Umeniharibia maisha! ...what?

Umeniharibia maisha! ...what?

Hahahah nimegundua sie wengine tunajomasikinisha wenyewe kwa kujitia twajua kususa loh! Mie nlimsusia mpaka vya kwangu! Laiti ningemjua Matty mapema hakuna rangi angeachaiona mbaba yule.

Ukisusa mpenzi inakula kwako, maana mitoto yenyewe ya siku hizi hasa wangu mchaga huyu naona wakizaliwa tu wanavutiwa kwao. Mzazi unajitia kususa kama pesa ninazo nitatunza mwanangu mwenyewe unajipinda mtoto akikua huyooooooooooooo kwa babake, unabaki unajuta na kuona bora mngetunza wote. Kuna vitu vya kususa bana, mie pesa yangu kibindoni atunze mwenyewe mtoto wake na akijiletaleta na mimi nakula pia nani kasema pesa inatoshaga zikija nazifyandula vilivyo.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Sijasema urudiane nae....ila nimesema unaogopa ukikaa nae karibu mtarudiana.....trying to say you not over him...
Ila naishia hapa...right?

nope...endelea! kurudiana nae itakuwa ni ndoto za alinacha, kwa muda alionisumbua kama angekuwa amebakisha ka sehemu ka upendo moyoni mwangu ungekuta hata nimeshasema nikae japo nimckilize uongo anaotaka kuniambia, hana nafac kabissa kwenye lyfe langu, it was swir....
 
nope...endelea! kurudiana nae itakuwa ni ndoto za alinacha, kwa muda alionisumbua kama angekuwa amebakisha ka sehemu ka upendo moyoni mwangu ungekuta hata nimeshasema nikae japo nimckilize uongo anaotaka kuniambia, hana nafac kabissa kwenye lyfe langu, it was swir....

Case rested darling.....me knows u, remember?
 
Kazi ipo...

mpenzi si ndugu yako. Jiweke tayari kwa lolote i.e kuishi hadi kifo kuwatenganisha au kutemana ikibidi na kulazimu.
 
Ukiwachia mambo ya ukatili yaliyotajwa kama kubaka au kuambukizana magonjwa, matukio mengine yote katika mahusiano hayawezwi kusemwa kuwa "Umeniharibia maisha".
Tatizo ni kuwa wengine wanapopenda, hujisahau na kuwa "wategemezi" sana kwa wanayempenda kiasi siko wakiwachwa saa yao ya kuishi huwa imeishia hapo. Mfano.mmeishi pamoja miaka 10 na kuendelea, siku moja mwenzako anakwambia tumeishia hapa na wewe unasema umeharibiwa maisha. Tukumbuke mapenzi huzaliwa, hukua na hufa...siku yakifa yamekufa na usidai umeharibiwa maisha.
Je ikiwa kwa mfano huohuo hapo juu, baada ya miak 10 na zaidi Mwenyezi Mungu anaamua kumchukua mwenzako, jee nani utalalamikia amekuharibia maisha, yule "aliyeamua kufa na kukuwacha katika mataa" au utamlaumu Mungu aliyempenda zaidi?

Ushauri: Katika mapenzi tujaribu "kuogelea na nguo zetu mkononi", tuwapende tunaowapenda lakini tubakishe asilimia fulani ya mapenzi kwa ajili yetu, nikiwa na maana tujitayarishe kwa lolote bila ya kujiwacha na kuja kutafuta mchawi baadaye.
 
Wapendwa,

Binafsi naamini katika kuwa na kiasi. Ukitaka kuishi maisha ya furaha ni bora ukawa na kiasi. Hata katika kupenda, hatuna budi kupenda kwa kiasi na kuweka angalizo moyoni.."nitafanya nini mwenzangu asiponipenda ninavyompenda mimi"?. Jibu la angalizo hilo halipasuwi kuwa kujiua; kwa maana si suluhisho sahihi la tatizo. Kila mcha Mungu hatachukua uamuzi wa kujiua, maana twajua Mungu mara zote ana fikra nzuri kwa wamchao.

TUMCHE MUNGU; NA HAKUNA MWANADAMU AWAYE CHINI YA JUA AWEZAYE KUHARIBU MAISHA YA MWENZAKE.

