Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Uniwie radhi mkuu, kiswahili kigumu kuliko kingereza. Eti password ni Nywila kwa kiswahili
Si kitu mkuu

Wenye ujumbe wao wameupata...lau wasisumbue watu kuwaita vibamia...na wale wenye 25- na wajitunze kama ulivyoshauri

[HASHTAG]#bomoa[/HASHTAG] tuanze upya
 
Damu ya Yesu Yatosha. Yasafisha dhambi na mabaya yake yote.

Unapofunga Ndoa Unaungama na kusamehewa dhambi zote.

Yesu anakuwa ndani yako nawe ndani yake. Unaumbwa Upyaaaaaaa.
Hiyo mkuu ngumu kumetha
 
Ndoa za wazazi wetu zilidumu kwa kiasi kikubwa kwa mwanamke ndoa ilikuwa ajira na wazazi wetu wengi mishahara ya enzi za ujamaa hawakuwa na michepuko au pesa ya kwenda bar kila siku.
Yule X wako ambae huwa anakusumbuaga ameniambia kuwa anakusalimia sana![emoji4][emoji4]
 
Mkuu wee ni kichwa zaidi ya Bashite Uzi umetulia sana
Yani mwenyewe ni Shahidi Kwa Haya uliyoyaandika mademu wengi umri huo hawana bikra si mbele wala nyuma mimba ndo wametoka mpakaa uteras imelegea
Nashukuru kwa kongole (compliment) mkuu
 
Back
Top Bottom