile picha enzi za 'ugeloflendi!'
Wamtafuta undani weye loh eti picha za ugeloflendi.........

:caked:
 
Reactions: Mbu
Ha ha haHakyanani! leo Maty amekunywa supu ya bamia maana unavoteleza hata wakijaribu kukushika wapi wateleza tu,punguza hasira kidogo.

Hahahaha lol na hivi enzi hizo computer hakuna kuanza kutype nilianzia na typewriter tena ile manual ukigusa tu unaenda nayo mpaka chini tiii mpaka kwenda herufi nyingine jasho limekutoka, sasa hii keyboard nateleza nayo tu lol, kama kumsukuma mlevi vile mwe!

Sina hasira mamito ila wanatakiwa wajue tuna misimamo sasa

hebu burudika na hii lyrics kutoka kwa Whitney houston lol

"On My Own"

I'm wiser now
I'm not the foolish girl you used to know
So long ago
I'm stronger now
I've learned from my mistakes which way to go
And I should know
I put myself aside to do it your way
But now I need to do it all alone

And I am not afraid to try it on my own
I don't care if I'm right or wrong
I'll live my life the way I feel
No matter what I'll keep it real you know
Time for me to do it on my own
Yeah yeah, mmm, yeah yeah

It's over now
I can't go back to living through your eyes
Too many lies
And if you don't know by now
I can't go back to being someone else
Not anymore
I never had a chance to do things my way
So now it's time for me to take control

And I am not afraid to try it on my own
I don't care if I'm right or wrong
I'll live my life the way I feel
No matter what I'm gonna keep it real you know
Time for me to do it

Oh I start again go back to one
I'm running things my way
Can't stop me now, I've just begun
Don't even think about it
There ain't no way about it
I'm taking names, the ones of mine
Yes I'm gonna take my turn
It's time for me to finally stand alone, stand alone

I am not afraid to try it on my own
And I don't care if I'm right or wrong
I'll live my life the way I feel
No matter what I'm gonna keep it real you know
It's time for me to do it
See I'm not afraid
 

MJ1 huyu wangu anavyojifanyaga anataka suluhisho hajui kwamba ndio ananifanya nimchukie, yaani naona ni usumbufuu usio na sababu, halafu mbaya kabisa anasema eti mr yeye alikuta ameshatengeneza so anakula jasho lake....hahahahha, madai yake kupendeza kwangu alianza yeye kunipendezesha so sasa hivi mr anamuibia, kama jinga vile.
 
Ha ha haHakyanani! leo Maty amekunywa supu ya bamia maana unavoteleza hata wakijaribu kukushika wapi wateleza tu,punguza hasira kidogo.

Hhahahha Chauro umemwona Maty?? ah dada wee acha tu tujiachie behind hizi screen...mambo mengine ukiyakumbatia sana waezapata stroke ukingali mdodooo.
 

............... hahah uwii kuna watu wana visa!! Etiiii katengeneza yeye!! amah
Msamehe bure tu mamito loh hata mie akija na nyimbo za kumbeza aliyeniona wa thamani ah tunagombana mwankwetu!!
 

Nauliza tu...
 
Asante mpenzi,huwa tunajifunza kukomaa kutokana na makosa.Halafu leo nimeamka mpole mwenzio hata kusema naona uvivu uwe na jioni njema.

 

Aisee i'm speechless kwa hii maneno walahi dah! yaani yako vere vere, hebu kamata hii kwanza
[h=2]The Following 2 Users Say Thank You to MwanajamiiOne For This Useful Post:[/h]
Maty (Today), Mbu (Today)​
 

Mwj1...LOL....msg Received! hivi ulimaliza chupa zote tatu?
Usirudie tena! eti uliposhtuka ukajikuta watu wamekuzunguka... ha ha ha....


Wapo humu humu,wanajilizaliza na kukamuliwa hao mpaka mafua lakini wakiingia hapa unafikiri wanasemaga.

Chauro, nadhani sasa ni wakati muafaka nawe kuja kumwaga ushuhuda wako humu.
Najua roho yako haistahmili pupwe, lakini hapa tumo kwenye healing process!

Si unamuona Maty na kibwebwe kajifunga kiunoni? ha hha haa...
Kasoma kaelimika, hathubutu yeyote kuja muharibia maisha yake tena!
 
Asante mpenzi,huwa tunajifunza kukomaa kutokana na makosa.Halafu leo nimeamka mpole mwenzio hata kusema naona uvivu uwe na jioni njema.

Asante my dear nawe pia uwe na siku njema na huo uvivu ukutoke kabisa lol.

He kwaherini wajameni ngoja niwahi m-pesa mie kwani nishatuma kibomu maziwa ya mtoto yameisha lol
 
Reactions: Mbu

Kwani nakumbuka basi!! Nadhani kuna ilobaki na nilizima so haikuwa kazi kujua nimekunywa nini maana vidhibiti vilikuwa pale pale lol............afu leo yu aja ananiambia tu'ibie'!!.......kajiseme aMaty utaibaje ambacho kilishakuwa chako enzi hizo? ah.........natamani nitungie kitabu!
 
Reactions: Mbu
Asante my dear nawe pia uwe na siku njema na huo uvivu ukutoke kabisa lol.

He kwaherini wajameni ngoja niwahi m-pesa mie kwani nishatuma kibomu maziwa ya mtoto yameisha lol

Hahahahahah Matty maziwa ya mtoto wa miaka kumi afu si yuko boarding huko hahaha
na yenyewe hayajapanda bei??
 
Reactions: Mbu
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…