Umeona nini kwenye maziko ya yule tajiri wa Kibaniani, Patel tokea mwanzo hadi mwisho?

Umeona nini kwenye maziko ya yule tajiri wa Kibaniani, Patel tokea mwanzo hadi mwisho?

Kwenye msiba wa baba yake joketi kuna ndoo za kunawa maji lakini unaambiwa hakuna Corona.

Juzi nilienda Muhimbili kumuona mgonjwa, madaktari wanasisitiza kuvaa barakoa na wanakataza msongamano lakini unaambiwa hakuna Corona.
 
Unadhani

Unadhani hayo yote billionea hakushauriwa/ hakuambiwa...?

Kushauriwa/kuambiwa ni jambo moja, kutekeleza/kutii ni jambo jingine.

Haifai kuchukua hatua 1 hadi ya 5 wakati uko hoi kitandani.
Yafaa iwe ni sehemu ya maisha ya mtu, yaani mwenendo wa kilasiku wa mtu kabla hajanyemelewa na magonjwa mengine yeyote yale.
 
Wewe unavaa Condom unapozini kwenu kuna mtu kafa kwa ukimwi???
Majitu yanaandika ujinga yangejua idadi inavyoongezeka ya watu wanaopima Korona? .Hivi mipaka Iko wazi wageni/ Watanzania wanaingia na kutoka ukiuliza wanasema MUNGU hivi mnajua hata yeye hapendwi wapumbavu?.
 
hapo sasa ndo ujue MUNGU YUPO.
kwanini Kenya na uganda na rwanda n.k
Zina Corona lakini Tanzania hakuna.
Na Kama Corona ipo Tanzania basi HAIONEKANI..
maana Corona Ni ugonjwa unaoambukiza na unaua FASTA.
Na wala HAUITAJI nguvu kujionesha.
Tangu tarehe 17 mwezi wa 3.
Mpaka Leo NI wazi Kama Corona ingekuwepo TUNGEKUFA WENGI.
kwa hyo Corona iwepo isiwepo TANZANIA Ni sawa.maana HAKUNA DAWA YA CORONA NA HAKUNA ANAYEWEZA KUTUZUIA KUFA NA CORONA.
Ila Mungu PEKEE.
Majitu yanaandika ujinga yangejua idadi inavyoongezeka ya watu wanaopima Korona? .Hivi mipaka Iko wazi wageni/ Watanzania wanaingia na kutoka ukiuliza wanasema MUNGU hivi mnajua hata yeye hapendwi wapumbavu?.
 
Kama mask ingekuwa ndo dawa ya Corona , basi ujerumani na marekani WANGEPONA.

hivi unadhani hyo barakoa yako ndo ITAKULINDA NA CORONA?

hao wanaokufa na Corona HAWAZIJUI HIZO BARAKOA WAVAE WAEPUKANE NA CORONA?

AKILI SIO PAMBO ZITUMIE.
Uko sahihi watu wasilojua ni kuwa BARAKOA inangeza uwezekano wa kupata Corona kuwa mkubwa zaidi kwa sababu ukivaa barakoa oxygen inayoingia kwenye mapafu ni ndogo mno sababu inashindwa kupenya kupitia matundu ya kitambaa cha barakoa na pia carbon dioxide unapopumua inashindwa kutoka vizuri .Hivyo barakoa in the long run inasababisha mapafu kusuffocate na kuleta tatizo la upumuaji ambalo ndio tatizo lenyewe la Corona!!!!!

Ulaya na Marekani Corona haiishi na inazidi kuongezeka sababu wanavaa barakoa full time tutegemee wagonjwa zaidi wa Corona kuongezeka kwenye nchi zote za wavaa barakoa
 
Mwanasiasa ni mtu hatari Sana Kama anaweza uwa watu Ili apate ushindi utamuamini vipi maana Kazi ya siasa ni uongo Mfano mtaalamu anasema tokeni huko mnaharibu chanzo cha maji mtakosa mvua na maji, mwanasiasa atawaambia mkinichagua tu hakuna atakaehama huko milima. Mwanasiasa kwake muhimu maslai hata Kama Jamii itaangamia
 
Wabongo sisi wajuaji sanaa.
Mtu kuvaa kibarakoa chake anajiona ndo mjanja hawezi patwa na Corona.
Wenzio wa huko marekani na ulaya anawaona wajinga wanavyokufa na Corona.kwani wao huko hizo barakoa HAWAZIONI WAVAE WAEPUKANE NA CORONA?.
Kila siku huko marekani na ulaya wanatengeneza barakoa mamilioni kwa mamilioni.mbona kila siku maambukizi yanaongezeka?
Uko sahihi watu wasilojua ni kuwa BARAKOA inangeza uwezekano wa kupata Corona kuwa mkubwa zaidi kwa sababu ukivaa barakoa oxygen inayoingia kwenye mapafu ni ndogo mno sababu inashindwa kupenya kupitia matundu ya kitambaa cha barakoa na pia carbon dioxide unapopumua inashindwa kutoka vizuri .Hivyo barakoa in the long run inasababisha mapafu kusuffocate na kuleta tatizo la upumuaji ambalo ndio tatizo lenyewe la Corona!!!!!

