Umeshagundua sababu za kuchapwa utotoni kula kwa watu?

Umeshagundua sababu za kuchapwa utotoni kula kwa watu?

Counterbook

Senior Member
Joined
Jun 14, 2020
Posts
159
Reaction score
71
Kwema!

Mara kadhaa umewahi kusikia mtoto akilia kisa kipigo et kalosa , unadhani mtoto aliyeshiba vizuri anaweza kula upya? Kwa mawazo ya kikubwa kikubwa unaelezeaje hili suala kama lilishawahi kupata utotoni; kama mzazi alikuwa sahihi kwa nini? Kama hakuwa sahihi kwa nini? Huelewi bado unamuelewaje?

Nakazia: Tuwapikie watoto chakula cha kutosha
 
Vp ukirudi home ukatengwa msosi then ukasema kuwa umeshashiba? Utaulizwa umekula wap?
Jst imagine unajua leo home linapikwa kabichi. Then unacheza kwa kina Joanah kunapikwa wali ndondo au nyama.😂
Ndio hii tamaa ambayo wazazi walitakiwa kuiondoa kwa watoto
Unatakiwa kula chochote kinachopatikana nyumbani kwenu....mtoto akifanikiwa kulelewa kwa anachokipata na kuridhika basi hata ukubwani hatapata tabu
 
Ndio hii tamaa ambayo wazazi walitakiwa kuiondoa kwa watoto
Unatakiwa kula chochote kinachopatikana nyumbani kwenu....mtoto akifanikiwa kulelewa kwa anachokipata na kuridhika basi hata ukubwani hatapata tabu
Kabichi halivumiliki kulwa🤣🤣
 
Mtoto hata kama kashiba,akikuta wenzake nyumba ya jirani wanakula nae ataunga nao kula hata kama hatokula sana,

Ni akili za kitoto tu sio vibaya akila,pia inajenga ujirani mwema kwa mtoto kuona kua kwa jirani napo ni kama home kwao tu.
 
Hujawahi kupigwa kabisa kwa maana mzazi aliona sawa tu au geti lilikwamisha utekelezaji?
 
Kama mzazi bia unachagua unategemeaje mtoto aendane na ratiba asiyeshiriki kuichagua ?
 
Kwema!mara kadhaa umewahi kusikia mtoto akilia kisa kipigo et kalosa , unadhani mtoto aliyeshiba vzr anaweza kula upya? Kwa mawazo ya kikubwa kikubwa unaelezeaje hili suala kama lilishawahi kupata utotoni ; kama mzazi alikuwa sahihi kwa nini?,kama hakuwa sahihi kwa nini? huelewi bado unamuelewaje?
Nakazia : Tuwapikie watoto chakula cha kutosha
Mlishe mtoto wako vizuri hatodoea msosi kwa watu
 
Walikuwa sahihi kwasababu mtoto anayekula kwa watu ukimuacha unamtengenezea tabia ya kutoridhika/tamaa

Kiukubwa ukubwa ni kama wanandoa kuchepuka
Ni kwl hatupati tunachotaka muda wote,mara moja moja umeonyesha nia unajali (walengwa) hata kuuliza watoto wako leo wanataka wale nini? Kwa kuzingatia vipo vyakula vina kinai kurudiwa rudiwa,
 
Huku kabeji/ huku nyama na hakuoni (informer) katoto kachomeaji ,na ukiangalia likabeji limekatwa robo tu hapo means usiku tena lina ww, jicho huku jicho huko huli?
 
Kuna wakati tunayopinga kwa watoto sisi wenyewe hatuyaishi , mmama huyo mchana
unawapikia ugali +dagaa vzr unawapatia ww huli nn * appetite* unaenda sokoni unanunua chapati + energy unakula huko huko, unanunua matembele unarudi upike jion ,mara mtoto j1 kala kwa mama wawili unaita unachapa hapa utofauti ni upi ??
 
Kwema!mara kadhaa umewahi kusikia mtoto akilia kisa kipigo et kalosa , unadhani mtoto aliyeshiba vzr anaweza kula upya? Kwa mawazo ya kikubwa kikubwa unaelezeaje hili suala kama lilishawahi kupata utotoni ; kama mzazi alikuwa sahihi kwa nini?,kama hakuwa sahihi kwa nini? huelewi bado unamuelewaje?
Nakazia : Tuwapikie watoto chakula cha kutosha
Unafunzwa elimu ya self-reliance.Uache ukupe,uzembe,uzururaji na kujali/kupenda kazi.
 
Back
Top Bottom