Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Umeshawahi kuachana na mpenzi wako kwa sababu umeona mahusiano yenu "hayatofika mbali" (hamjagombana kabisa)

Kabinti kamoja ka kitanga nlikaacha sababu sikuona future nae sabab ya kiiman.....na pia ile migegedo kipind kile nliona inanidisturb kiimani(nlikua nmeokoka vizury) ,though she was so innocent,beautiful na perfect in bed lakin alikosa sifa ya muhim ya mke Wang mtarajiwa ,usiku kabla ya kumuacha nlilia Sana sababu nlijua nkimtema ntamuumiza lakin nkiangalia mbele skuona kama nna future nae Bora kumuumiza mda ule.Nkaamua tuu kumchunia japo nliumia pia,baadae alielewa,tuliachana na familia Yao wakahamia madale.....imebaki story tuu bado nakukumbuka Doreen.
 
Umesahau maisha ya tamthilia
Nakubaliana na wewe lakini most Of Afrikan Girls swala la wao kuwa independent ni tatizo hapa si kwamba nawasema vibaya hapana ni mifumo tu ya kimalezi na tamaduni zetu yaani Elimu ya pesa inatupiga chenga sana kwa wote

Kuhusu hao wanaume ambao wanatelekeza Familia na kuweka matumizi kwa michepuko kisa mwanamke ameamua kuwa independent wana matatizo makubwa sana kwenye Bongo zao na namna wanavyo fikiria

Yet wanawake independent wapo sana Afrika na Tanzania ikiwepo lakini wengi wao huwezi wakuta kwenye Millenia’s Wengi ni wamama ambao umri wao umekimbia kidogo

Hawa millennia’s wengi wapo carried away na fantasy za movie, trend za mitandao ya kijamii na the likes

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuache masihara. Mdada mzuri sana nilipata mwenzenu mji kasoro bahari.
Tatizo ana kidude cha kati kubwa km mkuyenge. Na tukifanya anamwaga zile nziitooo! Km mwanaume. Mambo yake ni misuri misuri tu. Anaweza kmata ndama mkubwa tu kwa mkono mmoja. Yuko tayari kuzichapa na mimi km nik muudhi. Ana history za kupigana na kaka zake
Akikamua ngombe anazuia kwa mikono. Hafungi ndama.
Niliondoka bila kuaga
Hahahha [emoji23][emoji119], kudaadeki walahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nilidate na mwanamke elimu yake darasa la 7 la enzi ya kikwete.... Elimu yangu nna yake ni mbingu na ardhi. Basi mtoto anamawazo mgando sijawahi kuona. Nikaona nimchunie tuu sms, hata simu simpigii tena. Alikuwa anakuta room mara kwa mara. Ila sasa akija namsikilizia dirishan au mlangoni. Kwa akili yake huyu mtoto niliona naenda kuishi maisha ya kula kulala mixa bongo movie yaan siwez kutoboa kimaisha. Nashukuru tumeishia hapooo. Kurogwa nioe niona ndio back up yake.
 
Mimi nulikimbia baada ya kukuta madawa dawa,kucha na nywele za sehemu za siri,zimechanganywa na madawa dawa ya kienyeji,nilipomuuliza akasema alienda kwa mganga ili anikamate sawa nisifurukute,nilimwacha nikaenda zangu...
Moyo wangu uliteseka sana kumuacha lakini akili yangu iliniambia kumrudia Tena Ni upumbumbavu mkubwa,SIKURUDI MPAKA LEO SIJAANZISHA MAHUSIANO TENA...
Bro ukiona hadi leo hujaanzisha mahusiano ujue dawa ilaanza kukuingia na unaanza kumkumbuka sasa. Chezea kurogwa ww. Mm sikubali demu aje kwangu anifulie nguo sijui anipikie, aninyooshe nguo, alale siku nzima wakati ni demu wangu sio mke. Kazi za mikono nazujua tena zaid ya sana. Siwezi kubali demu awe mke kabla ndoa. Wanaume wengi tumepigwa ndumba kama sio juju kuwaachia mademu mwanya wa kuwa wake.
 
Aise wanawake muwe na sababu za msingi mnapoomba hela.

Kuna mmoja alioniomba hela eti akatoe mchango wa harusi wa lofa fulani kitaa hapa (alikuwa anaoa mara ya pili mke wake wa kwanza niliwahi mchapia[emoji3])

Nikamwambia Sina basi kanuna weee na demu mzuri kweli .

Nikasema hamna Tambaa bhana hunitishi lolote-sitaki demu[emoji1787]

Nikampotezea mazima

Ukija na sababu za msingi utakula Hadi senti yangu ya mwisho ila sababu za kijingajinga nakutema Kama big G

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo yanaongeleka mkuu. Mngekaa chini mkaongea tu... Hata kama ni kuachana basi siyo kwa njia hiyo.
Kuna manzee nilimpenda balaaa alafu nilimuamini kweli alikua mzuri hatari alafu Mimi wa kawaida tu ila daah alikua ananipenda nadhani ule ulikua upendo wa kweli aisee basi tulidumu kwenye mapenzi miaka karibia 6 na muda mwingi nilikua nae ingawa hatukuwa tunakaa pamoja ila kila nikimuhitaji au hata nisipomuhitaji alikua anakuja

