Counterbook
Senior Member
- Jun 14, 2020
- 159
- 71
- Thread starter
- #21
Hapo hata yeye anaelewa ila basi tu madarakaUmetoka kula ugali mrenda kwenu unampitia John mkacheze mama yake anakupakulia pilau..
Ndugu yangu...kipigo na kije tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hata yeye anaelewa ila basi tu madarakaUmetoka kula ugali mrenda kwenu unampitia John mkacheze mama yake anakupakulia pilau..
Ndugu yangu...kipigo na kije tu
Mtoto (3-6) anafanya mambo mengi kwa wakati mmoja ana kimbia kila mchezo anajitahid acheze na wenzie ,kwa chakula kile kile na ratiba ni kama ya watu wazima pia hana hela,akila sehemu ana ukupe?Unafunzwa elimu ya self-reliance.Uache ukupe,uzembe,uzururaji na kujali/kupenda kazi.
Ukiwa na mawazo hayo,ujue unakuza mazwazwa.Kwa hiyo utaanza kumfundisha tabia njema huyo mtoto wako akifikisha miaka 18?Mtoto (3-6) anafanya mambo mengi kwa wakati mmoja ana kimbia kila mchezo anajitahid acheze na wenzie ,kwa chakula kile kile na ratiba ni kama ya watu wazima pia hana hela,akila sehemu ana ukupe?
Mtoto mwenye njaa na anakaribishwa kula anakataa co zwazwa huyo?Ukiwa na mawazo hayo,ujue unakuza mazwazwa.Kwa hiyo utaanza kumfundisha tabia njema huyo mtoto wako akifikisha miaka 18?
ikiwa unakula wanachokula wao unadhulikaje?Mazingira tuliyokulia sisi kulikuwa na inshu za kichawi na kuwekeana vitu vya ajabu katka chakula,hvyo wazaz ilibid kutuzuia ili tusije pata madhara
Na kwa nini unamuachia mtoto wako azururezurure hovyo majumba ya watu.Mtie bakora na msisitize akae nyumbani afanye homework alizopewa shuleni.Mtoto mwenye njaa na anakaribishwa kula anakataa co zwazwa huyo?
Unaujua uchawi ufanyikavyo?Tema mate pembeni!ikiwa unakula wanachokula wao unadhulikaje?
Kumbe hapa ni majirani hatuaminiani ,Unaujua uchawi ufanyikavyo?Tema mate pembeni!
Muamini kila mtu,utaishi kwa raha sana.Kumbe hapa ni majirani hatuaminiani ,
Ulikula(ga) nini hadi ukaishiwa nguvu utotoni?😂😂😂😂Sikumbuki kama nimewahi kupigwa kwa kosa hilo
Kama hukuwahi kwa upande haikuonekana kosa au kulikuwa njia mbadala lbd kitu kama kufinywa hivi?Sikumbuki kama nimewahi kupigwa kwa kosa hilo
Haikuwa kwa watu lakini[emoji16][emoji16][emoji16]Ulikula(ga) nini hadi ukaishiwa nguvu utotoni?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nadhani mlezi wangu alikuwa halitilii maanani sana au nilikuwa fundi wa kufuta ushahidiKama hukuwahi kwa upande haikuonekana kosa au kulikuwa njia mbadala lbd kitu kama kufinywa hivi?
Hakika.Upo poa?Haikuwa kwa watu lakini[emoji16][emoji16][emoji16]
Niko poa ndugu yangu...za weekend?Hakika.Upo poa?