Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Mimi naongezea heri uoe mwanamke aliezaa watoto watatu kuliko uoe mwanamke aliewahi kutoa mimba angalau moja huyo ni mkosi na gundu. Nasubiri mapovu....
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] si mpaka nimpate wa kunioa? Nioe wewe ili niwe mama bora....[emoji12] [emoji12] [emoji12]


External forces has nothing to do with my life. So i will marry when i want!
Aya Nakuoa. Be true to yourself .external factors have something in your life Thad
 
mkuu asante kwa kunilinda
 
Mimi naongezea heri uoe mwanamke aliezaa watoto watatu kuliko uoe mwanamke aliewahi kutoa mimba angalau moja huyo ni mkosi na gundu. Nasubiri mapovu....
Asante kwa kutia nyama kwenye uzi. Nakubaliana na wewe
 
Sio wote man. Darasa linaweza kuwa na wasichana 50, af 10 ndo wanachukuliwa na vibabu nyie mnageneralize wote. Wapo waliotulia, ni wengi zaid sema huwajui coz huna time nao, umekomaa na vicheche tu. Chuo na mimi nimepita
 
Trump anajisemeaga 'wrong'kisha anacheki upepo mbele 'next'.
 
Kuoa age mate ni kujitafutia matatizo tu mbeleni uko! Either oa msichana uliyemzidi zaidi ya miaka saba au akuzidi yeye!
 
Utakuwa sio Mkristo ndio maana unakremisha dhambi wewe!
Basi vijijini wangekuwa matajiri sana maana wanaoa 15yrs girls.
 
sio wote ndg wengine wamejitunza vizr sana wanasubir wapate mume bora wasonge mbele;wadada wanaofanya machaf wapo n wazur pia wapo wengi tu
 
Sio wote man. Darasa linaweza kuwa na wasichana 50, af 10 ndo wanachukuliwa na vibabu nyie mnageneralize wote. Wapo waliotulia, ni wengi zaid sema huwajui coz huna time nao, umekomaa na vicheche tu. Chuo na mimi nimepita
Nashangaa anazani hatujapita vyuoni!..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…