Umeona nini kwenye maziko ya yule tajiri wa Kibaniani, Patel tokea mwanzo hadi mwisho?

Umeona nini kwenye maziko ya yule tajiri wa Kibaniani, Patel tokea mwanzo hadi mwisho?

Umejiamini sana mpaka baba yako unamuita mpumbavu,sawa mwanangu ila kutahadharisha kupo,halafu tuna misemo mingi sana,ya kilugha kama kinga ni bora kuliko tiba.

Jihadhari kabla ya athari. Kama haitoshi mliangaliza vizuri kuna maji chiririka na sanitaizha kila sehemu ya kuingilia,nilishangaa sana ,nikaona sio bure.

Na nikifikiri misemo yetu mingine kuitamka yataka ini mfano mficha uchi hazai,je tunaficha ,kubwa ninaloliona Serikali yetu haijamzuia mtu kuchukua tahadhari wala kupiga marufuku kuvaa barakoa.

Hili gonjwa lipo sasa mpaka kufikia waizraeli kuchukuwa kinga basi ujue mdude upo. Msemo wetu ule wa kama halipo linjiani linakuja.
Tuzidishe kujifukiza na vile vibanda virudi wapita njia tusioweza kwenda south tubaki hapapa kando ya equator na dawazetu asilia,japo mtu akienda sokoni na vihela vyake anaweza kutumia.

Kuna kitu nimesikia si vibaya nayo ni kunywa chai iliyomoto sana iwe ni kawaida tena mara nyingi unazoweza na kabla hujakunywa basi vuta ule mvuke kiasi cha umoto unaoweza kuuhimili.
Sawa tunakubali lipo lakini tutaishi nalo kiakili

Anza kuifungia familia yako kwani umezuiwa na nani? Anza kuwa mfano
 
1. Tafuna tangawizi kila siku asubuhi na jioni.

2. Kunywa maji ya uvuguvugu yaliyotiwa binzari mbichi (turmeric) ama ukikosa tumia ya unga pamoja na mdalasini wa magome wa India, kila asubuhi na jioni.

3. Kula matunda ya kutosha kutwa nzima, ikiwezekana mlo mmoja kati ya milo yako 3 ya siku uwe matunda tu.

4. Kunywa maji ya kutosha walau lita 2 hadi 3 kwa siku, vyema yakawa ya vuguvugu.

5. Fanya shughuli ambayo itakutoa majasho kila siku walau kwa dakika 20 hadi 30.

Afya njema ni maamuzi ya mtu binafsi.

Kasinde Matata.

Thanks. No need of panicking. It has never helped anybody anywhere.
 
corona ipo Tanzania, na hajawai kuisha, na itaendelea kuua

izi zingine ni porojo za ccm ,adui namba moja wa nchi ni ccm
Wewe mbona hujafa bado? Unataka CCM imtangaze nani amekufa na Corona? Tuanze na nani sasa kwenye hiyo list? Maana kufa ni ahadi. Maktub..... it was written so shall be done
 
Asilimia 99 ya waliohudhuria wamevaa barakoa, hili mliliona? Na kujiuliza kulikoni, jamii ya mabaniani ndio karibia wote wamevaa hizo barakoa na sisi tuliokoza rangi ya kiza baadhi walikuwa hawakuvaa kitu, kwenye wafanyakazi wote wamevaa?

Bado unaamini yule kimelea hayupo Tanzania? Na hivi karibuni kumeongezeka vifo vya wazee wazee na tunaopata matangazo tu ni hawa matajiri au vingunge na walio kwenye jamii maarufu kama wasanii, tulio wengi pangu pakavu hutusikiki.

Sasa rudia kuangalia kideo ya mazishi ya Patel, Je, alikumbana na vimelea huko South Africa? Sababu gani jiulize iliyofanya wahudhuriaji kuibuka na barakoa ghafla bin vu?

Anza leo kuvaa barakoa usisikilize redio vifua.
Just reminding you that, Simba SC walivyoenda kucheza na Plateau Nigeria walipimwa Covid na hamna aliekutwa nayo

Taifa stars walipoenda kucheza na Tunisia walipimwa Covid mjini Tunis na hakuna aliekutwa nayo
 
Wewe mbona hujafa bado? Unataka CCM imtangaze nani amekufa na Corona? Tuanze na nani sasa kwenye hiyo list? Maana kufa ni ahadi. Maktub..... it was written so shall be done
na wewe ukatwe kichwa kitenganishwe na mwili aafu tuone kama, maana kufa ni ahadi it was written so shall be done mnaambiwa corona inauwa mnajibu sisi mungu anatupenda ,dunia nzima nyinyi tu ? Tumswalie mtume.
 
