Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Umetoka njee ya mada , hatuzungumzii Malaya tunazungumzia hawa wa kawaida Ambao hawafungi mlango.
 
Kuoa ni kama karata inategemea umelamba ipi, ulipolamba tu na mchezo ukamalizwa, kama umelamba joka basi umekufanalo na kama ni "A" basi bahati ni ako, in between ni chance nyingine pia, muombe mungu kama unamuamini, na heshimu mipaka yake awez kukurupa, umri unafasi ndogo sana ktk kurely in (this) one factor.
Kwa wanaomuamin mungu hasa waislam wanapo pakupigia mfano kwa mtume wao, alioa mwanamke wa miaka 40 na akaenjoy wkt yy ana 25 yrs na pia alioa binti mbich alietoka kuvunja ungo less than 13 years bt greater than 9 years. Wote walimuheshim na waislam wanarely hapa kama kiigizo chao.. Faida ya kipekee kiumri ni bikra kwa (kwa wengi behaved, japo nowdaus imekua nadra), kukuzalia idadi ya watoto unaowahitaji, kukuhushim labda kwa aibu ya kumzid umri na kupendeza kwili kwa mda mrefu ( other things hold costants).
 
Ndoa za wazazi wetu zilidumu kwa kiasi kikubwa kwa mwanamke ndoa ilikuwa ajira na wazazi wetu wengi mishahara ya enzi za ujamaa hawakuwa na michepuko au pesa ya kwenda bar kila siku.
Hili ndiyo jibu sahihi zingine porojo tu zamani mwanamke aliweza kufanyiwa unyama wa kila aina na mwanaume lkn asiseme kitu kwakuwa hana pakwenda,hana kipato anategemea kila kitu kwa mwanume,kama ishu ni bikra mbona watu wameona mabikra nabado wakazinguana inategemea bana acha bangi za mchana.
 
Umetoka njee ya mada , hatuzungumzii Malaya tunazungumzia hawa wa kawaida Ambao hawafungi mlango.
Sijatoka nje ya mada,naendelea kuaherehesha maelezo ya mtoa mada,
Aliposema hawana madhambi alimaanisha hawajafanya uhuni/uesharati sasa hao 25+ kwa mtazamo wake ndio wamefanya sana uhuni kuliko wale wa below.Kwani alojiuza akija utamjua?
 
Mkuu siku hizi wanawake wamefanya miili yao kuwa ajira. Zamani waliogopa kufanya hivyo kwaabb ya maadili.

Kwahiyo siku hizi hata uoe mama wa nyumbani hana elimu wala kazi ukimzingua atatumia mwili wake kama ajira. Hujiulizi kwann wanawake wanapaka mkorogo,, wanaacha matiti nje, wanavaa nguo za kubana na kuhangaika kusugua mikuu kwa tupa (foot file) ?
 
Mbona huo umri ndio mtu anakua kashajitambua?
Anakuwa amekwama kwenye tatizoi fulani ,wala siyo kujitambua peke yake. Unakuta siku zake hazieleweki, tumbo linamsokota hovyo wakati wa hedhi ama ameshachokonolewa sana. Sasa ndiyo anaanza kutulia
 
Na kuolewa au kuoa si amri ya 11,ni vema kuolewa kwa kufuata wakati wa Mungu na sio pressure ya umri au vinginevyo uzinzi ni dhambi uwe na subira mngoje Bwana.
 
Lakini umesahau kuwa kila mtu anaishi ulimwengu wake ,unachokiona wewe kibaya mwenzio ndo anaomba Mungu atakipata lini....mafanikio hutegemea na jitihada na malengo mliyo jiwekea ucpotoshe umma ndugu yote yanawezekana kama ukichukua hatua...
 
Aisomi kilometers mkubwa, na aina makombo sisi tunakulaga
Shida ni pale utakapo kutana na harufu za mabaki ya kondomu, harufu, bakteria, na mikojo ya midume yake ya zamani. Unasex na demu halafu jasho linalomtoka halina harufu yake wala yako. Utabaki unajiuliza :kwann?

Mimba imeshika mwezi wa kwanza tu unaambiwa mkeo apewe bed rest, kisa kizazi chake kililegezwa na mibaba aliyoruka nayo ukuta utotoni
 
Anakuwa amekwama kwenye tatizoi fulani ,wala siyo kujitambua peke yake. Unakuta siku zake hazieleweki, tumbo linamsokota hovyo wakati wa hedhi ama ameshachokonolewa sana. Sasa ndiyo anaanza kutulia
Na wewe umepitia hali hii nini? Je wewe uliolewa ukiwa na miaka chini ya miaka 25? Vipi maendeleo ya ujauzito wa yule msafisha kucha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…