Umeniteka kwako sijiwezi nyang'anyang'a

Daaah Mama sabrina hii track nimeipenda aseeh.... thanks.

Ina ni catch fellings hatari.


Mziki wa bongo unakua saana...[emoji7] [emoji7] [emoji7]
 
Daaah Mama sabrina hii track nimeipenda aseeh.... thanks.

Ina ni catch fellings hatari.


Mziki wa bongo unakua saana...[emoji7] [emoji7] [emoji7]
Mim najuaa kuchagu eti umeupendaa
 
Atakuwa anafura ....

Sema kemikali aache kuchanganya r na l sasa... beka ana sauti nzuri saana....

Mwache avimbe apasuke muda ndio huu
Yaa watu wapengi wana tatizo la kuchanganya hizo herufi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…