Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki nasikia kule makapuku forum kuna mtu ameachana na kupata mtu mwingine papo kwa hapo! Unaweza kuniambia ni nani huyo mtu please?[emoji4][emoji4][emoji4]hasira zako za kuachwa unakuja kutumwagia povu
Si kweli mkuu. Ndiyo uhalisia huo.Mawazo mgando
[emoji32][emoji32][emoji32]!Mkuu walahi leo umeniweza!!Mkuu Yale ni ya kikao kile, hiki kikao jina topic nyingine
Nimetupa jiwe gizanihasira zako za kuachwa unakuja kutumwagia povu
Cha muhimu wazibanie k zao. Mbona zamani iliwezekana?. Zamani mzigo ulikuwa hautoki mpk umefika kwa wazazi. Siku hizi K inatumika kama chambo kuvutia wanaume. Wanaume wanaonja na kusepa .Wakati mwingine tuwe fair. Hao wanawake unaowasema ni dada zetu ni ndg zetu. Kwanini wasiolewe ?? Wengine wamejitunza vizuri. Wengine tunawaharibu sisi wanaume. Unamtongoza miezi kadhaa, anajiachia akidhani utaoa. Unakula mzigo weee kisha unamchoka unamtema. Hivi hapo nani mkosaji ?? Tuwahurumie dada zetu, tunawadanganya sana. Wanapenda kuolewa sisi priorities zetu ni kuwagonga tu. Tubadilike wanaume
Ndiyo maana nawaonya vijana wanaotaka kuoa. Maana wao wanakuwa innocent ktk hili. Mwanamke ndiye anatembea na mume wa mtu. Kijana wa watu unakuta kutokana na ugumu wa maisha mpk umri huo katembea na visichana 2tu ambavyo bado ni pureLaana zote ameziondoa Mwana wa Mungu pale msalabani.
Hakuna anaweza kumpangia mtu umri wa kuoa au kuolewa, na kama unaamini katika laana jua hata wanaume nao pia hubeba laana hizo kwenye miili ya wanaotembea nao.
Wakati mwingine unapojaribu kumnyooshea mtu kidole tazama vinavyokurudia
Huo ndiyo ukweli mkuu pokea ama uache hapa. Ila yakikukuta usije kutuletea malalamiko hapaDuuh unatukatisha tamaa waowaji aitheee
Mkuu umeuona mstari huo tu? Ngoja nitafutemkuu tupia picha ya clitoris ilioota magamba iliokomaa mpk kuota magamba....daah ni noma aisee
Nimeshiba mkuu niko vizuriHiki ulicho kiandika umeandika wakati una njaa ukishiba utaandika vizuri
Uwasilishaji wangu mbovu tu mkuu. Chukueni mazuri, jazba ziacheniMkuu umeandika kwa hasira saaana,.ungepunguza jazba kwanza,kha!!!
Hahahahaa daaah!!!!