Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
- Thread starter
- #181
MJ1 huyu wangu anavyojifanyaga anataka suluhisho hajui kwamba ndio ananifanya nimchukie, yaani naona ni usumbufuu usio na sababu, halafu mbaya kabisa anasema eti mr yeye alikuta ameshatengeneza so anakula jasho lake....hahahahha, madai yake kupendeza kwangu alianza yeye kunipendezesha so sasa hivi mr anamuibia, kama jinga vile.
LOL! astghafirullah!!!...ha hhhahha...Nyamayao unaua!!!!!!!