Kuna kipindi niliyumba vibaya kiuchumi daah alinisave sana yule dada alikua anakuja na misosi home kidume navunga ila ananikazia acha kujifanya kidume wewe basi nakula msosi namla na yeye fresh yani mambo yalikua bambam kwao nilikua napajua Kwa mama yake ila yeye alifikia muda akasema anaenda kupanga nikaona poa ingawa napo nilikua naenda ila sijawahi kulala kwake

Basi bwana siku Kaja na bonge la gauni la kama la harusi vile akataka nimyosheee mana anaenda kusimamia harusi ya rafiki yake kweli baada ya siku tatu akarudi gheto ila amechorwa balaa ila sikujiuliza nikapiga gemu week nzima ndio akasepa

Maisha yakaendlea baada ya miaka miwili kuna siku simu ikaingia eti unamjua S duuuh sauti ya kike ikasema Mimi ni mama yake naomba achana na mwanangu ameshaolea miaka miwili


Duuuh kidume sijui kitu kumbe manzee kaolewa miaka miwili nyuma

Basi nilitafuta ushahidi tu nikahakikisha kweli demu aliolewa na sababu ya kuolewa ni pesa mi sikua nazo ila yule jamaa yake alikua vizuri


Basi nikaona sio issue nika hama getho kimywa kimywa alafu akalamba broke kila sehemu so nikawa nimeachana nae

Sababu ya kufanya hivo kuna siku nilimuuliza alikataa kabisa ila alisema hey nakupenda sana nafanya mambo ya ajaabu sababu yako naomba ukijua chochote usinichukie nafanya sababu nakupenda basi nilimumiza kichwa nikajua pesa nyingi anatoa Kwa jamaa lakini jamaa hapendwi

Kwakweli yule manzee nilimuacha ingawa tulikua tunapendana sana Ila ndio hivo tena saizi ni mwaka sasa nasikia ananitafuta ingawa nimeapa siwezi kuonana nae nikiwa masikini bado

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mmoja mungu tu alinisaidia ni mwanamke haridhiki nikajenga akaanza hii nyumba gani? Dodoma hapo Hii nayo nyumba, nataka gari mbn wewe una gari yako nikamwambia ya kazi hii siyo ya kutanulia tutumie wote, sina uwezo kwa sasa subiri. Yakawa si maneno na matusi wala hatujawahi kupata mtoto nae. Nikajitahidi nikanunua collora gari gani hii mini nataka ist. Wanaume wanaowapenda wake zao wanawa ulizaga wake zao machaguo yao. Mwanaime gari hujali hata hisia za mke ooo aaa

Alikuwa safi ukweli bodi lake murua, nyuma mashaala, puchi nayo swafii tukahamia Dar akaanza kusema mwanamke kama mimi natakiwa na wanaume wengi. Hunijali gari gani mwaka sasa tumepanga pesa unazo lkn unajali biashara zako. Siku moja kaja nyumbani kalewa sikujua hata amelewea wapi kanishushia matusi kibao.

Kesho yake nikamuomba apeleke pesa fulani kwao baada maneno na shutuma kibao alipo ondoka tu nikahama nyumba nikazima simu zangu na kubadilisha namba. Nikahamisha biashara nikahamia mbeya baada ya mwala mmoja tulikutana kapungua sana akataka kunizoea nikamwambia una nyumba una gari bodi la kubebea wanaume wazuri unalo puchi tamu unayo umekosa nini usinizoee.

Baada ya miaka minne nikasikia ukimwi ume mchukua ni ka mshukuru Mungu ni kajisemea kisicho ridhiki hakiliki
Alale panapomshahili. Mwana kulitaka mwana kulipata. Mwanamke wa hivi namchukia hata kama simjui. Kupenda vitu vikubwa wakati mfuko unahudumia ni wangu. Alale motoni sio peponi huyooo.
 
Wivu ni asili yangu nina wivu to the extreme, Yaani Ukinambia 10 mins unakuja ukizidisha 1, Nitaongea hadi kesho , Nlikuwa napenda kuminitor @ and everything my lover is doin, , Akinambia naenda kwa sokoni nauliza how long will it take, 😂😂😂 mwanamke ananenipenda sana So she decide to change me now nimebadilika japo kuna mda nareact but Nasema samahani pale hali hiyo inapinikuta
Jealous nisign ya upendo , We want things of our own(Lovers) Yaai hatutaki kitu /mtu akuweke busy , Mda wako wote tumia na me, only

Lakini now nimefunguka akili nimejua ako na watu pia ambao anapaswa awajali, Ana vitu vya kufanya , Pia anahitaji mda pia wa kufanya mambo yake

Mwingine huyo alikuwa ana wivu huu wangu hauoni ndani, in fact huu ukasome, let say mnaongea ukamuambia I got to do something, anakuambia how long will it take? unajibu only 10 minutes sababu nataka kukosha vyombo, After a while anapiga, unajibu umemaliza ila unadeki, haha' utajuta unaambiwa ulisema tu vyombo hukusema kama kuna kudeki.!! Hapo ujue kashamaindi muda sana, yakanifika haaaapa.!! Jamani nilikimbia speed mfanowe hakuna.!!
 
Back
Top Bottom