Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uniwie radhi mkuu, kiswahili kigumu kuliko kingereza. Eti password ni Nywila kwa kiswahiliDah sema umetumia lugha ngumu sana sheikh wangu...duh
Ni dada zetu hawa
Hapa jf pekee pana sample ya kutosha, mtaani ndiyo usisemeUtafiti wako umeufanyia wapi?na kwa sampling ipi[emoji2] [emoji2] sema umeumizwa sehemu unaleta machungu yako humu ndugu pole yako.
Oa mkuu unaweza ukabahatika akawa miongoni mwa hao less than 5%. Vinginevyo yakikukuta usije kutujazia server humuMchumba angu ana 27...af sina mpango wa kumuacha..inshort naoa!!
Hehehee! Malipo ni hapa hapa dunianiNikweli ila hilo pia linatuhusu sisi wanaume. Unakuta mwanaume ameshatembea na wake zawatu kibao tegemea hata ww ukiowa mkeo atagongwa tuu
Si kitu mkuuUniwie radhi mkuu, kiswahili kigumu kuliko kingereza. Eti password ni Nywila kwa kiswahili
Hiyo mkuu ngumu kumethaDamu ya Yesu Yatosha. Yasafisha dhambi na mabaya yake yote.
Unapofunga Ndoa Unaungama na kusamehewa dhambi zote.
Yesu anakuwa ndani yako nawe ndani yake. Unaumbwa Upyaaaaaaa.
HaswaaaaHehehee! Malipo ni hapa hapa duniani
Yule X wako ambae huwa anakusumbuaga ameniambia kuwa anakusalimia sana![emoji4][emoji4]Ndoa za wazazi wetu zilidumu kwa kiasi kikubwa kwa mwanamke ndoa ilikuwa ajira na wazazi wetu wengi mishahara ya enzi za ujamaa hawakuwa na michepuko au pesa ya kwenda bar kila siku.
Nafahamu Diamond ni yanki kuliko Zari. Unataka kusema nn mkuu?Kamuulize Diamond mkewe Zari ana miaka mingapi.
Nashukuru kwa kongole (compliment) mkuuMkuu wee ni kichwa zaidi ya Bashite Uzi umetulia sana
Yani mwenyewe ni Shahidi Kwa Haya uliyoyaandika mademu wengi umri huo hawana bikra si mbele wala nyuma mimba ndo wametoka mpakaa uteras imelegea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kamuulize Diamond mkewe Zari ana miaka mingapi.
Mkuu Yale ni ya kikao kile, hiki kikao jina topic nyingineYule X wako ambae huwa anakusumbuaga ameniambia kuwa anakusalimia sana![emoji4][emoji4]