Ananichosha bana mtu saa nyingine umekaa na yako mara simu sasa ma fulani vipi ile makitu? Mi simchuni ila kwa sababu ananikera na ningeweza hata kumtukana, lakini sipendi ugomvi na yeye kwani hata iweje siwezi badilisha ukweli kwamba ye ndio baba wa huyu malaika wangu nimpendae kuliko kitu kingine chochote.
Sasa yale machungu niyapunguzaje? labda unipe mbinu ya kupunguza haya makovu anayoyatonesha kila siku. Mimi naamini kuna kusamehe lakini hakuna kusahau sa anavyoniambiaga huwa ananikumbusha yale machungu aliyoniachia.
Umesahau ile kitu 'no free lunch?'.....Haya weee!