Ulaya na Marekani Corona haiishi na inazidi kuongezeka sababu wanavaa barakoa full time tutegemee wagonjwa zaidi wa Corona kuongezeka kwenye nchi zote za wavaa barakoa
 
Corona ni mpango wa kuwafanya watu watumie teknolojia za mawasiliano zaidi kuliko kukutana uso kwa uso. Na hii inawanufaisha sana makampuni yanayojihusisha na teknolojia hizo. Ukichunguza kwa makini unakuta wamiliki wa makampuni haya ndo wako bize kweli kuhusu kupiga propaganda za uwepo wa corona hata sehemu ambapo haupo. ( Nawaza!)

Hili halina ubishi, angalia hela anayopiga Bezos kwa sasa
 
hapo sasa ndo ujue MUNGU YUPO.
kwanini Kenya na uganda na rwanda n.k
Zina Corona lakini Tanzania hakuna.
Na Kama Corona ipo Tanzania basi HAIONEKANI..
maana Corona Ni ugonjwa unaoambukiza na unaua FASTA.
Na wala HAUITAJI nguvu kujionesha.
Tangu tarehe 17 mwezi wa 3.
Mpaka Leo NI wazi Kama Corona ingekuwepo TUNGEKUFA WENGI.
kwa hyo Corona iwepo isiwepo TANZANIA Ni sawa.maana HAKUNA DAWA YA CORONA NA HAKUNA ANAYEWEZA KUTUZUIA KUFA NA CORONA.
Ila Mungu PEKEE.
Kwani waliokufa kidogo ? Tunakaribia milioni 60 kasi ya kuzalishana ikizidi bilioni haipo mbali.
Hebu jiulize siku ya mwisho kuacha kudadavuliwa wagonjwa wa huyu mdudu ni lini ? tulikuwa na wagonjwa wangapi kule rugodzinla.

Ni lini ulisikia na wapi kutangazwa idadi ile ilipoishia ,kama haipo ndivyo tunavyoomba tusijikaze kisabuni halafu tunaendelea kufa kijeshi aka kiofisa.

Ndugu fuatilia mitaani tu mbona habari za vifo vimeongezeka sana ukitofautisha na kabla ya kuzuka huyu mdudu,watu wanaondoka ,sema sio matajiri au mabilionea na hawana hata undugu wa mbali ndio ukaona kimya.Ndio ilivyo huwezi kujua.
 
Corona ni mpango wa kuwafanya watu watumie teknolojia za mawasiliano zaidi kuliko kukutana uso kwa uso. Na hii inawanufaisha sana makampuni yanayojihusisha na teknolojia hizo. Ukichunguza kwa makini unakuta wamiliki wa makampuni haya ndo wako bize kweli kuhusu kupiga propaganda za uwepo wa corona hata sehemu ambapo haupo. ( Nawaza!)

Mmmhh!
 
1. Tafuna tangawizi kila siku asubuhi na jioni.

2. Kunywa maji ya uvuguvugu yaliyotiwa binzari mbichi (turmeric) ama ukikosa tumia ya unga pamoja na mdalasini wa magome wa India, kila asubuhi na jioni.

3. Kula matunda ya kutosha kutwa nzima, ikiwezekana mlo mmoja kati ya milo yako 3 ya siku uwe matunda tu.

4. Kunywa maji ya kutosha walau lita 2 hadi 3 kwa siku, vyema yakawa ya vuguvugu.

5. Fanya shughuli ambayo itakutoa majasho kila siku walau kwa dakika 20 hadi 30.

Afya njema ni maamuzi ya mtu binafsi.

Kasinde Matata.
Ushauri mzuri kama huyo nyumbu atauzingatia
 
Asilimia 99 ya waliohudhuria wamevaa barakoa, hili mliliona? Na kujiuliza kulikoni, jamii ya mabaniani ndio karibia wote wamevaa hizo barakoa na sisi tuliokoza rangi ya kiza baadhi walikuwa hawakuvaa kitu, kwenye wafanyakazi wote wamevaa?

Bado unaamini yule kimelea hayupo Tanzania? Na hivi karibuni kumeongezeka vifo vya wazee wazee na tunaopata matangazo tu ni hawa matajiri au vingunge na walio kwenye jamii maarufu kama wasanii, tulio wengi pangu pakavu hutusikiki.

Sasa rudia kuangalia kideo ya mazishi ya Patel, Je, alikumbana na vimelea huko South Africa? Sababu gani jiulize iliyofanya wahudhuriaji kuibuka na barakoa ghafla bin vu?

Anza leo kuvaa barakoa usisikilize redio vifua.

Futa lipo Mkuu ,leo facebook nimeona post za vifo kama vitatu hivi vya watu wa kawaida!! FUTA LIPO tunapigwa na PHASE II.

Nilishaanza kula ndimu/tangawizi/maji kwa wingi na mazoezi.
 
Corona ni mpango wa kuwafanya watu watumie teknolojia za mawasiliano zaidi kuliko kukutana uso kwa uso. Na hii inawanufaisha sana makampuni yanayojihusisha na teknolojia hizo. Ukichunguza kwa makini unakuta wamiliki wa makampuni haya ndo wako bize kweli kuhusu kupiga propaganda za uwepo wa corona hata sehemu ambapo haupo. ( Nawaza!)
Ni kweli, wanaokomaa na corona ni wafanyabiashara na wanasiasa uchwara
 
Back
Top Bottom