TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,079
- 3,367
Nashukuru mungu sina maumivu maana thanx God alinilipia tena he got him Good.. Karma is a bitchDuu!! Pole Sana tupe mkasa huo mama,ukiweka wazi utapunguza maumivu
Oooo!!! Samahani sanaMi sio mama.
Tupe movie hiyo tafadhaliNashukuru mungu sina maumivu maana thanx God alinilipia tena he got him Good.. Karma is a bitch
Dah!! Mkuu ulifika mbali sana!!!Kuna rafiki yangu mmoja kwa kabila ni muhaya ..tulisoma nae Tambaza sekondari...akaenda pale TIA kurasini kwenda kusomea degree ya procurement..
Mimi nikiwa Arusha akanitafuta alipokua mwaka wa tatu na ndo ame graduate..akasema kaka,nimeitwa kwenye interview na staki kukosa kazi .
Akasema naomba uniazime laptop niende Nayo kwenye usahili...maana hiyo ndo requirement ya kuingia kwenye chumba cha usahili...
Basi ilikua mwaka 2015, nikamjibu nikamwambia Mimi sina laptop ,siwezi kukusaidia..akasema niazimie hata kwa rafiki zako wengine.
Basi nikajipinda,nikamuazimia kwa msela then nikampa laptop aende nayo kwenye usahili...
Zikapita siku, wiki,mwezi ,miezi...na simu akanizimia na akawa hapatikani..kwao walikua wanaishi na mjomba ake ambae ni kigogo pale TRA makao makuu nao wakawa hawajui alipo.
Mjomba ake nilivyoenda kumlalamikia akasema hawezi kulipa maana "ameshalipa" laptops nyingi sana ambazo mdogo wake aliwaibia watu ..
Basi ikabidi nitafute million moja nimnunulie PC mpya huyu msela alieniazima..
Miaka ikapita,toka tukio litokeee mwaka 2015...mwaka 2019 MUNGU sio athumani..akamleta mdaiwa wangu mikononi mwangu. ..
Nikamuona pale Temeke ,kituoni akiwa anasubiri bus ...nikamfanyia ambush..nikachukua vyeti vyake vyote toka cha kuzaliwa,sekondari mpaka degree na vyeti vyote vya trainings na nikavitia moto.....
Kenge sana huyu....!
One sided mkuu.unajikuta unatapikwa hadi uamini [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kweli mlikuwa mmeshibana[emoji16][emoji16][emoji16]
Shukran mkuu kumbe wema ni mtaji
I feel you broBro naelewa ni nini unapitia, mimi kuna wakati nasema kuwa i wont help anybody kutokana na mambo kama haya lakini inafikia point nasema basi tu Mungu ndo analipa, mimi imefikia point nimefuta namba za simu zote kwenye simu yangu za watu ambao hawana faida wala manufaa kwangu, nimefuta hata namba za ndugu mpaka wa kuzaliwa .
Kunakipindi mtu unapitia unajiona kama dunia nzima uko peke yako unakutana na mtu unamueleza matatizo yako tena mtu anaekujua kabisa lakini the way ana respond mpaka unakata tamaa unaona haina haja tena ya kueleza shida zako kwa yeyote.
Kwanza pole Kwa madhila yanayokukuta. Lakini kwa upande mwingine naomba nitofautiane nawe Kwa namna hii, wewe hukutenda Wema na kwenda zako, bali ulingoja na bado unangoja shukrani. Kwa maana hiyo, kinachokuumiza si kule kutokusaidiwa na jamaa, BALI MSAADA ULIOTOA unalinganisha na kinachotokea sasa.. wangapi huwajui na hujawahi kuwasaidia WAMEKUPITA ULIPOSIMAMA BILA YA KUKUSAIDIA NA HUWALAUMU?Habarini wana-jamiiforum!
Hivi umeshawahi kujutia kumsaidia mtu,awe ndugu,rafiki au jamaa?
Binafsi nakumbuka tangu shule ya msingi nilikua na mshkaji alimizidi miaka ya kutosha tu so ni kama kaka yangu.
Huyu bwana walikua na hali ngumu kiasi kimaisha,mimi kwetu tulikuwa swaaafi sana mzee alikua mzito zito shirika fulani la umma.
Toka kipind hko mshkaj asipopewa chai alku ananambia nampa mia mbili au tatu ale vitafunwa shule,mara nyingi mamaake wa kambo hakuwa anampa msosi so akawa anakuja home tunashea msosi wangu
Kwa vile alikua mbele yangu madarasa mawili alitangulia kumaliza std 7,akanambia anataka kwenda dsm kutafuta maisha coz home hapakaliki na hazijvi na mamaake wa kambo,ikabidi nijiumwishe nkapewa pesa niende hosp tshs 30elf (miaka ya2007 kushuka chini iliku pesa ya kutosha tu)nikampa pia nikaiba simu home nkampa jamaa akaamsha
Akiwa dsm akapat azi kuza duka,mwenye duka alikua ni jamaa yake ckmbuki ila nahs mamaake mdogo,hakuwa anamlipa,pesa ndogondogo za vocha na k,gest alikua ananiomba mimi,miaka 5 mbele mambo yakamshinda akaomba nauli nkampa jamaa akarud Mtwra,
Akastruggle na bodaboda hatimayeakatoboa akanunua bodaboda3 na bajaj moja mambo yakamnyookea.
