Magema Jr
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,299
- 1,197
Swali:Lengo la uzi wako ulitaka kuwaambia nini great thinker wa hapa jf??(NB;Napima ujinga na upumbavu wako hapa)Upumbavu wangu sijakuzidi endelea kuvuruga,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali:Lengo la uzi wako ulitaka kuwaambia nini great thinker wa hapa jf??(NB;Napima ujinga na upumbavu wako hapa)Upumbavu wangu sijakuzidi endelea kuvuruga,
Daaah... We jamaa🤣Huenda walikua hawataki kusikia harufu ya ndugu yao anavo chomwa moto.
Wewe unavaa Condom unapozini kwenu kuna mtu kafa kwa ukimwi???Acha unoko, wewe kwenu kuna mtu kafa na corona?
Itoshe tu kusema wewe juha.Doh! Nimeandika na kufuta zaidi ya mara tano!!
Ngoja niandike hivi Kwa kujiamini kabisa kwamba, Mleta Uzi ni mpumbavu!!!
Hasa WA yusufuuuuu🙄🙄🙄Barakoa haizuii harufu
Unadhani
Unadhani hayo yote billionea hakushauriwa/ hakuambiwa...?
Majitu yanaandika ujinga yangejua idadi inavyoongezeka ya watu wanaopima Korona? .Hivi mipaka Iko wazi wageni/ Watanzania wanaingia na kutoka ukiuliza wanasema MUNGU hivi mnajua hata yeye hapendwi wapumbavu?.Wewe unavaa Condom unapozini kwenu kuna mtu kafa kwa ukimwi???
Majitu yanaandika ujinga yangejua idadi inavyoongezeka ya watu wanaopima Korona? .Hivi mipaka Iko wazi wageni/ Watanzania wanaingia na kutoka ukiuliza wanasema MUNGU hivi mnajua hata yeye hapendwi wapumbavu?.
Uko sahihi watu wasilojua ni kuwa BARAKOA inangeza uwezekano wa kupata Corona kuwa mkubwa zaidi kwa sababu ukivaa barakoa oxygen inayoingia kwenye mapafu ni ndogo mno sababu inashindwa kupenya kupitia matundu ya kitambaa cha barakoa na pia carbon dioxide unapopumua inashindwa kutoka vizuri .Hivyo barakoa in the long run inasababisha mapafu kusuffocate na kuleta tatizo la upumuaji ambalo ndio tatizo lenyewe la Corona!!!!!Kama mask ingekuwa ndo dawa ya Corona , basi ujerumani na marekani WANGEPONA.
hivi unadhani hyo barakoa yako ndo ITAKULINDA NA CORONA?
hao wanaokufa na Corona HAWAZIJUI HIZO BARAKOA WAVAE WAEPUKANE NA CORONA?
AKILI SIO PAMBO ZITUMIE.
Uko sahihi watu wasilojua ni kuwa BARAKOA inangeza uwezekano wa kupata Corona kuwa mkubwa zaidi kwa sababu ukivaa barakoa oxygen inayoingia kwenye mapafu ni ndogo mno sababu inashindwa kupenya kupitia matundu ya kitambaa cha barakoa na pia carbon dioxide unapopumua inashindwa kutoka vizuri .Hivyo barakoa in the long run inasababisha mapafu kusuffocate na kuleta tatizo la upumuaji ambalo ndio tatizo lenyewe la Corona!!!!!
Ulaya na Marekani Corona haiishi na inazidi kuongezeka sababu wanavaa barakoa full time tutegemee wagonjwa zaidi wa Corona kuongezeka kwenye nchi zote za wavaa barakoa
Corona ni mpango wa kuwafanya watu watumie teknolojia za mawasiliano zaidi kuliko kukutana uso kwa uso. Na hii inawanufaisha sana makampuni yanayojihusisha na teknolojia hizo. Ukichunguza kwa makini unakuta wamiliki wa makampuni haya ndo wako bize kweli kuhusu kupiga propaganda za uwepo wa corona hata sehemu ambapo haupo. ( Nawaza!)