Tumsifu Yesu Kristu.
 
mjadala mzuri sana mbu...!hongera sana na tunashukuru sana!mawazo binafsi: kwenye hili swala uloleta hapa wahanga wa kubwa wa kukata tamaa na kunakopelekea kujiua ni WAKINAMAMA!...na sio kweli kwamba wanaume hawaharibiwi maisha.kinachowatofautisha wanaume na wakinamama ni ''a degree of emotions''....tafiti zimeonyesha asilimia kubwa ya wakinamama wako too emotional,kiasi cha kujichukulia maamuzi ya ghafla mojawapo ni hilo la kujiua.ukweli hii biashara ya malovee ni ngumu sana.ushauri binafsi:your thread must and it has to be a ''wakeup call to all the women'' na wajue wazi kabisa hakuna sababu ya kuwa emotional au kuumia sana kwenye hii tasnia ya mapenzi kwakuwa tu kila mtu alizaliwa peke yake na hakuna aliyezaliwa kwa ajili ya mwingine..HAKUNA KABISA!mahusiano kama mahusiano hujengwa na hisia na state of mind.kuna vitu vingi sana vizuri na vya maana vya kuangalia kuliko hao wapenzi.....!kwamba mtu unajiua kisa umeumizwa na mtu unaempenda SIO KWELI...!au kudanganywa na vimisemo kama I WAS BORN TO MAKE YOU HAPPY...AU SIJUI I CAN'T LIVE WITHOUT YOU...hapana hapana!sio kweli.huwezi ukafikiria kujiua wakati wewe unajua kabisa unawajibika kwa wazazi wako kwa kukufikisha ulipo au kama ndo familia zetu za kiafrika wazazi na familia wanajinyima ili wewe ufike walau university...halafu mwaka wa nne wa shahada ya sheria unajitupa ghorofani pale HALL FIVE kisa mwanaume..!hapana hapana!wakina dada muwe na huruma japo kidogo kwa wazazi na familia zenu japo kidogo!...ahsante sana mbu!
 
Du maisha yalivo matamu nijiue kisa, maisha lazima yaendelee after broken heart, ni kweli unakuwa dissapointed na huyo jamaa lakini ina budi utafute njia ya kujikwamua urudie maisha ya zamani, jiulize kabla yake ulikuwaje utapata moyo wa kuendelea
 
Wapendwa,

Binafsi naamini katika kuwa na kiasi. Ukitaka kuishi maisha ya furaha ni bora ukawa na kiasi. Hata katika kupenda, hatuna budi kupenda kwa kiasi na kuweka angalizo moyoni.."nitafanya nini mwenzangu asiponipenda ninavyompenda mimi"?. Jibu la angalizo hilo halipasuwi kuwa kujiua; kwa maana si suluhisho sahihi la tatizo. Kila mcha Mungu hatachukua uamuzi wa kujiua, maana twajua Mungu mara zote ana fikra nzuri kwa wamchao.

TUMCHE MUNGU; NA HAKUNA MWANADAMU AWAYE CHINI YA JUA AWEZAYE KUHARIBU MAISHA YA MWENZAKE.

Tumsifu Yesu Kristu.
Haya mapenzi mkuu yanavochipuka, ni vigumu kujicontrol kabisa
 
Ukiwachia mambo ya ukatili yaliyotajwa kama kubaka au kuambukizana magonjwa, matukio mengine yote katika mahusiano hayawezwi kusemwa kuwa "Umeniharibia maisha".
Tatizo ni kuwa wengine wanapopenda, hujisahau na kuwa "wategemezi" sana kwa wanayempenda kiasi siko wakiwachwa saa yao ya kuishi huwa imeishia hapo. Mfano.mmeishi pamoja miaka 10 na kuendelea, siku moja mwenzako anakwambia tumeishia hapa na wewe unasema umeharibiwa maisha. Tukumbuke mapenzi huzaliwa, hukua na hufa...siku yakifa yamekufa na usidai umeharibiwa maisha.
Je ikiwa kwa mfano huohuo hapo juu, baada ya miak 10 na zaidi Mwenyezi Mungu anaamua kumchukua mwenzako, jee nani utalalamikia amekuharibia maisha, yule "aliyeamua kufa na kukuwacha katika mataa" au utamlaumu Mungu aliyempenda zaidi?

