Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Hoya yako,nyepesi sana.mm kwa uzoefu niliopitia wa kimahusiano na wanawake tofauti,wasichana wote waliokuwa chini ya miaka 25,walikua wanapenda starehe tu na kufavaa ili waonekane,baada ya kuanza kutembea na wanawake walioanzia miaka 30 na kuendelea ,hawa wako makin sana na maisha na wanafikiria maendeleo,sio starehe na kuvaa.kwahiyo,naheshimu hisia zako,ila sikubalian na hoja yako.

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Tabia ya mwanadamu huwa imejidhihirisha kikamilifu anapotimiza miaka 18. Ktk umri huu dhamiri na maamuzi yake huwa ni thabiti. Ndiyo maana miaka 18 si mtoto tena. Hata kitaifa mtu huyu huruhusiwa kufanya na kushiriki maamuzi yote kama kuchagua na kuchaguliwa.

Ninachotaka kusema hapa ni kwamba ukikuta mwanamke ana miaka 18-25 halafu ana tabia fulani fulani basi tabia hazitaondoka tena maishani mwake. Kwahiyo ndugu hao uliokutana nao ndiyo tabia zao na wala si kwa kuwa walikuwa under 25
 
Tabia ya mwanadamu huwa imejidhihirisha kikamilifu anapotimiza miaka 18. Ktk umri huu dhamiri na maamuzi yake huwa ni thabiti. Ndiyo maana miaka 18 si mtoto tena. Hata kitaifa mtu huyu huruhusiwa kufanya na kushiriki maamuzi yote kama kuchagua na kuchaguliwa.

Ninachotaka kusema hapa ni kwamba ukikuta mwanamke ana miaka 18-25 halafu ana tabia fulani fulani basi tabia hazitaondoka tena maishani mwake. Kwahiyo ndugu hao uliokutana nao ndiyo tabia zao na wala si kwa kuwa walikuwa under 25
Kwa vijana wetu,wa siku hizi miaka hiyo 18 -25,wengi wamekomaa kimwili tu ila kifikra bado hawajapevuka,mm siwezi kuishi na msichana chini ya miaka kumi na tano,hataniumiza kichwa tu.

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
fano mtu ashatembea na mijanaume mikubwa kiumri kuliko babako mzazi tangu akiwa na miaka 15, unategemea k imelegea kiasi gani? Hata ufanyeje utaishia kuonekana una kibamia. Unategemea hisia za kimapenzi ashapoteza kiasi gani?
Mtoa Mada Toa vyeti nikuamini, kwani huyo wa below 25 hajapita kwenye 15?? unajikanyaga
 
Mwanamke mzuri hawezi kupimwa na umri, kuna wengine umri mdogo lakini Vishushuda tu inatakiwa ujipange na mtu sahihi basi
 
Dah...mkuu mbona umeandika kwa hisia hivyo...
Katika mambo uliyoyaongelea kuna kitu kimoja ambacho binafsi naamini ni tatizo.....kwamba kulala na mwanamke au mwanaume huwa kunatokea muunganiko wa kimwili na pia wakiroho.....kuna vitu vingi mnajikuta mnashare kiroho na kihisia na inasemekana muunganiko huo ni wa milele.....ingependeza sana kama ingekua rahisi mtu ukapata mtu wako mmoja huyohuyo....but ni ngumu....matokeo yake unakuta mtu umepitia relation nyingi, umekutana na watu tofauti....ukikaa kwenye ndoa unaona mke/mme wako anamapungufu mengi au unaanza kukumbuka mazuri ya x wako fulani.....matokeo yake ni shida......
 
Nina maswali matatu kwako!
Wewe ni jinsia gani?
Una umri gani?
Je umeoa/umeolewa?
 
Mtoa Mada Toa vyeti nikuamini, kwani huyo wa below 25 hajapita kwenye 15?? unajikanyaga
Nimejaribu kulinganisha kati ya nyani mtoto na nyani mzee. Nikahitimisha kwa kusema below 25 wana mikosi na laana chache kuliko hao above 25
 
Mkuu miaka 23 na kuendelea mwanamke ndio akili inakuwa imekomaa . Hivyo viteenager shida tupu akilini za kitoto mambo ya kitoto.

Muombe Mungu unapohitaji mwenza. Mke wangu nilimkuta virgin at 25.

:Silasc
 
Nina maswali matatu kwako!
Wewe ni jinsia gani?
Una umri gani?
Je umeoa/umeolewa?

Maswali yako yote magumu kwangu maana sipendi hadhara hii ya jf ijue chochote kupitia majibu ya maswali yako 3
 
Back
Top Bottom