Umeona nini kwenye maziko ya yule tajiri wa Kibaniani, Patel tokea mwanzo hadi mwisho?

Umeona nini kwenye maziko ya yule tajiri wa Kibaniani, Patel tokea mwanzo hadi mwisho?

Hapo uliposema sisi weusi ni rangi ya kiza.

Hivi ni lini tutajikubali rangi yetu na kuona fahari?
 
ficha ujinga sio wote wanakufa wakipata korona ,ila ugonjwa upo

Ugonjwa gani ambao haupo? Mjinga wewe ambaye unajitutumua kwenye keyboard kulazimisha watu wawe waoga na maisha. Kama veep, jifiche ndani usituchoshe
 
Uongo
Corona ni mpango wa kuwafanya watu watumie teknolojia za mawasiliano zaidi kuliko kukutana uso kwa uso. Na hii inawanufaisha sana makampuni yanayojihusisha na teknolojia hizo. Ukichunguza kwa makini unakuta wamiliki wa makampuni haya ndo wako bize kweli kuhusu kupiga propaganda za uwepo wa corona hata sehemu ambapo haupo. ( Nawaza!)
 
Unataka tuchukue hatua zipi?.
Unadhani hao wenzio wanaokufa na Corona hizo HATUA HAWAZIONI?
Au unadhani wanaokufa na Corona Ni wajinga na wewe ndo mjanja?.
ikiwa marekani na ulaya nzima wanachezea kichapo cha Corona wewe kunguni kuwa mzima unadhani ni UJANJA WAKO?.
hao WAHINDI mnaowasifu wamevaa barakoa hapa Tanzania mkidai wanajikinga na Corona KWANINI WASIWAPIGIE SIMU NDUGU ZAO HUKO INDIA WAWAAMBIE WAVAE BARAKOA WAEPUKANE NA CORONA?.

Punguza ujinga basi mjinga . ugonjwa upo. Mie ndo ntaachiwa hospital punde. Chukueni hatua nimepigania uhai for 3 weeks
 
1. Tafuna tangawizi kila siku asubuhi na jioni.

2. Kunywa maji ya uvuguvugu yaliyotiwa binzari mbichi (turmeric) ama ukikosa tumia ya unga pamoja na mdalasini wa magome wa India, kila asubuhi na jioni.

3. Kula matunda ya kutosha kutwa nzima, ikiwezekana mlo mmoja kati ya milo yako 3 ya siku uwe matunda tu.

4. Kunywa maji ya kutosha walau lita 2 hadi 3 kwa siku, vyema yakawa ya vuguvugu.

5. Fanya shughuli ambayo itakutoa majasho kila siku walau kwa dakika 20 hadi 30.

Afya njema ni maamuzi ya mtu binafsi.

Kasinde Matata.
Wamarekani,waingereza wamewekeza billions of money kununua dawa ya corona. Ivi kwanini wasingetumia njia hii yakwako kutibu corona alaf hizo hela wafanyie mambo mengine ?
 
Asilimia 99 ya waliohudhuria wamevaa barakoa, hili mliliona? Na kujiuliza kulikoni, jamii ya mabaniani ndio karibia wote wamevaa hizo barakoa na sisi tuliokoza rangi ya kiza baadhi walikuwa hawakuvaa kitu, kwenye wafanyakazi wote wamevaa?

Bado unaamini yule kimelea hayupo Tanzania? Na hivi karibuni kumeongezeka vifo vya wazee wazee na tunaopata matangazo tu ni hawa matajiri au vingunge na walio kwenye jamii maarufu kama wasanii, tulio wengi pangu pakavu hutusikiki.

Sasa rudia kuangalia kideo ya mazishi ya Patel, Je, alikumbana na vimelea huko South Africa? Sababu gani jiulize iliyofanya wahudhuriaji kuibuka na barakoa ghafla bin vu?

Anza leo kuvaa barakoa usisikilize redio vifua.
Hivi kuna mtu anaamini kuwa hakuna corona tZ?
 
Hapo uliposema sisi weusi ni rangi ya kiza.

Hivi ni lini tutajikubali rangi yetu na kuona fahari?
Sasa ulitaka nione aibu kujiita rangi ya kiza ??? Au ningesema Ni tunda langu lile lenye rangi ya chungwa , Na usitulazimishe tuseme rangi yetu nyeusi mbona tupo waTanzania wa kila rangi ,ila sisi tuliokoza buluu tunaonekana kufaa kwenye kazi ya jeshi tu.
 
Barakoa haizuii harufu
Na barakoa pia haizuii Corona na kama inazuai ni kwa % ndogo sana. Kama ingekuwa inazuia corona ulaya, china, na marekani wasingekufa kwa maelfu maana huko ndiko barakoa zinakotengenezwa! Na je huku mtaani hao mabaniani wanavaa hizo barakoa?
 
Unataka tuchukue hatua zipi?.
Unadhani hao wenzio wanaokufa na Corona hizo HATUA HAWAZIONI?
Au unadhani wanaokufa na Corona Ni wajinga na wewe ndo mjanja?.
ikiwa marekani na ulaya nzima wanachezea kichapo cha Corona wewe kunguni kuwa mzima unadhani ni UJANJA WAKO?.
hao WAHINDI mnaowasifu wamevaa barakoa hapa Tanzania mkidai wanajikinga na Corona KWANINI WASIWAPIGIE SIMU NDUGU ZAO HUKO INDIA WAWAAMBIE WAVAE BARAKOA WAEPUKANE NA CORONA?.
Unavyoviandija vibafanana na jina lako . kweli we jinga
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Hivi kuna mtu anaamini kuwa hakuna corona tZ?
Tatizo wapo wanaoamini hakuna corona na wapo wanaoamini corona ipo,limekuwa ni suala la kuamini tu sasa kila mtu anachagua mwenyewe anachotaka kuamini.
 
Nani alikwambia katika Nchi hizo kila mtu anavaa barakoa? Kuna kundi kubwa la watu katika Nchi zote hizo ambao wanapinga kuvaa barakoa wakidai uhuru wao wa kuamua na wengi wameupata ugonjwa na wengi wao wamekufa.

Tusibishe kitu ambacho kimefanyiwa utafiti na wataalamu na kuonyesha kinasaidia kupunguza maambukizi ya COVID19 kama kikivaliwa vile inavyotakiwa.
Kama mask ingekuwa ndo dawa ya Corona , basi ujerumani na marekani WANGEPONA.

hivi unadhani hyo barakoa yako ndo ITAKULINDA NA CORONA?

hao wanaokufa na Corona HAWAZIJUI HIZO BARAKOA WAVAE WAEPUKANE NA CORONA?

AKILI SIO PAMBO ZITUMIE.
 
Kwenye msiba wa baba yake joketi kuna ndoo za kunawa maji lakini unaambiwa hakuna Corona.

Juzi nilienda Muhimbili kumuona mgonjwa, madaktari wanasisitiza kuvaa barakoa na wanakataza msongamano lakini unaambiwa hakuna Corona.
Wapi uliambiwa hakuna corona?

Corona ipo na tunaishi nayo kama ambavyo tunaishi na malaria. Ukijichnganya inakuondoa.

Unavyochukua tahadhari kwa malaria....chukua tahadhari hivyo hivyo kwa corona.
 
Back
Top Bottom