Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Kuna boya nilimuacha jamaa alikuwa ananipangia mavazi ila kutoa pesa kununua hataki anataka nivae nguo za ajabu zenye kuonesha mwili wangu nilisepa haraka.
Inabidi ukumbuke pia mlikutana wapi kwa Mara ya kwanza. Yawezekana mlivyoonana Mara ya kwanza basi Ile picha imekaa kichwani mwake, hivyo anavutiwa kukuona ukiwa hivyo siku zote.
 
Yeah for sure nilimootezea muda kwa kiasi flani,ila niliona nisimpotezee zaidi nikamwambia ukweli,najua aliumia sana sana ila ilitusaidia wote wawili mana mimi pia kwa kiasi flani nilianza kukosa balance.
Wanaume Mungu anawaona
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo kwenye hewa ya ukaa! Dah kmamamae nimecheka kisenge. Jamaa anajamba kishoga tu hewa mbovu
Hatari mkuu me mtu anae jamba jamba ovyo wanini sasa....
 
Nilishaexperience hiyo kitu..
Ila mm niliwahi kugundua mapema,nikakimbia
Pole sana,bora hata uligundua mwenyewe maprma.
Wengine wanakuwa hawana huruma,anajua kabisa hana future na wewe lakini hakuweki wazi,mimi binafsi sipendi kupoteza muda wa mtu, vivyo hivyo sipendi kupotezewa muda wangu.
 
Some girls are just entertainers by default, hata ubinuke vipi hawana shukrani I can concur that too...!!
Thats very stupid sababu mtu yupo radhi ku risk mahusiano yake eti kwa sababu kuna jamaa anamu entertain. yani demu anakomaa kabisa kuwa kwani hatakiwi kuwa na rafiki or? Hamna lolote between us then anaanza kuficha chats ama ku delete.
 
Aiseee.
 
Mimi alinipigia nikapokea nina sauti zito anajua hilo ati akakata simu nikampigia akaniuliza me gani kapokea simu nikamjibu ina maana hujui sauti yangu? Akasema nikamsikiliza nikawaza hanijui huyu nikamuaga kwa heeeri akajibu ok. baadae, nikakata simu. Ukisikia neno Kwa heeri kutoka mdomoni kwangu sihitaji mjadala tena
 
Pole sana,bora hata uligundua mwenyewe maprma.
Wengine wanakuwa hawana huruma,anajua kabisa hana future na wewe lakini hakuweki wazi,mimi binafsi sipendi kupoteza muda wa mtu, vivyo hivyo sipendi kupotezewa muda wangu.
Mimi mwenyewe huwa sipendi.
Huwa napenda kuwa open kwa mtu...Kama simtaki namwambia wazi.

Mimi huwa Ni mchunguzi Sana...yaani Kama mtu Ni mwongo Mimi namgundua mapema..
 
Tatizo wamekaza na mpe hela tuu we mpe helaa tu, mpe tena hela wakidhani hela ndio kila kitu kwetu

"we need your time and attention"
Ndo maana kuna wanawake wanapewa kila kitu and still they miss out something na wanaendelea kuflirt na kucheat..!!
 
Thats very stupid sababu mtu yupo radhi ku risk mahusiano yake eti kwa sababu kuna jamaa anamu entertain. yani demu anakomaa kabisa kuwa kwani hatakiwi kuwa na rafiki or? Hamna lolote between us then anaanza kuficha chats ama ku delete.
Upo sahihi, na kuna baadhi ya wanaume wana tabia hiyo pia!! It's pathetic..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…