Ushauri: Katika mapenzi tujaribu "kuogelea na nguo zetu mkononi", tuwapende tunaowapenda lakini tubakishe asilimia fulani ya mapenzi kwa ajili yetu, nikiwa na maana tujitayarishe kwa lolote bila ya kujiwacha na kuja kutafuta mchawi baadaye.

mjadala mzuri sana mbu...!hongera sana na tunashukuru sana!mawazo binafsi: kwenye hili swala uloleta hapa wahanga wa kubwa wa kukata tamaa na kunakopelekea kujiua ni WAKINAMAMA!...na sio kweli kwamba wanaume hawaharibiwi maisha.kinachowatofautisha wanaume na wakinamama ni ''a degree of emotions''....tafiti zimeonyesha asilimia kubwa ya wakinamama wako too emotional,kiasi cha kujichukulia maamuzi ya ghafla mojawapo ni hilo la kujiua.ukweli hii biashara ya malovee ni ngumu sana.ushauri binafsi:your thread must and it has to be a ''wakeup call to all the women'' na wajue wazi kabisa hakuna sababu ya kuwa emotional au kuumia sana kwenye hii tasnia ya mapenzi kwakuwa tu kila mtu alizaliwa peke yake na hakuna aliyezaliwa kwa ajili ya mwingine..HAKUNA KABISA!mahusiano kama mahusiano hujengwa na hisia na state of mind.kuna vitu vingi sana vizuri na vya maana vya kuangalia kuliko hao wapenzi.....!kwamba mtu unajiua kisa umeumizwa na mtu unaempenda SIO KWELI...!au kudanganywa na vimisemo kama I WAS BORN TO MAKE YOU HAPPY...AU SIJUI I CAN'T LIVE WITHOUT YOU...hapana hapana!sio kweli.huwezi ukafikiria kujiua wakati wewe unajua kabisa unawajibika kwa wazazi wako kwa kukufikisha ulipo au kama ndo familia zetu za kiafrika wazazi na familia wanajinyima ili wewe ufike walau university...halafu mwaka wa nne wa shahada ya sheria unajitupa ghorofani pale HALL FIVE kisa mwanaume..!hapana hapana!wakina dada muwe na huruma japo kidogo kwa wazazi na familia zenu japo kidogo!...ahsante sana mbu!

Haya wadada mnaochipukia mapenzini maushauri haya yenye ujumbe mzuri sana mkijumlisha mifano tuliyotoa dada zenu Mungu awape nini? hatutaki kusikia tena mtu analalamika katendwa hapa au kaharibiwa maisha. Jitahidini kutumia akili na si mioyo yasije wakuta yaliyowahi tukuta sie. Jitahidini pia elimu hii muwape na ndugu jamaa na marafiki ambao kwa namna moja au nyingine hawawezi ingia humu na kusoma.

Mwisho shukrani kwa Mbu kwa kuanzisha hii thread mimi nimeprint kabisa thread nzima naenda weka kwenye file binti akiongezeka kidogo tu nampa somo nikimaliza nampa na file zima akajisomeage. Kazi ibaki kwake ajiharibie maisha au ayaboreshe.
 
mjadala mzuri sana mbu...!hongera sana na tunashukuru sana!mawazo binafsi: kwenye hili swala uloleta hapa wahanga wa kubwa wa kukata tamaa na kunakopelekea kujiua ni WAKINAMAMA!...na sio kweli kwamba wanaume hawaharibiwi maisha.kinachowatofautisha wanaume na wakinamama ni ''a degree of emotions''....tafiti zimeonyesha asilimia kubwa ya wakinamama wako too emotional,kiasi cha kujichukulia maamuzi ya ghafla mojawapo ni hilo la kujiua.ukweli hii biashara ya malovee ni ngumu sana.ushauri binafsi:your thread must and it has to be a ''wakeup call to all the women'' na wajue wazi kabisa hakuna sababu ya kuwa emotional au kuumia sana kwenye hii tasnia ya mapenzi kwakuwa tu kila mtu alizaliwa peke yake na hakuna aliyezaliwa kwa ajili ya mwingine..HAKUNA KABISA!mahusiano kama mahusiano hujengwa na hisia na state of mind.kuna vitu vingi sana vizuri na vya maana vya kuangalia kuliko hao wapenzi.....!kwamba mtu unajiua kisa umeumizwa na mtu unaempenda SIO KWELI...!au kudanganywa na vimisemo kama I WAS BORN TO MAKE YOU HAPPY...AU SIJUI I CAN'T LIVE WITHOUT YOU...hapana hapana!sio kweli.huwezi ukafikiria kujiua wakati wewe unajua kabisa unawajibika kwa wazazi wako kwa kukufikisha ulipo au kama ndo familia zetu za kiafrika wazazi na familia wanajinyima ili wewe ufike walau university...halafu mwaka wa nne wa shahada ya sheria unajitupa ghorofani pale HALL FIVE kisa mwanaume..!hapana hapana!wakina dada muwe na huruma japo kidogo kwa wazazi na familia zenu japo kidogo!...ahsante sana mbu!

