Kama ni mchakato basi usimhukumu mtu kwa umri wakeNi mchakato
Mkuu na tamaa ya mabinti pia inachangia. Hawataki kuishi kulingana na kipato cha familia. wanaishi maisha ya maigizoTatizo ni wababa kutotimiza majukumu ya kuwatunza wanao.........yaaani unakuta binti hapati huduma yoyote toka kwa wazazi bali anajitunza mwenyewe sasa, akifikia wakati wa kujitunza mwenyewe sasa ndo inaanza hayo ya kugawa......hivi hujuwi kwanini mashoga wameongezeka?
Huyo amevurugwa tu...kwanza binti wa 25 and above ndo ameshakomaa vizuri kwa ndoa below hapo wachache sana wanajielewa bado wanafikiria kubadilisha wanaumeJe Na wale Ambao wametembea Na Ahadi za Kuolewa since Akiwa Na Miaka 21 Na Amejitunza Vizuri tu Akafikisha 25 Akatemwaa Unamsemeaje na huyo ???
Na Je Umesahau kuna Wanaume wanatembea Na wanawake Umri Kama Mama Zao, Au Bibi Zao Na Hawa nao Unataka Kusema Wakioa Hawatapata mafanikio Kwa sababu Wamepata laana !!!Mmmh
MAFANIKIO* Hayaji kwa sababu ya Umri,Au Ndoa MAFANIKIO* Yanakuja kwa Kujituma, Na Kumtanguliza Mungu Kwenye Kazi Za Mikono yako!!! How Many Single Mother Richest In The World?
Hujamuelewa mkuu kasema wengi waoInabidi o uwe makini Na unachoandika ukisema mwanamke miaka 25 kunawengine wamejitunza mpaka kufikia umri huo na wakaolewa vizuri tu
kule rafiki kila kitu ni utani usichukulie vitu vya kule seriousRafiki nasikia kule makapuku forum kuna mtu ameachana na kupata mtu mwingine papo kwa hapo! Unaweza kuniambia ni nani huyo mtu please?[emoji4][emoji4][emoji4]
Mkuu unaoa mtu kizazi kishasukwasukwa na vyuma vya madaktari ktk harakati za kumtoa mimba 3 za kabla ya ndoa. Hela yote mnayotafuta miaka 5 ya mwanzo wa ndoa yenu inaishia Kusafisha kizazi. hujachelewa tu kupiga hatua hapo?Kama ni mchakato basi usimhukumu mtu kwa umri wake
hakuna jiwe la gizani wala la kwenye mwangaNimetupa jiwe gizani
Daah imebidi nicheke peke yangu. Sasa aweke picha ya nani?Ungetupiapo na kapicha mkuu
Kwa kauli hiyo kuwa below 25 anafikiria kubadilisha wanaume, unakubaliana nami kuwa anayekuwa above 25 amebadilisha sana wanaume mpk kaharibikiwa.Huyo amevurugwa tu...kwanza binti wa 25 and above ndo ameshakomaa vizuri kwa ndoa below hapo wachache sana wanajielewa bado wanafikiria kubadilisha wanaume
Mkuu acheni hii kitu wanasaikolojia wanaita projection (kusukuma tatizo kwa jambo/kitu au mtu mwingine) kisa tu umekosa hoja. Pinga hoja kwa kutumia hojaIla wanawake mwombeni radhi huyu jamaa maana kuna mwenzenu kamvuruga kisaikolojia
Mkuu mi najua ukioa mwanamke mwenye umri mdogo ndo huwezi kufanikiwa maana mawazo yake yanakuwa hayaja komaa mda wote anawaza kusipendi lakini ukioa mwenye umri mkubwa atakuwa na uwezo mkubwa wa kukushauri na kujenga maishaMkuu unaoa mtu kizazi kishasukwasukwa na vyuma vya madaktari ktk harakati za kumtoa mimba 3 za kabla ya ndoa. Hela yote mnayotafuta miaka 5 ya mwanzo wa ndoa yenu inaishia Kusafisha kizazi. hujachelewa tu kupiga hatua hapo?
Kifupi wote wawili walijiheshimu na uaminifu ulikuwepo. Pesa zilikuwepo ila hazikupewa kipaumbele kama ilivyo sasa kwa dada zetu mkiona mwanaume mwenye pesa nguo ya ndani inavuka yenyewe.Ndoa za wazazi wetu zilidumu kwa kiasi kikubwa kwa mwanamke ndoa ilikuwa ajira na wazazi wetu wengi mishahara ya enzi za ujamaa hawakuwa na michepuko au pesa ya kwenda bar kila siku.
Hata kama kaumizwa katoa ya moyoni.Utafiti wako umeufanyia wapi?na kwa sampling ipi[emoji2] [emoji2] sema umeumizwa sehemu unaleta machungu yako humu ndugu pole yako.
Umenigusa juniorMchumba angu ana 27...af sina mpango wa kumuacha..inshort naoa!!