Kwani waliokufa kidogo ? Tunakaribia milioni 60 kasi ya kuzalishana ikizidi bilioni haipo mbali.hapo sasa ndo ujue MUNGU YUPO.
kwanini Kenya na uganda na rwanda n.k
Zina Corona lakini Tanzania hakuna.
Na Kama Corona ipo Tanzania basi HAIONEKANI..
maana Corona Ni ugonjwa unaoambukiza na unaua FASTA.
Na wala HAUITAJI nguvu kujionesha.
Tangu tarehe 17 mwezi wa 3.
Mpaka Leo NI wazi Kama Corona ingekuwepo TUNGEKUFA WENGI.
kwa hyo Corona iwepo isiwepo TANZANIA Ni sawa.maana HAKUNA DAWA YA CORONA NA HAKUNA ANAYEWEZA KUTUZUIA KUFA NA CORONA.
Ila Mungu PEKEE.
Corona ni mpango wa kuwafanya watu watumie teknolojia za mawasiliano zaidi kuliko kukutana uso kwa uso. Na hii inawanufaisha sana makampuni yanayojihusisha na teknolojia hizo. Ukichunguza kwa makini unakuta wamiliki wa makampuni haya ndo wako bize kweli kuhusu kupiga propaganda za uwepo wa corona hata sehemu ambapo haupo. ( Nawaza!)
Ushauri mzuri kama huyo nyumbu atauzingatia1. Tafuna tangawizi kila siku asubuhi na jioni.
2. Kunywa maji ya uvuguvugu yaliyotiwa binzari mbichi (turmeric) ama ukikosa tumia ya unga pamoja na mdalasini wa magome wa India, kila asubuhi na jioni.
3. Kula matunda ya kutosha kutwa nzima, ikiwezekana mlo mmoja kati ya milo yako 3 ya siku uwe matunda tu.
4. Kunywa maji ya kutosha walau lita 2 hadi 3 kwa siku, vyema yakawa ya vuguvugu.
5. Fanya shughuli ambayo itakutoa majasho kila siku walau kwa dakika 20 hadi 30.
Afya njema ni maamuzi ya mtu binafsi.
Kasinde Matata.
Asilimia 99 ya waliohudhuria wamevaa barakoa, hili mliliona? Na kujiuliza kulikoni, jamii ya mabaniani ndio karibia wote wamevaa hizo barakoa na sisi tuliokoza rangi ya kiza baadhi walikuwa hawakuvaa kitu, kwenye wafanyakazi wote wamevaa?
Bado unaamini yule kimelea hayupo Tanzania? Na hivi karibuni kumeongezeka vifo vya wazee wazee na tunaopata matangazo tu ni hawa matajiri au vingunge na walio kwenye jamii maarufu kama wasanii, tulio wengi pangu pakavu hutusikiki.
Sasa rudia kuangalia kideo ya mazishi ya Patel, Je, alikumbana na vimelea huko South Africa? Sababu gani jiulize iliyofanya wahudhuriaji kuibuka na barakoa ghafla bin vu?
Anza leo kuvaa barakoa usisikilize redio vifua.
Una watu wangapi wa karibu wamefariki?Endeleeni kuwaamini wanasiasa sisi ni kisiwa
Ni kweli, wanaokomaa na corona ni wafanyabiashara na wanasiasa uchwaraCorona ni mpango wa kuwafanya watu watumie teknolojia za mawasiliano zaidi kuliko kukutana uso kwa uso. Na hii inawanufaisha sana makampuni yanayojihusisha na teknolojia hizo. Ukichunguza kwa makini unakuta wamiliki wa makampuni haya ndo wako bize kweli kuhusu kupiga propaganda za uwepo wa corona hata sehemu ambapo haupo. ( Nawaza!)