Umeshawahi kujiuliza wewe ni nani?

Kama wewe ni mimi na mimi ni wewe mbona linapokuja suala la kufurahi hatufurahi wote au kuumia hatuumii wote?

Au ni nini kinatenganisha matendo haya?
 
Sijaongezea nimeuliza tu maana hata mtu akifa mwili unabaki kuwa wa marehemu. Sasa huyo marehemu unakuta yuko wapi hadi asahau nyumba yake ambayo ndio mwili.
Hahahahahahahahaaaaaaa aiseee jamaaa u made my day!
 
Mhh sasa unaponitenganisha na mwili,mawazo yangu jinsia nk wakati ndio mimi huyo unategemea ubaki na nini
Wewe is a unique combination of everything that u are
 
Hiyo ni Yoga meditation steps.
Naona wameshamchanganya huyu. Nimetembelea mataifa mengi yanayofanya hiyo kitu naona wao wanafanya na Budha akiwa mbele.
Hata hapa hotelini Champ De lamar, Port Luis, Mauritis naona sanamu ya Budha.
Asante mkuu tupo pamoja hii ni moja ya safari kubwa za kiroho ambazo kwa namna ya kipekee ukifunzu shule ya wanga uliotukuka unaipitia hapo utaambia ufanye madoido ya aina yake ya kutoa ''ruuhaw" (hebrew word) roho au pumzi yako ubakie mtupu pengine ili shetani apate kiti ndani yako huku wewe ukipepea huku na huko humo(too and fro)rejea majibu ya shetani kwa swali la Mungu katika biblia kitabu cha Ayubu 1...Aina hii ya ibada ilikuwepo mashariki karibu na malango ya bustani ya edeni yakijibu hoja za uwongo wa shetani kwamba Mungu amemuumba mwanadamu bila kumpatia kusudi(life purpose)ni jukumu lake kulitafuta hilo kusudi ndipo wazo la Uchawi huu wa ''Yoga" linapopata nguvu.
Yoga ni ushetani na ni ibada ya sanamu tu watu wa Mungu hawapaswi kujizingua na ibada hizi.
 
Reactions: Ok9
Ndefu ila ntaipitia nijue
hahahahaaaa hii maneno yako yalinipeleka mbaaaali we ulitaka iwe fupi kwa kiasi gani ila ukiipitia nijuze pia kama inafurahisha au la maana pia nna yangu ndefu kama hii ya huyu kaka

ila hiyo inahusu siasa
 
Naamini ile module utakuwa umeielewa kwelikweli nfkiri ni ktk philosophy of the mind hapo ndipo Renee de carte aliposema " I THINK THEREFORE IAM"
Umenikumbusha mbali sana asante
 
ni shairi sema modern poet ndio mana hajafata vina na mizani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…