Tuliahidi...tumetekeleza.
Tunasonga mbele pamoja #MitanoTena
 
Just reminding you that, Simba SC walivyoenda kucheza na Plateau Nigeria walipimwa Covid na hamna aliekutwa nayo

Taifa stars walipoenda kucheza na Tunisia walipimwa Covid mjini Tunis na hakuna aliekutwa nayo
Wale akiwatangaza Umi Mwalimu walikuwa akina nani ,jivikeni usahaulifu ,maana tokea alianza kwa kucheka mwisho ikaaa anatangaza ,mtu akikohoa anamkodolea macho.
 
Mashule,vyuo na nyumba za ibada yote hayo yapo wazi na ndio sehemu ambazo watu wanakutana karibu kila siku,na mwanzoni wakati shule na vyuo zinafunguliwa baada ya kufungwa kwa sababu ya corona basi watu wakawa wanasubiri mrejesho wake utakuaje na kuna wazazi waliogopa kupeleka watoto zao shule,sasa mie nilidhani kuwa hizo ndio sehemu ambazo tungeweza kuona athari ya corona kupitia hizo sehemu na ndio wengine wakawa wanasubiri hali itakuaje baada ya kufungulia mashule na watu kukusanyana kwenye majumba ya ibada. Ila inaonekana tumeshindwa kuona athari za corona katika maeneo hayo na sasa tumehamia kwenye vifo vya watu maarufu na wahindi kuvaa barakoa.

Nachokiona Tz corona imekuwa kama imani kwamba ukiamua unaamini na unaweza ukaamua kutokuamini. Wakati mleta mada yeye anaamini kuwepo kwa corona Tz na watu kuvaa barakoa kwenye mazishi ya wabaniani kwake yeye kuna mzidishia imani yake ya uwepo wa corona Tanzania,sasa sijui atazungumziaje kwa Muhimbili sasa hivi hawalazimishi kuvaa barakoa ili ndio uweze kuingia pale getini tofauti na mwanzoni ambapo ilikuwa bila barakoa huwezi kuruhusiwa kupita pale getini,na juzi nimetoka Ccbrt nako ni hivyo hivyo hakuna tena kulazimishwa kuvaa barakoa getini.
 
na wewe ukatwe kichwa kitenganishwe na mwili aafu tuone kama, maana kufa ni ahadi it was written so shall be done mnaambiwa corona inauwa mnajibu sisi mungu anatupenda ,dunia nzima nyinyi tu ? Tumswalie mtume.
Hamia kwenye lockdown usituchoshe. Unaandika kama imeleta pombe na haufikirii.
 
Wale akiwatangaza Umi Mwalimu walikuwa akina nani ,jivikeni usahaulifu ,maana tokea alianza kwa kucheka mwisho ikaaa anatangaza ,mtu akikohoa anamkodolea macho.
Una hakika na takwimu zake?
 
1. Tafuna tangawizi kila siku asubuhi na jioni.

2. Kunywa maji ya uvuguvugu yaliyotiwa binzari mbichi (turmeric) ama ukikosa tumia ya unga pamoja na mdalasini wa magome wa India, kila asubuhi na jioni.

3. Kula matunda ya kutosha kutwa nzima, ikiwezekana mlo mmoja kati ya milo yako 3 ya siku uwe matunda tu.

4. Kunywa maji ya kutosha walau lita 2 hadi 3 kwa siku, vyema yakawa ya vuguvugu.

5. Fanya shughuli ambayo itakutoa majasho kila siku walau kwa dakika 20 hadi 30.

Afya njema ni maamuzi ya mtu binafsi.

Kasinde Matata.
wanaokufa wote hawayajui hayo??
 
