Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hawachi bwana..
 
[emoji1][emoji1][emoji1]mwalimu mkuu
 

Wanaume wa kibongo hawana kanuni. Utajihangaisha wee humuombi kitu Kumbe hela zake anatumia kwa wengine na atakuona fala tu. Me mwanaume asiyeweza nihudumia simtakii bora niwe singo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…