Umenitumia weee, ukanioa, alafu umeenda kunitupa shamba, hivi wanaume mkoje

"we nenda Kijijini ngoja mi nipambane hapa mjini nikimulikiwa tochi na mtoa riziki takuja kukuchukua"
 
Jaman wanaume mnaitwa huku

Mmemtumia dada WA watu alafu mkamuoa

Mlipomuoa mkaenda kumweka aishi shamba

Kwani wakati mnamtumia mlitumia akiwa shamba au unaona alikaa mjini wenzio watafaidi?

Wanaume mkoje lakini??
Wanaume Tuko Furesh, Kwani Vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…