Mwaka2017 mzee akafuuzwa kazi akafilisiwa kila kitu(nilikua chuo singida)pesa ya kujikimu chuo ikawa shida ada ndo ilishndkana kbsaa(now nina deni 2.2mil vyeti vya taluma wanvyo wao as dhamana)
Maajabu yakaja hapa kila nkimtafuta jamaa namweleza anisaidie buku 5 or 10 nijikimu chuo anatoa sababu elfu!!!!
Iibidi kuuza laptop simu nguo na viatu kadhaa hatimaye nikahitimu 2018 mwazoni.
Kurud Mtwara jamaa kanenepa kitambi juu anag'aa ukwasi
Nakmbuka nilifika town nkaishiwa nauli nkamchek jamaa anihelp buku nipande daladala akasema hana
Kuna siku home hakuna kitu madogo wanalia njaa nkatoka had town nkatafute chochote njaa kali ikanishika nikakaa stendi ya daladala kila nkisma nismame natetemeka vbaya nkamtxt jamaa madhila yaliyonikuta akasema yupo nje ya mji wakat namuona kbsa anakatiza katiza na bajaj ,basi
nkakaa hapo had saa 1 hvi mmama mmoja akauliza nna tatzo gan mbna natoka jasho huyo ndo akaninunulia chakula akanipa na buku 5 nkakimbilia home kuwahisha unga!
iN short jamaa hayupo radhi hta kutoa jero kwa ajili yangu ila kwa wegne jamaa anajitoa sana haswaaa watoto wa kike!
huyu bwana ndo ananifanya nijutie sana kupenda rafiki na kujitoa kwa ajili yake najuta na naumia sana zile pesa saiz ningefungua duka la rejaeja na likajaa kabisa!!!
note:
for anyone mweye nafasi ya kazi iliyo ndani ya uwezo wangu usisite kuniunga nipo tayari kwa kazi yoyote
age:24
Elimu:astashahada ya ualimu ( Grade A)
Ndo ungundue kuwa tunatofautiana na hapo umeshajua hakuwa rafiki sahihi,Wakati mwingine Mungu hurusu majaribu ili ujue rafiki wa kweliN kweli mazingira ndio yalikuwa yanafanya niwe naingia anga za jamaa sio kwamba nilimtafuta alipe fadhila haana
Sikuwahi kukumbuka kama nilimsaidia hadi maisha yalipoyumba ndio nikamwambia hiki na kile sio kwa kuwa nilimsaidia ni kwa sababu ndiorafiki mkubwa kwangu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hahaaaaKuna rafiki yangu mmoja kwa kabila ni muhaya ..tulisoma nae Tambaza sekondari...akaenda pale TIA kurasini kwenda kusomea degree ya procurement..
Mimi nikiwa Arusha akanitafuta alipokua mwaka wa tatu na ndo ame graduate..akasema kaka,nimeitwa kwenye interview na staki kukosa kazi .
Akasema naomba uniazime laptop niende Nayo kwenye usahili...maana hiyo ndo requirement ya kuingia kwenye chumba cha usahili...
Basi ilikua mwaka 2015, nikamjibu nikamwambia Mimi sina laptop ,siwezi kukusaidia..akasema niazimie hata kwa rafiki zako wengine.
Basi nikajipinda,nikamuazimia kwa msela then nikampa laptop aende nayo kwenye usahili...
Zikapita siku, wiki,mwezi ,miezi...na simu akanizimia na akawa hapatikani..kwao walikua wanaishi na mjomba ake ambae ni kigogo pale TRA makao makuu nao wakawa hawajui alipo.
Mjomba ake nilivyoenda kumlalamikia akasema hawezi kulipa maana "ameshalipa" laptops nyingi sana ambazo mdogo wake aliwaibia watu ..
Basi ikabidi nitafute million moja nimnunulie PC mpya huyu msela alieniazima..
Miaka ikapita,toka tukio litokeee mwaka 2015...mwaka 2019 MUNGU sio athumani..akamleta mdaiwa wangu mikononi mwangu. ..
Nikamuona pale Temeke ,kituoni akiwa anasubiri bus ...nikamfanyia ambush..nikachukua vyeti vyake vyote toka cha kuzaliwa,sekondari mpaka degree na vyeti vyote vya trainings na nikavitia moto.....
Kenge sana huyu....!
No haupo sahihi mkuu kumbuka ni rafiki amgu mkuu tangu utotoniKwanza pole Kwa madhila yanayokukuta. Lakini kwa upande mwingine naomba nitofautiane nawe Kwa namna hii, wewe hukutenda Wema na kwenda zako, bali ulingoja na bado unangoja shukrani. Kwa maana hiyo, kinachokuumiza si kule kutokusaidiwa na jamaa, BALI MSAADA ULIOTOA unalinganisha na kinachotokea sasa.. wangapi huwajui na hujawahi kuwasaidia WAMEKUPITA ULIPOSIMAMA BILA YA KUKUSAIDIA NA HUWALAUMU?
Ukimsaidia mtu usitegemee malipo, ingawa kibinadamu ni ngumu.