Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona hatupni picha wala videoAsilimia 99 ya waliohudhuria wamevaa barakoa, hili mliliona? Na kujiuliza kulikoni, jamii ya mabaniani ndio karibia wote wamevaa hizo barakoa na sisi tuliokoza rangi ya kiza baadhi walikuwa hawakuvaa kitu, kwenye wafanyakazi wote wamevaa?
Bado unaamini yule kimelea hayupo Tanzania? Na hivi karibuni kumeongezeka vifo vya wazee wazee na tunaopata matangazo tu ni hawa matajiri au vingunge na walio kwenye jamii maarufu kama wasanii, tulio wengi pangu pakavu hutusikiki.
Sasa rudia kuangalia kideo ya mazishi ya Patel, Je, alikumbana na vimelea huko South Africa? Sababu gani jiulize iliyofanya wahudhuriaji kuibuka na barakoa ghafla bin vu?
Anza leo kuvaa barakoa usisikilize redio vifua.
au harufu ya wao wenye rangi nyeusiHuenda walikua hawataki kusikia harufu ya ndugu yao anavo chomwa moto.
;
Huuu utafiti sio wa dr NDODI kweli ?
Hata UKIMWI kuna ambao walikuwa wanasema condom hazizuii chochote na wengine walienda mbali zaidi na kusema hizo condom zimewekwa virusi... Hivi udumavu wa akili husababishwa na nini bandugu???Kama mask ingekuwa ndo dawa ya Corona , basi ujerumani na marekani WANGEPONA.
hivi unadhani hyo barakoa yako ndo ITAKULINDA NA CORONA?
hao wanaokufa na Corona HAWAZIJUI HIZO BARAKOA WAVAE WAEPUKANE NA CORONA?
AKILI SIO PAMBO ZITUMIE.
Hata UKIMWI kuna ambao walikuwa wanasema condom hazizuii chochote na wengine walienda mbali zaidi na kusema hizo condom zimewekwa virusi... Hivi udumavu wa akili husababishwa na nini bandugu???
Nyie mnaokula kwa kuunga unga mtapata shida,tumieni as routine,binafsi kutumia limao au tangawizi ni kitu changu cha miaka plus asali na matunda na nasisitiza kwa familiaFuta lipo Mkuu ,leo facebook nimeona post za vifo kama vitatu hivi vya watu wa kawaida!! FUTA LIPO tunapigwa na PHASE II.
Nilishaanza kula ndimu/tangawizi/maji kwa wingi na mazoezi.
Huwezi jua maana vipimo vya covid na kuambiwa vimezuiliwa na mamlako ko utaambiwa tatizo tofauti kabisa especially ambalo lilikuwa common kwako but huwezi ambiwa covid ime accelerateUna watu wangapi wa karibu wamefariki?
Mask zinamatumizi mengi: wengine huenda walivaa ili kupunguza kunusa harufu ya kile kilichochomwa. RIP PATELBado unaamini yule kimelea hayupo Tanzania? Na hivi karibuni kumeongezeka vifo vya wazee wazee na tunaopata matangazo tu ni hawa matajiri au vingunge na walio kwenye jamii maarufu kama wasanii, tulio wengi pangu pakavu hutusikiki.