Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Miaka mitano umebondwa mara mbili unaacha mtu.... Huyo jamaa hana mkono wa kupiga kabsa....
 
Kama hauna adabu una mdomo mchafu kwa nini usidundwe ?...lazima upigwe tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😍😍😍👊👊👊
 
nikimuona nakusemea,siwezi kubali member ateseke kwa

kumpoteza Hamida wake bila sababu za kujulikana
 
Ata huko utakapokwenda utadundwa pia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa rafiki yangu ukakubali uliwe bure aiseee... ungelipiza na wewe ka kuigonga
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke wa kwanza nahisi ulifanya makosa ....ungeendelea mfundisha taratibu si ajabu hajalelewa hivo , na wewe unafanya kama command mambo hayaendi hivo....


huyo wa pili kusema ulimwambia aende na hujamtafuta na yeye akapotezea si ajabu alikuwa ashakuacha bila wewe kujitambua we ukaona umemkomoa
 
Sasa wewe si ni binti kiziwi , anaongeaje sasa?

Harafu hizo tabia za huyo jamaa kama zangu tuu...[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulijikoki mwenyew kumbe upo "far below average" hahaha, [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole my dear.
Asije akakuua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumuacha mume kwa sababu anahatarisha maisha yako au ya familia hijawahi kuwa kosa. Kuwa na amani, ingawa itahitaji moyo sana kama alikuwa moyoni mwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…