Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Kila mahusiano nayoingiaga huwa najuaga tangu mwanzo kama yatadumu ama la..

Wengine hatuna muda wa kuwa na mtu ili tu anisaidie kupunguza 'kibubu' kikijaa! So siwezi vumilia tu mtu ili mradi.
Kama hakuna future ninayo iona sijivungi
 
CONTROLA naomba usinikumbushe, niliwahi date mwanaume ana maneno huyo..!!
Yaani ukikosea usiombe vichambo vyake utajuta!! anakuchamba mpaka unahisi uchizi, vile ukijishusha kuomba radhi ndo kama unachochea moto wa kuchambwa, na vile I hate offensive words niliondoka kimya kimya hata sikuaga.! Mpaka Leo I can't date mtu wa kunitukana hata kidogo maana hiyo ni ticket ya one way to the 'delete button'..!!

Mwingine huyo alikuwa ana wivu huu wangu hauoni ndani, in fact huu ukasome, let say mnaongea ukamuambia I got to do something, anakuambia how long will it take? unajibu only 10 minutes sababu nataka kukosha vyombo, After a while anapiga, unajibu umemaliza ila unadeki, haha' utajuta unaambiwa ulisema tu vyombo hukusema kama kuna kudeki.!! Hapo ujue kashamaindi muda sana, yakanifika haaaapa.!! Jamani nilikimbia speed mfanowe hakuna.!!
Kula like kwanza ntakuja kuchangia comment yako baadae kidogo
 
Sasa kama umeamua kutozifuata si uachane na hizo habari uwe baridi kabisa kuliko kuwa vuguvugu
vugu vugu ndio mtu wa aina gani?

ninachojua wewe na mimi tupo kundi 1

na usipoangalia yawezekana mimi wa moto kuliko wewe

endelea tu kufatisha ninachoandika
 
Kuna mmoja huyu Juzi Juzi nimeona niachane nae maana niliona Safari ya kuanzia Mtoni kwa azizi ally mpaka Mbagala Tu haiwezekani

Kisa kiko hivi beibe nimeichoka IPhone yangu 7+ nataka XR, nikamwambia Mfuko wangu unaweza ku Afford 8+ hiyo XR siwezi si kwamba sina ila siwezi weka bajeti huko kwenye mambo ya fashion na luxury ambazo Kimsingi hazina mwisho na kila siku zinatoka mpya

Majibu yake sasa ooooho hauwezi kunipangia choice unayotaka wewe mimi natumia brand ninayotaka Mimi, nikajisemea Dooh hapa gari haiwezi kufika Safari nikashuka njiani

Nb; Sikulalamika nikamuacha na Maisha yake, Jaribu kumbadilisha mwenzi wako ukiona haiwezekani Walk away Don’t kill yourself [emoji120]
Hauna hisia nae tena? Haujihisi kama bado unampenda?
 
Haki ya Nani,na ambavyo sipendagi tuhuma ambazo SI za kweli Wala SI za muhimu ..huyo mwanaume mbona atajichosha bure..atakapomaliza namjibu sawa/ndiyo.
Yeye: kwa hiyo ulifanya makusudi kukaa kimya/kuchelewa kupokea
Mimi:ndiyo
Yeye:unajidai unaosha vyombo masaa yote kumbe ulienda kwa wajinga wenzio eeh
Mimi: ndiyo
Yeye:Una kiburi siku hizi
Mimi:sawa

Sipendagi ujinga
wewe ukiwa karibu ukinijibu hivyo naeza kukutoa meno
 
wewe ukiwa karibu ukinijibu hivyo naeza kukutoa meno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Sasa unakuta umemuelekeza mtu haelewi kabisa...tafsiri nyingine anataka useme "ndiyo" kwa kile anachokiongea
 
Mimi nikipenda huwa napenda kwelii, siwezi kumuacha mtu kiutani jamani!!
nahisi unafaa kwa matumizi ya NDOA wewe

hapo tena huyo mume awe tayari mna watoto nae

hiyo ndoa ataivunja SHETANI tu na aje live live sio atumie wafuasi wake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Sasa unakuta umemuelekeza mtu haelewi kabisa...tafsiri nyingine anataka useme "ndiyo" kwa kile anachokiongea
Bora utambe tukiwa tunaongea kwenye simu tuu

ila tukiwa live ukinijibu hivyo "unalo" usiponijibu "unalo"

nataka majibu sahihi tena yajibiwe kwa adabu na sauti nyororoooo
 
Bora utambe tukiwa tunaongea kwenye simu tuu

ila tukiwa live ukinijibu hivyo "unalo" usiponijibu "unalo"

nataka majibu sahihi tena yajibiwe kwa adabu na sauti nyororoooo
Mimi huwa Ni mpoole Sana na siwezi kubishana..unakuta mwanaume ana gubu huyo,unamuelekeza haelewi,,ukikaa kimya shida..Sasa SI anataka nimjibu hivyo
 
Back
Top Bottom