hasa cheki huyu hapo chini

Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Monica Barthelemeo mkazi wa Mabibo Makuburi jijini Dar es Salaam, amejilipua kwa kiberiti na mwanaye aitwae Anastazia Leonard baada ya kudai kuletewa mke mwenza na mumewe aliyetajwa kwa jina la Leonard.

Tukio hilo la kusikitisha lilitokea usiku wa Juni 12, mwaka huu maeneo ya Mabibo External jijini baada ya mwanamke huyo kujimwagia mafuta ya taa pamoja na mwanaye kisha kujilipua kwa kiberiti.

Akizungumzia tukio hilo, dada wa marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Godriver Barthelemeo alisema marehemu kabla ya kifo chake alikuwa akiishi mkoani Geita kama mke wa Leonard na kufanikiwa kupata watoto wawili, Anastazia (3) na Edward (5), lakini siku za hivi karibuni kuliibuka mizozo ya kimapenzi baina yao.

Alisema mizozo hiyo ilianza ambapo marehemu alikuwa akimtuhumu mumewe kulala nje mara kwa mara bila taarifa yoyote na akadai baadaye mume huyo alimpeleka mwanamke mwingine ndani ya chumba walichokuwa wakiishi na yeye pamoja na watoto kufukuzwa.

"Baada ya kufukuzwa marehemu na watoto wake walifunga safari na kuja hapa Dar na kufikia kwangu Mabibo Makuburi, akanisimulia mkasa wa kufukuzwa na mumewe na kuletewa mke mwenza," alidai Godriver.

Aliongeza kuwa baada ya kusikiliza kilio cha mdogo wake aliahidi kumpa ushirikiano lakini marehemu alionekana kuchanganyikiwa kutokana na tukio hilo na kuanza kufanya mambo yasiyoeleweka ikiwemo kuongea peke yake.

Alisema Juni 12, mwaka huu akiwa nyumbani alifuatwa na kijana mmoja na kupewa taarifa kuwa ndugu yake amejimwagia mafuta ya taa na kujilipua pamoja na mwanaye.

Kufuatia tukio hilo wasamaria walimkimbiza Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam lakini kutokana na hali zao kuwa mbaya walikimbizwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Madaktari walijaribu kuokoa roho za majeruhi hao lakini mtoto aliaga dunia Juni 15, mwaka huu na mwanamke huyo alifariki dunia siku mbili baadaye.

Marehemu alitarajiwa kuzikwa jana (Jumatatu) katika Makaburi ya Mabibo jijini Dar.
 
vikikwama jipe hili
"I will survive" by Gloria Gaynor
 
Mie mpaka leo nashutumiwa kwa kumharibia mtu maisha yake..
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mtazamo wangu mtu akiniambia nimemharibia maisha:Kwa mtu ninayempenda sidhani kama nitamharibia maisha,kama kumharibia maisha anayozungumizia ni kumpotezea malengo kama vile masomo au mimba n.k,ambayo haikutarajiwa basi nitakuwa karibu naye na kumsaidia kadri ya uwezo wangu ila yeye ajue kwamba amechachangia kiasi gani nimemharibia maisha yake?na alikuwa hajui matokeo?kama sio mwelewa basi lawama zake hazisaidii maana yeye pia alichangia ktk kuharibu maisha yake.

Kwanini nione maisha hayana thamani?:Mimi kama Excellent naamini maisha yangu yana thamani sana na ninajua huyo mtu nilikutana naye tu na kabla yake nilikuwa na mfumo wangu binafsi wa maisha,kwahiyo hakuna kitakachobadilika maana najua maisha nikupambana ktk situation yoyote.

