Umeona nini kwenye maziko ya yule tajiri wa Kibaniani, Patel tokea mwanzo hadi mwisho?

Umeona nini kwenye maziko ya yule tajiri wa Kibaniani, Patel tokea mwanzo hadi mwisho?

Hakuna cha ngozi nyeusi wala kijani, corona ikikupata sio kwamba itadunda kwa sababu wewe ni mweusi, NOOO....Mungu akiamua Kukuchukua anakuchukua tu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Waliwaahidi millioni 50 kila kijiji hamkuziona; wakawaambia watawanunulia NOAH kila mmoja wenu wakilipwa hela za makinikia nazo HOLAAAA!!! Bado mnawaamini tu!!! Mtakuwa mataahira.
Una mawazo kimarioo sana

Hakuna bure hapa futa kabisa hiyo boya wewe
 
1. Tafuna tangawizi kila siku asubuhi na jioni.

2. Kunywa maji ya uvuguvugu yaliyotiwa binzari mbichi (turmeric) ama ukikosa tumia ya unga pamoja na mdalasini wa magome wa India, kila asubuhi na jioni.

3. Kula matunda ya kutosha kutwa nzima, ikiwezekana mlo mmoja kati ya milo yako 3 ya siku uwe matunda tu.

4. Kunywa maji ya kutosha walau lita 2 hadi 3 kwa siku, vyema yakawa ya vuguvugu.

5. Fanya shughuli ambayo itakutoa majasho kila siku walau kwa dakika 20 hadi 30.

Afya njema ni maamuzi ya mtu binafsi.

Kasinde Matata.
Gelofulendi ofu my hati, hivi nchi nyingine wameshindwa kweli kuyafanya haya?
 
Umejiamini sana mpaka baba yako unamuita mpumbavu,sawa mwanangu ila kutahadharisha kupo,halafu tuna misemo mingi sana,ya kilugha kama kinga ni bora kuliko tiba.

Jihadhari kabla ya athari. Kama haitoshi mliangaliza vizuri kuna maji chiririka na sanitaizha kila sehemu ya kuingilia,nilishangaa sana ,nikaona sio bure.

Na nikifikiri misemo yetu mingine kuitamka yataka ini mfano mficha uchi hazai,je tunaficha ,kubwa ninaloliona Serikali yetu haijamzuia mtu kuchukua tahadhari wala kupiga marufuku kuvaa barakoa.

Hili gonjwa lipo sasa mpaka kufikia waizraeli kuchukuwa kinga basi ujue mdude upo. Msemo wetu ule wa kama halipo linjiani linakuja.
Tuzidishe kujifukiza na vile vibanda virudi wapita njia tusioweza kwenda south tubaki hapapa kando ya equator na dawazetu asilia,japo mtu akienda sokoni na vihela vyake anaweza kutumia.

Kuna kitu nimesikia si vibaya nayo ni kunywa chai iliyomoto sana iwe ni kawaida tena mara nyingi unazoweza na kabla hujakunywa basi vuta ule mvuke kiasi cha umoto unaoweza kuuhimili.
Mkuu mwana uvccm huyo hawezi kukuelewa mpaka apitie ubongo aliouacha pale Lumumba.
 
Hii corona inaua watu walio salama halafu inatuacha wapanda daladala

Upinzani bongo ni mzigo
 
na wewe kwa akili zako unaamini barakoa zinazuia Corona?
Unataka kusema watu wote walioumwa Corona na kufs walikuwa hawavai mask?.
Nani alikwambia katika Nchi hizo kila mtu anavaa barakoa? Kuna kundi kubwa la watu katika Nchi zote hizo ambao wanapinga kuvaa barakoa wakidai uhuru wao wa kuamua na wengi wameupata ugonjwa na wengi wao wamekufa.

Tusibishe kitu ambacho kimefanyiwa utafiti na wataalamu na kuonyesha kinasaidia kupunguza maambukizi ya COVID19 kama kikivaliwa vile inavyotakiwa.
 
Mkuu hayo ya wahindi kuvaa barakoa huku sisi 'waswahili' tukipuyanga tu ni mambo ya kisaikolojia.

Kwenye saikolojia ya Magonjwa ya mlipuko kuna watu ni Blunters na wengine Monitors.

Monitors ni kundi la watu ambalo liko too sensitive na masuala ya magonjwa. Kundi hili ni watu wenye fedha (they got a lot to lose), wako na access kubwa ya taarifa, wanauwezo wa kupata madaktari tofauti tofauti na pia wako karibu zaidi na ugonjwa(mfano wahindi wanacontacts na jamii za ulaya na asia ambao covid inawaua sana), so kundi hili huwa na mashaka na wasiwasi mkubwa juu ya magonjwa-wanajali na kupanick kupita kiasi. Ndio hao ulio waona na mabarakoa.

Kundi la pili ni kina 'sie'-Blunters.
Masikini(hatuna cha kupoteza so hatujali), hatuna elimu ya kina, hatuna access ya habari (hata mitandaoni ni umbeya tu), pia 'tuko' mbali na ugonjwa. Tofauti na wahindi ambao anapata taarifa ndg yake aliyepo London kafa kwa covid, sisi hatuna hiyo.

So, its just the pyschology of pandemics!
 
Acha ubishi wa kitoto! Unataka kubishia watu waliofanya utafiti kwamba masks 😷 zinapunguza kwa kiasi kikubwa maambukizi ya COVID19?

If 95 percent of people wear cloth masks when within 6 feet of other people in public, it will reduce COVID-19 transmission by at least 30 percent. So if every infected person transmits the virus to 30 percent fewer people, it improves the chances of subduing COVID-19’s spread in the United States.


Acha Mambo ya you tube.

Tumia akili zako.unadhani watu wanaopata Corona na kufa walikuwa hawatumii mask?
 
kwani huko ulaya na marekani hizo mask hamna?.
Mbona sisi Tanzania hatuvai mask na HAKUNA Corona?
Acha ubishi wa kitoto! Unataka kubishia watu waliofanya utafiti kwamba masks [emoji40] zinapunguza kwa kiasi kikubwa maambukizi ya COVID19?

If 95 percent of people wear cloth masks when within 6 feet of other people in public, it will reduce COVID-19 transmission by at least 30 percent. So if every infected person transmits the virus to 30 percent fewer people, it improves the chances of subduing COVID-19’s spread in the United States.

 
Back
Top Bottom