Umeona nini kwenye maziko ya yule tajiri wa Kibaniani, Patel tokea mwanzo hadi mwisho?

Umeona nini kwenye maziko ya yule tajiri wa Kibaniani, Patel tokea mwanzo hadi mwisho?

Nashukuru corona inaua "Binadamu", haiui "watu"
 
Asilimia 99 ya waliohudhuria wamevaa barakoa, hili mliliona? Na kujiuliza kulikoni, jamii ya mabaniani ndio karibia wote wamevaa hizo barakoa na sisi tuliokoza rangi ya kiza baadhi walikuwa hawakuvaa kitu, kwenye wafanyakazi wote wamevaa?

Bado unaamini yule kimelea hayupo Tanzania? Na hivi karibuni kumeongezeka vifo vya wazee wazee na tunaopata matangazo tu ni hawa matajiri au vingunge na walio kwenye jamii maarufu kama wasanii, tulio wengi pangu pakavu hutusikiki.

Sasa rudia kuangalia kideo ya mazishi ya Patel, Je, alikumbana na vimelea huko South Africa? Sababu gani jiulize iliyofanya wahudhuriaji kuibuka na barakoa ghafla bin vu?

Anza leo kuvaa barakoa usisikilize redio vifua.
mbona hatupni picha wala video
 
Hivi zile video za Dada Mange za corona hazipo tena sasa hivi?
 
Kama mask ingekuwa ndo dawa ya Corona , basi ujerumani na marekani WANGEPONA.

hivi unadhani hyo barakoa yako ndo ITAKULINDA NA CORONA?

hao wanaokufa na Corona HAWAZIJUI HIZO BARAKOA WAVAE WAEPUKANE NA CORONA?

AKILI SIO PAMBO ZITUMIE.
Hata UKIMWI kuna ambao walikuwa wanasema condom hazizuii chochote na wengine walienda mbali zaidi na kusema hizo condom zimewekwa virusi... Hivi udumavu wa akili husababishwa na nini bandugu???
 
Lete namba za Corona ulaya na marekani.na wao hawatumii mask?.
Hata UKIMWI kuna ambao walikuwa wanasema condom hazizuii chochote na wengine walienda mbali zaidi na kusema hizo condom zimewekwa virusi... Hivi udumavu wa akili husababishwa na nini bandugu???
 
Futa lipo Mkuu ,leo facebook nimeona post za vifo kama vitatu hivi vya watu wa kawaida!! FUTA LIPO tunapigwa na PHASE II.

Nilishaanza kula ndimu/tangawizi/maji kwa wingi na mazoezi.
Nyie mnaokula kwa kuunga unga mtapata shida,tumieni as routine,binafsi kutumia limao au tangawizi ni kitu changu cha miaka plus asali na matunda na nasisitiza kwa familia
 
Mungu ni mwema atuepushie na gonjwa hili tusifanye mzaha Mungu katuepusha tumshukuru
 
Bado unaamini yule kimelea hayupo Tanzania? Na hivi karibuni kumeongezeka vifo vya wazee wazee na tunaopata matangazo tu ni hawa matajiri au vingunge na walio kwenye jamii maarufu kama wasanii, tulio wengi pangu pakavu hutusikiki.
Mask zinamatumizi mengi: wengine huenda walivaa ili kupunguza kunusa harufu ya kile kilichochomwa. RIP PATEL
 
Back
Top Bottom