wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Kwa maana makalio hua Ni spika tu,tumbo ndio linafanya yake.Kwa maana mikono haina kosa tatzo n kichwani au co ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maana makalio hua Ni spika tu,tumbo ndio linafanya yake.Kwa maana mikono haina kosa tatzo n kichwani au co ?
Dah!Kutojua tu.Ndiyo maana tunakwama sehemu.🤔🤔🤔Kumbe je[emoji1787][emoji1787] hapa umefika ni wewe tu kueleza yanayokusibu
Saa hizi watu wameshatia vyombo vichwani.Epuka kuwauliza maswali tata au yasiyotafsirika kwa wepesi.Kwa wale wenye lugha isipendeza especially kwa mtoa uzi kimya kimya geuka upo Uzi wa kuchati kilugha then pita nao easy mbona,
Unafeli wapi sasa[emoji16]Dah!Kutojua tu.Ndiyo maana tunakwama sehemu.[emoji848][emoji848][emoji848]
Najiongeza.Tulia.Unafeli wapi sasa[emoji16]
Sawa ndugu mteja[emoji16]Najiongeza.Tulia.
We jidai kunikomoa.Ntapandisha majini halafu nalazimisha "unitibu" bila kuwepo msaidizi wa kukusogezea vyungu vya "dawa"!😂😂😂Sawa ndugu mteja[emoji16]
[emoji16][emoji16] msaidizi wa nini sasa, mimi wagonjwa wangu nawatibu mwenyeweWe jidai kunikomoa.Ntapandisha majini halafu nalazimisha "unitibu" bila kuwepo msaidizi wa kukusogezea vyungu vya "dawa"![emoji23][emoji23][emoji23]
Nalemaga!Ngoja!🤔🤔🤔[emoji16][emoji16] msaidizi wa nini sasa, mimi wagonjwa wangu nawatibu mwenyewe
[emoji16][emoji16][emoji16] hii lugha gani ndugu mteja au ndio wageni wameshakujaNalemaga!Ngoja![emoji848][emoji848][emoji848]
Yaani,umeniweza!Ushawahi sikiza ule wimbo wa "Mtoto wa geti kali"?Mtu anakuwa domo zege,na kumuomba mtoto mkare wakale ugali na kachumbari!🤔🤔🤔🤔[emoji16][emoji16][emoji16] hii lugha gani ndugu mteja au ndio wageni wameshakuja
Vyombo no,usikute katoka kuchapa mtoto muda si mrefuSaa hizi watu wameshatia vyombo vichwani.Epuka kuwauliza maswali tata au yasiyotafsirika kwa wepesi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] niliusikia zamani mashairi siyakumbuki...sasa biashara yetu tuendelee kesho leo nipumzike kidogoYaani,umeniweza!Ushawahi sikiza ule wimbo wa "Mtoto wa geti kali"?Mtu anakuwa domo zege,na kumuomba mtoto mkare wakale ugali na kachumbari![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
hilo km nakubari binafsi mm nilikuwa napenda sana ubwabwaWalikuwa sahihi kwasababu mtoto anayekula kwa watu ukimuacha unamtengenezea tabia ya kutoridhika/tamaa
Kiukubwa ukubwa ni kama wanandoa kuchepuka
Uniote miye,kioo kisione walee!Unono,kwako usingizi.💕[emoji1787][emoji1787][emoji1787] niliusikia zamani mashairi siyakumbuki...sasa biashara yetu tuendelee kesho leo nipumzike kidogo
Amen na kwako piaUniote miye,kioo kisione walee!Unono,kwako usingizi.[emoji177]
Kwa hapo,mzazi anakosea.Kama hatimizi majukumu muhimu kwa mtoto(familia) ni kosa kubwa sana.Simlaumu mtoto.Labda, narudia,labda mtoto awe mtukutu na nyumbani kwao pako vizuri/wanajiweza halafu anatorokea kwa majirani.Nmepita sehemu mtoto anachapwa kala kwa watu nimeumia sana, kwanza kamechafuka kana vibarango katakuwa hakaoshwi yaan hamna uangalizi nmewaza sana mzazi ana prevent nn? sielewi kama hamjali vle hivi vingine anatekeleza kweli ??