Mzee Corona.
Inaonekana yenyewe.
HAUITAJI UWE NA DEGREE KUJUA HILO.
Tunaweza tukaficha ukimwi .
Lakini sio Corona.
Maana inaambukiza na dalili zake Ni kuanzia 2-mpaka 14.
Kuona dalili zake.
Corona hapa TANZANIA ikiingia tarehe 17 mwezi wa 3.siku ya jumatatu.
NI wazi Kama ingekuwa bado ipo mpaka Leo tarehe21 disemba .
Tungekuwa tumeshakufa wa kutosha na wagonjwa wa kutosha wangekuwepo pia.
Na hata Kama Corona ipo Tanzania HAKUNA WA KUWEZA KUTUZUIA KUFA NA CORONA.
Kwani waliokufa kidogo ? Tunakaribia milioni 60 kasi ya kuzalishana ikizidi bilioni haipo mbali.
Hebu jiulize siku ya mwisho kuacha kudadavuliwa wagonjwa wa huyu mdudu ni lini ? tulikuwa na wagonjwa wangapi kule rugodzinla.

Ni lini ulisikia na wapi kutangazwa idadi ile ilipoishia ,kama haipo ndivyo tunavyoomba tusijikaze kisabuni halafu tunaendelea kufa kijeshi aka kiofisa.

Ndugu fuatilia mitaani tu mbona habari za vifo vimeongezeka sana ukitofautisha na kabla ya kuzuka huyu mdudu,watu wanaondoka ,sema sio matajiri au mabilionea na hawana hata undugu wa mbali ndio ukaona kimya.Ndio ilivyo huwezi kujua.
 
Mmechoka sasa mmeanza kutafutizatafutiza tuvitu.
Yule Askofu wetu mwenye PhD yake alieweka waumini wake lockdown vipi bado anaendelea au alishakubaliana na JIWE?
Sasa hivi anasingizia watekaji washafika Karagwe! Lazima awe mwehu tu!
 
Wewe mbona hujafa bado? Unataka CCM imtangaze nani amekufa na Corona? Tuanze na nani sasa kwenye hiyo list? Maana kufa ni ahadi. Maktub..... it was written so shall be done
ficha ujinga sio wote wanakufa wakipata korona ,ila ugonjwa upo
 
Kwenye msiba wa baba yake joketi kuna ndoo za kunawa maji lakini unaambiwa hakuna Corona.

Juzi nilienda Muhimbili kumuona mgonjwa, madaktari wanasisitiza kuvaa barakoa na wanakataza msongamano lakini unaambiwa hakuna Corona.
Wakisema korona haipo, haizuii watu kujikinga! Hebu acheni uzwazwa nyie chandimu
 
Asilimia 99 ya waliohudhuria wamevaa barakoa, hili mliliona? Na kujiuliza kulikoni, jamii ya mabaniani ndio karibia wote wamevaa hizo barakoa na sisi tuliokoza rangi ya kiza baadhi walikuwa hawakuvaa kitu, kwenye wafanyakazi wote wamevaa?

Bado unaamini yule kimelea hayupo Tanzania? Na hivi karibuni kumeongezeka vifo vya wazee wazee na tunaopata matangazo tu ni hawa matajiri au vingunge na walio kwenye jamii maarufu kama wasanii, tulio wengi pangu pakavu hutusikiki.

Sasa rudia kuangalia kideo ya mazishi ya Patel, Je, alikumbana na vimelea huko South Africa? Sababu gani jiulize iliyofanya wahudhuriaji kuibuka na barakoa ghafla bin vu?

Anza leo kuvaa barakoa usisikilize redio vifua.
Hapa tu Mimi nimeponea chupuchupu namshukuru Mungu na madaktari . huyo mdudu yupo jilinde
 
hapo sasa ndo ujue MUNGU YUPO.
kwanini Kenya na uganda na rwanda n.k
Zina Corona lakini Tanzania hakuna.
Na Kama Corona ipo Tanzania basi HAIONEKANI..
maana Corona Ni ugonjwa unaoambukiza na unaua FASTA.
Na wala HAUITAJI nguvu kujionesha.
Tangu tarehe 17 mwezi wa 3.
Mpaka Leo NI wazi Kama Corona ingekuwepo TUNGEKUFA WENGI.
kwa hyo Corona iwepo isiwepo TANZANIA Ni sawa.maana HAKUNA DAWA YA CORONA NA HAKUNA ANAYEWEZA KUTUZUIA KUFA NA CORONA.
Ila Mungu PEKEE.
Punguza ujinga basi mjinga . ugonjwa upo. Mie ndo ntaachiwa hospital punde. Chukueni hatua nimepigania uhai for 3 weeks
 
Back
Top Bottom