Kwanini kinyongo,chuki,fitina,wivu,hasira?:ni aliniharibia maisha,nadhani atakapokuwa mbali na mimi nitakuwa nimeutua mzigo wa mwiba na sitakuwa na chuki,fitna wala wivu au hasira.

Msiba wa mtu uliyemharibia maisha unaumiza sana,kama ulimharibia maisha mfano ulimbaka,H.I.V n.k lazima moyo uumie na daima hilo litakushitaki na hutapata amani wala utulivu wa moyo kwa kumharibia mtu ambaye ni innocent.

Mwenza wangu akiniambia atajiua maana maisha yake hayana thamani bila mimi:ukweli ni kwamba akinisaliti halafu aniletee hiyo kauli then tutaona ni jinsi gani maisha yake hayana thamani bila mimi.

Suluhisho kukabiliana na mtihani huo:Suluhisho ni kuwa makini katika uhusiano wa kimapenzi,kufanya ngono salama,kuwa waaminifu,kuaminiana,kuthaminiana na kuboresha mapenzi kila siku.Pale inapotokea mwingine kapata tatizo kwa ajili ya mwingine mchukuliane,kuelewana,kutafuta suluhisho pamoja na siyo kumkimbia mwenza wako wakati wa matatizo.[/QUOTE]


This is excellent piece of advise, niot only for married couples, but also for lovers.....
 
Nilipata nafasi ya kuongea na mdada mmoja anaenda kwa jina la Maty nilipoenda kule alipo kwa ajiri ya Seminar fulani hivi. Muda mfupi nilioongea nae nikagundua AMEELIMIKA bila kupita darasani. She's stable in her mind. Kuoa mtu kama huyu ni raha mpaka basi.

Nadhani na wewe ndo wale wale kama huyu Maty . . . lolz
Thanks mkuu for the compliment
 
hapa jamani wengine tulikumbwa na upofu, msiuombee huu upofu jamani, lakini tulijifunza kutokana na makosa, sasa hivi yaani roho nyeupe tayari kwa kupokea lolote litakalotokea.
Pole sana nahisi sasa hivi upofu umekutoka unaona hadi nukta, haya mambo usipoyapatia unaweza tembea mikono kichwani kila siku
 
suicidal-students-800x800.jpg
you.jpg
"...ndio! umeniharibia maisha yangu!"


...hebu niwaulize nyie wana JF Tusaidiane mawazo, maoni na ushauri kuhusiana na hili.

Je?

Nini mtazamo wako mtu anapokwambia umemharibia maisha!
Tatizo nini?
kwanini ujifikirie maisha hayana tena thamani bila fulani?

Tujadili
kwanini kinyongo, chuki, fitna, wivu, hasira, yakichanganyika na mapenzi yanachangia walio wengi kupoteza matumaini ya maisha.

Je,
utauchukuliaje msiba wa aliyekuwa wako, aliyejiua sababu "umemharibia maisha!," au,
Je,
unamchukuliaje mwenza wako ambaye anakwambia atajiua kwani maisha yake hayana thamani bila wewe?

Nini suluhisho kukabiliana na 'mtihani huo'

warningsign.gif
...lengo, nia na madhumuni ya topik hii ni kuwapa insight ya mental health
(kuboresha.)
Kwa wenye mioyo dhaifu, natanguliza ombi la msamaha kama nitakuwa nimewakwaza kwa njia moja au nyingine.

Nataka kuamini kwamba kila mmoja wetu amejaaliwa utambuzi na uchaguzi.
Unapochagua, ina maana pia unajikubalisha matokeo yatayotokana na maamuzi yako.
Kumtupia mwenzako lawama ya "amekuharibia" ina maana hukuwa makini kwenye utambuzi na uchaguzi wa
maamuzi yako.

Ni jinsi gani twaweza boresha utambuzi, uchaguzi na maamuzi yetu
kwenye maisha na mapenzi kwa ujumla?

WHAT DO YOU WANT IN LIFE?

mkuu ujue hili ni mtu na mtu tu....Ukiona mtu amejiua au anataka kujiua si utani anajua mwenyewe tu how pains he/she is facing.....Usiusemee moyo alisemaga lady jaydee
 
Back
Top Bottom